Mwl Mwakasege: Niliwahi kutoka nje ya mwili wangu nikaenda Mbinguni na kukutana na Nabii mkubwa, nikamtambua

Swali no 1.

Mbingu zipo ngapi?

Ingia jukwaa la dini Kuna Uzi nimejibu swali Hilo usemao:

" Zifahamu mbingu ya 1hadi ya 3, na layers zake sawasawa na mwanzo 1:1-31"- Rabbon.
 
Huo upumbavu akawadanganye waislamu ....siyo watu wenye akili timamu kama sisi
 
Swali no 2.

Zamani kabla ya kufufuka Kwa Yesu, WATAKATIFU walikuwa wakifa wanasubiri Mahali paliitwa Paradiso, Mahali pema peponi,

Baada ya Yesu kufufuka, WATAKATIFU huenda mbingu ya kwanza live, na hawahukumiwi tena, maana hayupo wa kuwahukumu.
 
Swali no 3.

Miili ya WATAKATIFU ni kama aliyoonekana nayo Musa na Elia au Ule mwili alipofufuka nao Yesu.

Ni mwili kama kioo, hazuiliki, inapita popote ni mwili wa kiroho.
 
Huyu Mzee nae kwisha kazi yake, naona akiota ndoto tu anajisahau na kuhadithia kuwa ni kweli
 
Mchungaji kafungua jicho la tatu πŸ˜‚
Jicho la tatu ni jicho chongo, jicho la kichawi.

Mtu ambaye ni Roho, ana macho mawili ya Roho Si Moja.

Ndio maana Huwa mbona maluweluwe mkifungua jicho Hilo la kichawi kupitia meditation.

Macho ya Roho yanafunguliwa Kwa kumpa Yesu maisha Yako, Roho mtakatifu huingia na kuyafungua,utaona yote bila mipaka.
 
Hizi chai za mwili kuachana na roho kwenda mbinguni kukutana na nabii ni za kuamini kweli?
Ila ukichukuliwa kuzimu ukala nyama za watu haitokuwa chai sio!

Kama uliwahi kulala ukaota unakula nyama, pigia mstari.
 
Sijawahi mkuu
Mungu hadhihakiwi,

Kama hujui jambo nililoandika au huliamini Bora kunyamaza,

Lakini kama nisemalo ni Kweli nawe unadhihaki, jua hunidhihaki Mimi, Bali aliyenutuma kuleta ujumbe huu.

Ni Rahisi kushindana na mwanadamu,

Ila kamwe huwezi shindana na Mungu ukashinda,
 

Mzee nimemdhihaki Mungu wapi?

Uzi umeletwa na wewe sio Mungu
 
Kwahiyo huko mbinguni usafiri ni wa farasi tu au kuna usafiri mwingine?
Hao wanakuwa wamezagaa ulitaka kusafiri unapanda farasi yoyote au kila mtu na farasi wake?
Farasi wote wa huko ni weupe au kuna rangi nyingine ie; nyeusi?
Tusiopenda usafiri wa farasi tunaweza kupatiwa aina tofauti ya usafiri huko mbinguni?
Malaika uliwaona na mabawa au wako vipi?(rangi/maumbile/urefu/jinsia).
Huko mbinguni mnatumia lugha gani kuwasiliana? Lugha ya huko mnajifunza au automatically ukifika unakuwa mahiri katika lugha inayotumika huko?
Vipi Buddhists/Hindu/Bohra/Jews nao wanafika na kupokelewa huko mbinguni?
Huko mnawaona new comers wanapowasili kutoka duniani?
Ndugu mkikutana mnakumbukana?
Mkiwa huko Mungu mnamuona na anawaongelesha?
Je kumechangamka au kumepooza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…