Mwl. Mwakasege: Nilienda Mbinguni nikaongea na Yesu na Musa

Mwl. Mwakasege: Nilienda Mbinguni nikaongea na Yesu na Musa

usichokijua ni kwamba, na leo na kufahamisha. kaa ukijua kwamba, ukristo ni dini ya maigizo, hilo lipo wazi kabisaaaaaa
 
kanisa niofisi yawatu kutafuta mkate wawatoto kama ofisi zingine.
ukiona wewe hupati unatoa tuu juawewe ndio mteja.
 
Hata kwenye uislam mtume alienda mpaka mbingu ya saba akakutana na mitume yote ,na ndio akapewa swala tano huko

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
Acha ujinga wewe,una ushahidi wa Aya za Qur'an juu ya Hilo!?..mi ukitaka ntakuonesha Aya za Qur'an zinazozungumzia swala akiwa hapa hapa duniani
 
sitaki kukosoa mahubiri yake, yawezekana wapo watu yanawasaidia kwa namna moja ama nyingine. Mungu atusaidie. however, kuhusu kwenda au kutokwenda mbinguni, wengi huwa wanafikiri mtu amesafiri hadi huko, kumbe hayo ni maono tu Mungu anaweza kukuonyesha ukiwa hapahapa duniani. Kitabu cha ufunuo kilitokana na maono pia, sasa kama Yohana alionyeshwa na Mungu mambo yale ya kwenye kitabu cha ufunuo, yeye alikuwa mwanadamu sawa na sisi, kwanini na siku hizi tusiamini kwamba Mungu aweza kumfunulie yeyote yule jambo la mbinguni? katika hali yakawaida kinachotufanya tusiamini kwamba mtu anaweza kuonyeshwa mambo ya mbinguni ni nini wakati katika dunia hiihii wapo waliowahi kuonyeshwa kama tunavyoisoma Biblia?

though naweka angalizo, ukiwa unaingia kwenye kumtafuta Mungu, ukadhamiria sanaa na ukawa deep sana, utamwona Mungu hakika. nanyi mtanifatufa na kuniona mtakaponitafuta kwa mioyo yenu yote, nami nitaonekana kwenu. ila sasa, jua umeshaingia kwenye ulimwengu ambao sio wa kimwili, ni ulimwengu wa roho. katika ulimwengu wa roho kuna falme mbili, ufalme wa shetani na ufalme ulio Mkuu, wa Mungu. shetani mara nyingine huwa anajifanya kama ni malaika wa nuru ili apate kumpotosha mtu hasa yule anayebeba maono ya kimungu, just to disturb ile kazi ambayo angeifanya. kwasababu hiyo, ni kitu cha kawaida sana shetani kuwatokea watu akijifanya malaika au Mungu au Yesu, shetani ni mwongo siku zote na ni baba wa waongo. wengi wameona maono, wengi wamesikia sauti, wameona miujiza, wamepokea maelekezo toka kwenye sauti au watu wanaowaona kiroho wakijifanya wao ni Yesu, kumbe ni shetani anajifanya malaika wa nuru.

Yesu alisema, kondoo wangu wanijua, nao waisikia sauti yangu. wewe kama umeokoka na Yesu alibadilisha maisha yako kiukweli, utaijua tu sauti ya Mungu na isiyo ya Mungu. Sauti ya Mungu ni ya upole, ni ya amani na haina mashaka. hata ndoto ukiota ukaona unajiuliza whether ni ndogo ya Mungu au la, jua hiyo sio ya Mungu. ndoto ya Mungu utajua tu hautahitaji kuuliza, zaidi sana utakachotafiti ni tafsiri ila sio wapi imetoka. ni sauti ya Mungu wako, mchungaji wako, utaijua tu.

hii ndio sababu tunawaambia watu waokoke, wajifunze Neno na wajazwe Roho Mtakatifu ili awatafsirie mambo mengi maishani mwao. shetani akimtokea mtu ambaye hajaokoka akajifanya yeye ni Yesu, hakika kuja kumbadilisha huyo mtu kuwa yule hakuwa Yesu sio rahisi kwasababu yeye hajawahi kuexperience sauti ya Yesu kwasababu alikuwa hajaokoka. maono na masauti mengi ya kuzimu kama hayo ndio yamesababisha kuanzishwa kwa wachungaji wa uongo wengi, madhehebu ya uongo mengi kama mashahidi wa yehova, sabato, siloam na wengine. twapaswa kumwomba Mungu atusaidie, kupotea ni rahisi sana hapa duniani kama hauna maogozi ya Roho Mtakatifu.
 
Kimsingi hakuna platform ya hovyo humu duniani kama JF, ni mtandao ambao umejaa wachawi na mawakala wa shetami na ndio maana kikiandikwa kitu chochote kimuhusucho Mungu, yatatokea mashambulizi na kashfa nzito sana za kila namna ila kwa umri na muda niliomtumikia Mungu nafahamu Mungu anajifunua kwa watu wengi yeyr binafsi na pia kuwafunulia kuhusu mbingu. Binafsi, nashuhudia kumuona mwenye haki Yesu Kristo si chini ya mara 4 toka nikiwa mdogo. Pia nashuhudia, Mungu kunifunulia na kuiona mbingu.

Kuhusumbingu, nakumbuka ilikuwa 2016. Siku hiyo niliamka kama kawaida saa 9 alfajiri na kusali. Ilipofika saa 11:45 nikasema nilale ili nikiamka niende kazini. Nilipolala kama saa 12 alfajiri niksona Malaika ananiambia nimetumwa nikufuate. Akanishika mkono, nikaoba natoka kwenye mwili upande wenye moyo. Nikapita kwenye bati la nyumba bila kizuizi. Safari ya kupanda juu ikaanza kwa speed ya ajabu. Nikaangalia chini na kuona mwili wangu, mke na mtoto wangu wamelala kitandani. Unaona nyumba na miti ya duniani, unaona kadunia kalivyo kadogo then unafika katika nchi ile ambayo "watu" wanaimba na kuabudu na tuliimba "Bwana Mungu nashangaa kabisa"

Sijui nielezeje muonekano wake nchi ile ila ni nzuri na ya meta meta. Hali ya hewa na mazingira ni tofauti na huku duniani. Nchi ile ni kweli na mji ule ni kweli. Jitahidi usikose kuingia mji ule.

Baadaye nikaambiwa turudi na kwa speed ya ajabu, najikuta naingia mwilini mwangu upande wa kushoto kwenye moyo, mwili ukawa kama umepigwa "shot" nikashtuka.
Acha ujinga wewe!
 
Mtoa Mada ni Muongo na ana lake jambo la Uzushi,
na watu wamemuamini alichoandika kumbe ana lake jambo!
Mimi sijanuamini mpaka aweke video hapa tuone hayo maneno kama kweli mwl aliyatamka
.Kwanini watu hawajiulizi hili la kutaka kujiridhisha???
 
Acha ujinga wewe,una ushahidi wa Aya za Qur'an juu ya Hilo!?..mi ukitaka ntakuonesha Aya za Qur'an zinazozungumzia swala akiwa hapa hapa duniani
Kwahiyo unakataa kwamba kwenye uislam hakuna kisa chochote cha mtume kwenda mbingu ya saba kwa usiku mmoja,wala farasi anayeitwa buraq,wala kitu kinachoitwa isra,wala kupaa kutokea msjid Aqsa.
 
Wadau kwema?

Nipo hapa nafuatilia Semina ya Neno la Mungu - Dodoma mubashara kabisa kupitia Upendo TV (Huduma ya Mana)

Mwalimu Mwakasege naye anasema eti eti alienda Mbinguni akakutana na Musa, na pia akakutana na Yesu na akapiga nao story. Na kasema eti Yesu kamwambia yuko njiani anarudi.

Dah! Hii kitu imekaaje wadau?

Alianza Nabii Mkuu Geordavie then Zumaridi na sasa Mwl. Mwakasege.

Mbinguni hiyo vipi wadau, mbona sielewi mapichapicha haya!!!

Mbinguni dah! Aloo mbinguni!!!

(Mmh!..hahahaha ...mhhh!...hahaha) Twibhwa nabazenganwa! Ehenao yaya gete....bagoshaaaaa!!!! Alichene!
!View attachment 2593179you
Kumbe huy
Acha ubishi, nimemsikia na kumuona live .....nikabaki nashangaa tu. View attachment 2593185
Kumbe Huyu nae bumunda
 
Hii imekuja ghafla sana, mbona wakati anaenda hakutwambia tumuagize kwa Yesu
 
Wadau kwema?

Nipo hapa nafuatilia Semina ya Neno la Mungu - Dodoma mubashara kabisa kupitia Upendo TV (Huduma ya Mana)

Mwalimu Mwakasege naye anasema eti eti alienda Mbinguni akakutana na Musa, na pia akakutana na Yesu na akapiga nao story. Na kasema eti Yesu kamwambia yuko njiani anarudi.

Dah! Hii kitu imekaaje wadau?

Alianza Nabii Mkuu Geordavie then Zumaridi na sasa Mwl. Mwakasege.

Mbinguni hiyo vipi wadau, mbona sielewi mapichapicha haya!!!

Mbinguni dah! Aloo mbinguni!!!

(Mmh!..hahahaha ...mhhh!...hahaha) Twibhwa nabazenganwa! Ehenao yaya gete....bagoshaaaaa!!!! Alichene!
!View attachment 2593179
Heading tu peke yake ni uongo
Mwalimu hakusema hivyo...
Bora ungeweka clip hapa...tusikie

Wapuuzi wanaoacha kusikiliza content wanahangaika na kutafutiza vimaneno km nyie mko wengi sn...
Btw,ndo baba ss kwenye hili Taifa!
Utake usitake
 
Hii imekuja ghafla sana, mbona wakati anaenda hakutwambia tumuagize kwa Yesu
Mpuuzi huyu unamsikiliza?
Angeweka clip hapa mbona haya yapo utube!?
Yaani ndo Hawa Huwa wanakurupuka hawajui kitu kimeanzia wapi anadakia katikati
 
Wadau kwema?

Nipo hapa nafuatilia Semina ya Neno la Mungu - Dodoma mubashara kabisa kupitia Upendo TV (Huduma ya Mana)

Mwalimu Mwakasege naye anasema eti eti alienda Mbinguni akakutana na Musa, na pia akakutana na Yesu na akapiga nao story. Na kasema eti Yesu kamwambia yuko njiani anarudi.

Dah! Hii kitu imekaaje wadau?

Alianza Nabii Mkuu Geordavie then Zumaridi na sasa Mwl. Mwakasege.

Mbinguni hiyo vipi wadau, mbona sielewi mapichapicha haya!!!

Mbinguni dah! Aloo mbinguni!!!

(Mmh!..hahahaha ...mhhh!...hahaha) Twibhwa nabazenganwa! Ehenao yaya gete....bagoshaaaaa!!!! Alichene!
!View attachment 2593179
Tuma video mkuu
 
Moderator hizi ndo nyuzi zinazochafua watu, majina ya watu bila ushahidi wa kinachoongelewa
This not right
 
ila wanakubali kuwa watu wa Giza wanafanya Astral projection kwenda kuonana na mkuu wao.
Nimeona humu watu wakisema wanatoka nje ya mwili na kwenda wanakotaka kwa kufanya trick hiyo ( Uchawi katika umbo la Sayansi ).

Mwakasege alichukuliwa. Kuchukuliwa ni sawa na vile alivyochukuliwa Yesu na kuoneshwa utajiri woote wa dunia kwa sekunde chache .

Je, waweza fanya hivyo ukiwa katika Mwili wa kawaida ?
 
Ukisikia mwanadamu anasema alienda mbinguni jua alipelekwa planet Saturn. Planet Saturn is the most developed planet in technology katika mfumo wetu wa jua( solar system). It is an alien planet.. Hayo ni Mafundisho ya siri kabisa ya taasisi za siri za kiimani... Some aliens who live in Planet Saturn have allowed a part of their consciousness to be reborn on planet earth in order to save humanity. Jesus is alleged to be one of them.


When Jesus ascended to Heaven he actually went to planet Saturn and when Prophet Muhammad claimed to be taken to the heavens ( safari ya Miraji) he was actually taken to this planet. ( according to the secret teachings of some secret societies)

Wanadamu wengi wenye nguvu za ziada za kiroho kama vile kufufua watu n.k nguvu zao wametoa planet Saturn.

Nikimsikiaga yule mchungaji mghana anaeishi Marekani kuhusu yeye kupelekwa mbinguni na vitu alivyo viona mbinguni plus kuwa na uwezo wa kufufua wafu huwa Nina jiridhisha pasi na shaka yoyote kwamba he is dealing with aliens from planet Saturn either with or without his knowledge.

Hata ile verse ya kwenye bible " Mungu" ana mwambia nabii " jenga mfano wa vile ulivyo viona mbinguni it was all about planet Saturn.

Kwenye bahari ya Hindi upande wa Tanzania kuna eneo ambalo ni portal inayo connect sayari ya dunia na sayari ya Venus ambayo ndipo yalipo makao makuu ya majini. So hapo baharini ni njia panda ( njia ya mkato/ short cut) inayo zikutanisha earth na Venus.

Kwenye Mlima Kilimanjaro ndio kuna portal inayo connect sayari ya dunia na planet Saturn.

Siri hii malkia wa Sheba alimpa Mwanae King Menelik baada ya kufa nyaraka za siri kutoka kwa mfalme Suleiman..

Katika harakati zake za kufika kwenye mlima Kilimanjaro ili aweze kufika hiyo portal inayo connect planet earth na planet Saturn, king Menelik alipoteza uhai wake akiwa juu kabisa ya kilele cha Mlima Kilimanjaro..

So Mwakasege yupo sahihi kabisa
 
Kwahiyo unakataa kwamba kwenye uislam hakuna kisa chochote cha mtume kwenda mbingu ya saba kwa usiku mmoja,wala farasi anayeitwa buraq,wala kitu kinachoitwa isra,wala kupaa kutokea msjid Aqsa.
Mtume alitoka msikiti mtakatifu wa Makkah Hadi msikiti mtakatifu wa Jerusalem, Quran ipo hadhiri na Hilo,hayo ya kwenda mbinguni mnajua mmetoa kwa Mungu gani
 
Ukisikia mwanadamu anasema alienda mbinguni jua alipelekwa planet Saturn. Planet Saturn is the most developed planet in technology katika mfumo wetu wa jua( solar system). It is an alien planet.. Hayo ni Mafundisho ya siri kabisa ya taasisi za siri za kiimani... Some aliens who live in Planet Saturn have allowed a part of their consciousness to be reborn on planet earth in order to save humanity. Jesus is alleged to be one of them.


When Jesus ascended to Heaven he actually went to planet Saturn and when Prophet Muhammad claimed to be taken to the heavens ( safari ya Miraji) he was actually taken to this planet. ( according to the secret teachings of some secret societies)

Wanadamu wengi wenye nguvu za ziada za kiroho kama vile kufufua watu n.k nguvu zao wametoa planet Saturn.

Nikimsikiaga yule mchungaji mghana anaeishi Marekani kuhusu yeye kupelekwa mbinguni na vitu alivyo viona mbinguni plus kuwa na uwezo wa kufufua wafu huwa Nina jiridhisha pasi na shaka yoyote kwamba he is dealing with aliens from planet Saturn either with or without his knowledge.

Hata ile verse ya kwenye bible " Mungu" ana mwambia nabii " jenga mfano wa vile ulivyo viona mbinguni it was all about planet Saturn.

Kwenye bahari ya Hindi upande wa Tanzania kuna eneo ambalo ni portal inayo connect sayari ya dunia na sayari ya Venus ambayo ndipo yalipo makao makuu ya majini. So hapo baharini ni njia panda ( njia ya mkato/ short cut) inayo zikutanisha earth na Venus.

Kwenye Mlima Kilimanjaro ndio kuna portal inayo connect sayari ya dunia na planet Saturn.

Siri hii malkia wa Sheba alimpa Mwanae King Menelik baada ya kufa nyaraka za siri kutoka kwa mfalme Suleiman..

Katika harakati zake za kufika kwenye mlima Kilimanjaro ili aweze kufika hiyo portal inayo connect planet earth na planet Saturn, king Menelik alipoteza uhai wake akiwa juu kabisa ya kilele cha Mlima Kilimanjaro..

So Mwakasege yupo sahihi kabisa
Katika mtu ninayemuheshimu humunJF ni pamoja na wewe ila hiki ulichoandika, inawezekana uliandika ukiwa umelewa maana hata wewe ukitulia na kusoma, sidhani kama utakielewa.
 
Back
Top Bottom