Mwl Mwakasege: Niliwahi kutoka nje ya mwili wangu nikaenda Mbinguni na kukutana na Nabii mkubwa, nikamtambua

Mwl Mwakasege: Niliwahi kutoka nje ya mwili wangu nikaenda Mbinguni na kukutana na Nabii mkubwa, nikamtambua

Unaambiwa Yesu ni Mungu kwasababu eti Mungu ana nafsi tatu
1. Mungu mwana
2. Nimesahau
3. Nimesahau

The Icebreaker anaweza kuwa na kumbukumbu nzuri kwenye hili 😂😂
Mungu baba, Mungu Mwana na Mungu roho mtakatifu.....huyo wa katikati ndio Yesu kumbe aaah watu wa dini wanatuchanganya sana
 
Eti naniliu wewee Rabbon huko mbinguni ulivyofika kwa juu ulikuwa unaona nini Gypsum board, ceiling board au mbinguni pro max?
 
Roho ndiyo
Kwa hiyo hapa unajibu sayansi au unajibu theology mbona hueleweki.

Mimi nimetumia maandiko kukwambia kuwa nafsi ni muunganiko wa mwili la roho then wewe unakuja na pumba pumba zako hapa mara kingereza ni spirit mara kiswahili ni roho mara kisayansi ni energy ndiyo nini.

Hapa discussion ni theology toa majibu ya ki-theology siyo kubwajaja mara kidini mara kisayansi mara kingereza.

Kwa hiyo hapa unajibu sayansi au unajibu theology mbona hueleweki.

Mimi nimetumia maandiko kukwambia kuwa nafsi ni muunganiko wa mwili la roho then wewe unakuja na pumba pumba zako hapa mara kingereza ni spirit mara kiswahili ni roho mara kisayansi ni energy ndiyo nini.

Hapa discussion ni theology toa majibu ya ki-theology siyo kubwajaja mara kidini mara kisayansi mara kingereza.
Neno SPIRIT NI ENERGY VITU VYOTE NI ENERGY ...MUNGU NAYE NI ENERGY ILA NDIYE MTAWALA WA ULIWENGU WA ENERGY..Hivyo NAFSI NA MWILI VYOTE NI ENERGY ...Wewe akili zako ni finyu kama jamaa mmoja mnamwita kiraza sijui kiranga 😁
 
Mwalimu Mwakasege aondoe Utata...!

Mussa alikua Black ama White!?
Ukifanikiwa kuingia Mbinguni, ukapewa mwili mpya,

Utakuwa na mwili ungaao, kana kioo kana wa Malaika.

Sasa mambo ya uzungu na uafrika ni ya kidunia. Hayako hivyo Mbinguni.
 
🙂🙂🙂

Hivi hii biblia inafasiriwa kwa mtazamo wako uonavyo wewe au jinsi theology imemaanisha.

Na yule aliyepaa mbinguni na kuketi mkono wa kuume wa Mungu Baba mwenyezi ni nani
Ni mwili ...ndiyo upo kuume ...mungu baba mwenyezi ndiyo nafsi ya kristo ....yesu akisema baba yangu umaanisha nafsi yake siyo kitu kingine nafsi ya kristo ndiyo mungu mwenyezi ..kuna maandiko yesu anasema mungu ata hukumu ila hukumu kamwachia mwana unajua nini maana yake ...maana yake mungu atahukumu ulimwengu akiwa ndani ya mwili wa kristo
 
Ngoja nimpigie nimuulize mimi mwenyewe ilikuaje?
FB_IMG_1732671791658 (1)~2.jpg
 
Swali no 3.

Malaika Hawaii Kweli Wala kuolewa.

Lakini Malaika wanakula na kunywa,

Mbinguni Kuna kula na kunywa, na Kuna vyakula vya Kila aina,

Imeandikwa pia yapo maji na mtu wa Uzima, na matunda yapo nk nk.

Kuna kula ila hakuna vyoo. Miili ya kule miili kama ya Malaika ni tofauti na hii tuliyonayo.

Mbinguni Kila mtu ana nyumba yake, na Malaika ndio watatuhudumia, sisi tutakuwa na rank ya juu Mbinguni kuliko Malaika. Kushinda majaribu ya Dunia Si KAZI ndogo,nitajibu swali Moja Moja 🙏
😂😂😂
 
Mwalimu Mwakasege aondoe Utata...!

Mussa alikua Black ama White!?
Mwambie na Goodluck aondoe utata kwa kututajia location alikolichomea moto lile Benz twende huko kuchukua vyuma chakavu.....

Wabongo huwa tunadanganywa sana tu.
 
Roho ndiyo



Neno SPIRIT NI ENERGY VITU VYOTE NI ENERGY ...MUNGU NAYE NI ENERGY ILA NDIYE MTAWALA WA ULIWENGU WA ENERGY..Hivyo NAFSI NA MWILI VYOTE NI ENERGY ...Wewe akili zako ni finyu kama jamaa mmoja mnamwita kiraza sijui kiranga 😁
Being silence doesn't mean that I agree with you,but the level of your stupidity left me speechless 😒
 
Ila wenzetu sinaga majibu yao, nikikumbuka lile tukio la ndege
 
Ukibahatika kufika Mbinguni,

Utashangaa kumkuta Yesu ndiye amekaa katika KITI Cha enzi.

Na Kwa kuwa Mungu ni MMOJA, ndipo utaungana na waliomsulubisha kulia Kwa huzuni, hawakujua Yesu ndiye Mungu aliyekuja katika mwili wa mwanadamu.
kwamba mungu alipewa kibano, kuumbe hata siku ya mwisho tukiiungana hamna kinachoshindikana
 
Back
Top Bottom