Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Kumbe wanashangaa vituko vya wanaAfricaNdo maana waisrael hawapendi kabisa hizi swaga....na wakristo wanadhani Waisrael hawampendi Yesu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe wanashangaa vituko vya wanaAfricaNdo maana waisrael hawapendi kabisa hizi swaga....na wakristo wanadhani Waisrael hawampendi Yesu
😂😂😂Binafsi natoka SADAKA....SEMA Nini wanatupanga sanaNa wewe duuh makanisa yatakosa fungu la kumi 😁
Nasikitika kwanza kukusingizia ukatoliki..basi nakuondoa kwenye ukatoliki nakuweka kwenye upagani kabisaa..yaan unaaingiza mambo ya meditation kwenye ukristo! Wakatoliki hawako hivyoo.meditation is all about paganism..hinduism..toka huko kijana MUNGU WA KWELI HAWEKEWI MIPAKA..watu wa rohoni hawahitaji meditation..maono unaweza ukafunuliwa hata ukiwa na watu wengine..ukiwa kwenye kaz zako..msomo mfalme daudi alivyoona malaika akiielekeza upanga Jerusalem ili aipige...msome ezekiel alivyooneshwa mifupa mikavu..oohh cameon..wakristo mnakwama wapi..someni biblia takatifu wacha kwenda kanisani mikono mitupu...you have to reas the bible dailyHuwezi kuwa na Maono pasipo kuwa na maarifa ya kweli katika imani fulani.
Kama wewe ni mtu wa Mungu lazima uwe na maarifa ya kimungu ambayo yamejikita kwenye imani ya kiMungu and the vice versa.
Nataka kusema, mtu mwenye Maono lazima awe mtu wa kumeditate sana, kwasababu..
Meditation brings revelations and revelations brings Manifestation of the Spirit.
Na ndio maana Mimi napingana sana na mtu ambae anasema kajawa na roho Mtakatifu au kajawa na Neno la Mungu au alishawahi kwenda Mbinguni na hapo hapo anashindwa kumanifest (kuwekea mikono wagonjwa na wakapona, kusema chochote na kikatokea)
Kuna watu waovu wanakwenda chini ya bahari, wanaporudi ...wanafanya vitu na vinatokea ...kwà lengo la kuwaumiza/kuwaangamiza watu wasiokua na maarifa au maono
😂😂😂Wadau kwema?
Nipo hapa nafuatilia Semina ya Neno la Mungu - Dodoma mubashara kabisa kupitia Upendo TV (Huduma ya Mana)
Mwalimu Mwakasege naye anasema eti eti alienda Mbinguni akakutana na Musa, na pia akakutana na Yesu na akapiga nao story. Na kasema eti Yesu kamwambia yuko njiani anarudi.
Dah! Hii kitu imekaaje wadau?
Alianza Nabii Mkuu Geordavie then Zumaridi na sasa Mwl. Mwakasege.
Mbinguni hiyo vipi wadau, mbona sielewi mapichapicha haya!!!
Mbinguni dah! Aloo mbinguni!!!
(Mmh!..hahahaha ...mhhh!...hahaha) Twibhwa nabazenganwa! Ehenao yaya gete....bagoshaaaaa!!!! Alichene!
!View attachment 2593179
YESU kweli yupo, husemezana na watu pia!Wadau kwema?
Nipo hapa nafuatilia Semina ya Neno la Mungu - Dodoma mubashara kabisa kupitia Upendo TV (Huduma ya Mana)
Mwalimu Mwakasege naye anasema eti eti alienda Mbinguni akakutana na Musa, na pia akakutana na Yesu na akapiga nao story. Na kasema eti Yesu kamwambia yuko njiani anarudi.
Dah! Hii kitu imekaaje wadau?
Alianza Nabii Mkuu Geordavie then Zumaridi na sasa Mwl. Mwakasege.
Mbinguni hiyo vipi wadau, mbona sielewi mapichapicha haya!!!
Mbinguni dah! Aloo mbinguni!!!
(Mmh!..hahahaha ...mhhh!...hahaha) Twibhwa nabazenganwa! Ehenao yaya gete....bagoshaaaaa!!!! Alichene!
!View attachment 2593179
Soma Biblia wewe....Nasikitika kwanza kukusingizia ukatoliki..basi nakuondoa kwenye ukatoliki nakuweka kwenye upagani kabisaa..yaan unaaingiza mambo ya meditation kwenye ukristo! Wakatoliki hawako hivyoo.meditation is all about paganism..hinduism..toka huko kijana MUNGU WA KWELI HAWEKEWI MIPAKA..watu wa rohoni hawahitaji meditation..maono unaweza ukafunuliwa hata ukiwa na watu wengine..ukiwa kwenye kaz zako..msomo mfalme daudi alivyoona malaika akiielekeza upanga Jerusalem ili aipige...msome ezekiel alivyooneshwa mifupa mikavu..oohh cameon..wakristo mnakwama wapi..someni biblia takatifu wacha kwenda kanisani mikono mitupu...you have to reas the bible daily
Anachofanya Mwakasege ndicho anachofanya Yesu? Unataka nimshike Mwakasege au nimshike Yesu?YESU kweli yupo, husemezana na watu pia!
ISAYA 1:18 Haya, njoni, tusemezane, asema BWANA. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa kama sufu.
Mnapewa neema kila uchao muutafute uso wa MUNGU na muongee naye hamtaki, lakini mnaamini umbea, usengenyaji, majungu , fitna na maagizo ya waganga!
Lakini kupanga ni kichagua ndio maana kuna jehanamu na peponi! MUNGU wetu ni MUNGU wa haki kila mtu atalipwa sawa sawa na ujira wake!
Mshike sana YESU, usimkane maana hiyo siku na yeye atakukana mbele za uso wa baba yake!
Hahah, itakuwa ameku dissappoint sana BroHuyu jamaa nae kumbe wale wale tu
Ukichunguza hayo mambo ya kuponywa kwa mfumo wa dini mpaka mtu binafsi aombe dua mwenyewe kwa imani.Tatizo haya mambo ya imani yote yamekaa kisirisiri, kilaghailaghai n.k
Natamani tungepata ushuda live wa pande zote mbili. wachawi watuoneshe kweli jinsi wanavyoruka ungo na wanavyuoenda kuzimu kukutana na Mkuu wao, Waislamu wenye nyota tano na wenyewe watuoneshe live jinsi wanavyopiga stori na majini, then na Wakristo wa nyota tano na wao watuoneshe mambo yao.
Akili za kuambiwa changanya na zako.Wadau kwema?
Nipo hapa nafuatilia Semina ya Neno la Mungu - Dodoma mubashara kabisa kupitia Upendo TV (Huduma ya Mana)
Mwalimu Mwakasege naye anasema eti eti alienda Mbinguni akakutana na Musa, na pia akakutana na Yesu na akapiga nao story. Na kasema eti Yesu kamwambia yuko njiani anarudi.
Dah! Hii kitu imekaaje wadau?
Alianza Nabii Mkuu Geordavie then Zumaridi na sasa Mwl. Mwakasege.
Mbinguni hiyo vipi wadau, mbona sielewi mapichapicha haya!!!
Mbinguni dah! Aloo mbinguni!!!
(Mmh!..hahahaha ...mhhh!...hahaha) Twibhwa nabazenganwa! Ehenao yaya gete....bagoshaaaaa!!!! Alichene!
!View attachment 2593179
Hata kwenye uislam mtume alienda mpaka mbingu ya saba akakutana na mitume yote ,na ndio akapewa swala tano hukoDini au ukiristo!?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyu jamaa nae kumbe wale wale tu
Sina mbavu hahahahaha 😂😅😆😹🤣😸🤭Wadau kwema?
Nipo hapa nafuatilia Semina ya Neno la Mungu - Dodoma mubashara kabisa kupitia Upendo TV (Huduma ya Mana)
Mwalimu Mwakasege naye anasema eti eti alienda Mbinguni akakutana na Musa, na pia akakutana na Yesu na akapiga nao story. Na kasema eti Yesu kamwambia yuko njiani anarudi.
Dah! Hii kitu imekaaje wadau?
Alianza Nabii Mkuu Geordavie then Zumaridi na sasa Mwl. Mwakasege.
Mbinguni hiyo vipi wadau, mbona sielewi mapichapicha haya!!!
Mbinguni dah! Aloo mbinguni!!!
(Mmh!..hahahaha ...mhhh!...hahaha) Twibhwa nabazenganwa! Ehenao yaya gete....bagoshaaaaa!!!! Alichene!
!View attachment 2593179