PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Ameen!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Petro alipowaona, aliwatambua kwamba huyu ni Musa, na huyu ni Eliya.Kwani Mussa na Eliya walipomtokea Kristo Yesu, Biblia ilitoa ufafanuzi timilifu wa namna miili yao ilivyokuwa?
Au ilisema tu Mussa na Eliya walitokea na Petro akasema wajenge vibanda vitatu au?
Sawa sasa inakuwaje Biblia kusema watu wakifufuliwa wanapewa miili mipya wakati kumbe ukifa tu na kuingia mbinguni unapewa mwili mpya?Petro alipowaona, aliwatambua kwamba huyu ni Musa, na huyu ni Eliya.
Na walionekana na utukufu wenye kung'aa, wenye miili Bora mfano wa Malaika ndio sababu Petro akashawishika kumwambia Yesu vijengwe vibanda Kwa ajili ya Ibada na kumbukumbu.
Namba 1 nakubaliana na wewe japo ni katika nadharia ila naiamini nadharia hiyo.Salaam, Shalom!!
Akifundisha katika semina jijini Mbeya Jana tarehe 26 January,Mwalimu Christopher Mwakasege amerudia kauli aliyowahi kuitoa kabla.
Amesema, asubuhi, walipokuwa katika bible study ya familia asubuhi ya jumapili hiyo, Mkewe alimuuliza swali kuwa ikitokea ametokewa na YESU atamtambuaje?
Mwalimu Christopher Mwakasege akamjibu Kwa kumkumbusha juu ya siku aliyotoka ndani ya MWILI wake na kwenda Mbinguni, alipofika Mbinguni, alikutana na Nabii Musa yule Nabii wa kale, na alimtambua, akaongeza kusema, Ukiwa katika mwili wa kiroho, huhitaji kutambulishwa sababu Roho inajua yote na kutambua yote yajayo na yaliyokwisha pita.
..... Mwisho wa kunukuu....
Naungana na Mwalimu Christopher Mwakasege juu ya UKWELI wa jambo hili, mbingu IPO na ni halisi, Mimi pia nimewahi kwenda Nchi nzuri sana, mfano wa uzuri wa Nchi Ile hauelezeki, mji huo hakuna jua Wala mwezi, IPO Nuru nzuri sana ambayo macho hayachoki kuitazama,
Nimewahi kuandika pia juu kupewa taarifa juu ya ujio wa Yesu kulinyakua Kanisa Kwa kumwona Yesu akiwa na jeshi la Malaika, amepanda farasi mweupe wakienda Kwa Kasi mawinguni.
Ndipo tujue yafuatayo.
1. Mbingu ni halisi Si hadithi.
2. WATAKATIFU wote wapo Mbinguni, wakifa hawakai kaburini.
3. Mungu yupo na ni MMOJA, na Jina la Mungu huyo mmoja tulilopewa WANADAMU liwezalo kuokoa ni Yesu Kristo/YESHUA HAMASHIACH.
Mungu awabariki.
Petro hakuwahi kumwona Musa Wala Elia before,Yeye Musa alimtambuaje km ni yeye wakati hata picha yake halisi hatuijui, Musa kwa mujibu wa bible alizaliwa karne za kale, hivi kwann hawa wachungaji ni waongo waongo sana..!!?
Haya atueleze mbinguni kukoje? Umeme upo au ndo wanatumia mwanga wa jua??
Hao ni watakaofufuliwa wakati Ule wa dhiki kuu.Sawa sasa inakuwaje Biblia kusema watu wakifufuliwa wanapewa miili mipya wakati kumbe ukifa tu na kuingia mbinguni unapewa mwili mpya?
Hivi mbinguni usafiri wa kufika huko ni farasi tu au kuna aina nyingine ya usafiri?Mtume wenu alidai alienda mbingu ya kwanza mpaka mbingu ya saba kukutana na manabii mbalimbali. Kwa hiyo kama ni upuuzi, bila shaka yeye anahusika moja kwa moja na huu upuuzi. Unless hujui hata dini yako imeandika nini.
Pia, Je, si mtume wenu alijifanya kupaa kwa farasi usiku kwenda Al Aqsa kuswali na kurudi usiku huo huo.
Unahitaji kuwa mjinga tu, ili kuamini na kutetea upuuzi kama huo.
Ni kweli mbingu ipo lakini hakuna binadam hapa duniani aliwahi fika kule na kurudi kama hawa matapeli wanavyotuhadaaSalaam, Shalom!!
Akifundisha katika semina jijini Mbeya Jana tarehe 26 January,Mwalimu Christopher Mwakasege amerudia kauli aliyowahi kuitoa kabla.
Amesema, asubuhi, walipokuwa katika bible study ya familia asubuhi ya jumapili hiyo, Mkewe alimuuliza swali kuwa ikitokea ametokewa na YESU atamtambuaje?
Mwalimu Christopher Mwakasege akamjibu Kwa kumkumbusha juu ya siku aliyotoka ndani ya MWILI wake na kwenda Mbinguni, alipofika Mbinguni, alikutana na Nabii Musa yule Nabii wa kale, na alimtambua, akaongeza kusema, Ukiwa katika mwili wa kiroho, huhitaji kutambulishwa sababu Roho inajua yote na kutambua yote yajayo na yaliyokwisha pita.
..... Mwisho wa kunukuu....
Naungana na Mwalimu Christopher Mwakasege juu ya UKWELI wa jambo hili, mbingu IPO na ni halisi, Mimi pia nimewahi kwenda Nchi nzuri sana, mfano wa uzuri wa Nchi Ile hauelezeki, mji huo hakuna jua Wala mwezi, IPO Nuru nzuri sana ambayo macho hayachoki kuitazama,
Nimewahi kuandika pia juu kupewa taarifa juu ya ujio wa Yesu kulinyakua Kanisa Kwa kumwona Yesu akiwa na jeshi la Malaika, amepanda farasi mweupe wakienda Kwa Kasi mawinguni.
Ndipo tujue yafuatayo.
1. Mbingu ni halisi Si hadithi.
2. WATAKATIFU wote wapo Mbinguni, wakifa hawakai kaburini.
3. Mungu yupo na ni MMOJA, na Jina la Mungu huyo mmoja tulilopewa WANADAMU liwezalo kuokoa ni Yesu Kristo/YESHUA HAMASHIACH.
Mungu awabariki.
I and the FATHER tu umoja.Namba 1 nakubaliana na wewe japo ni katika nadharia.
Namba 2 sikubaliani na wewe, kama watakatifu wakifa hawakai kaburini wanaenda mbinguni moja kwa moja then inakuwa vipi kwenye biblia kitabu cha ufunuo wa Yohana nadhani kama nna kumbu kumbu vizuri.
Kuna mstari unasema kwamba "parapanda itakapolia wafu walio makaburini watafufuliwa kwanza, alafu ndiyo wahukumiwe kila mtu kwa matendo yake".
Sasa huoni kuwa hii inapingana na mtazamo wako wa "watakatifu wakifa hakai makaburini wanaenda mbinguni moja kwa moja" ?
Namba 3 nakubaliana na wewe upande momoja wa "Mungu ni mmoja", lakini unaposema Mungu humour ndiyo Yesu hapo ameni confuse.
Kwa sababu kwa jinsi nilivyo isoma biblia (japo ina mafumbo mengi) na kila mtu anafasiri kwa namna anavyoelewa yeye, ila mimi nilivyo ielewa Biblia Yesu siyo Mungu na wala yeye hakuwahi kujiita Mungu (japo baadhi ya mitume kama yohana walikuja kuandika kana kwamba Yesu alikuwa Mungu, ingawa yeye mhusika hakuwahi kujiita Mungu).
Swali la msingi ni je, Yesu yeye alisema yeye ni nani ? Kwa mujibu wa biblia (hasa vitabu vinne vya injili), Yesu alipo ishi duniani siku zote alikuwa akijitambulisha kuwa "yeye ni mwana wa Mungu, aliyetumwa na babaye (Mungu) kwa ajili ya kufanya kile Mungu amemtuma".
Na kuna mda hata alikuwa anaomba na kusali kwa Mungu wake (baba yake).
Sasa how come tukisema Yesu ni Mungu ? Mungu anaweza kujiomba ? Kujisalia ? Kufa je ?
What I noticed kwenye biblia ni kwamba "Yesu alikaimishwa majukumu ya kimungu na Mungu lakini siyo kwamba ndiyo alikuwa Mungu".
Hiyo inadhihirishwa na mistari kadhaa ya kwenye biblia kama "Huyu ndiye mwanangu mpendwa ninaye pendezwa nae,msikilizeni yeye"
"Na mimi nawatangulia naenda kwa mbinguni kwa baba kuwaandalia makao na nitarudi nije niwachukue ili nilipo mimi nanyi muwepo"
"Mimi ndimi njia ya kweli na uzima, mtu haji kwa baba ila kwa njia ya mimi"
Hakuna mahali kwenye biblia Yesu amewahi kujiita Mungu au kujitambulisha yeye ni Mungu, ila kuna confussion zilizoletwa na baadhi ya mitume ambao walikuja kuandika kuhusu Yesu baada yeye Yesu kuwa amesharudi mbinguni tayari.
Mfano wa mitume has ni yohana aliyekuja kuandika kwamba "Hapo mwanzo kulikuwako neno,naye neno alikuwako kwa Mungu, naye neno alikuwa Mungu" sijui huyo neno akakaa kwetu akafanyika mwili n.k.
Huu ni mojawapo wa mstari kwenye biblia unaoleta confussion sana na watu kuanza kuona kana kwamba "Yesu ndiye Mungu mwenyewe aliye hama kutoka kwenye makao yake mbinguni na kuja kuishi duniani kimwili kitu ambacho kwa mujibu wa biblia naona si sahihi".
Kama nitachukua mtazamo kama wako ya kwamba "Yesu ni Mungu mwenyewe original aliye amua kuuvaa mwili na kuja duniani(siyo mwana wa Mungu)" then nikuache na swali hili hapa chini 👇
Je, huko mbinguni kwenye makao ya kiroho wakishafika watakatifu, watamwona Mungu, Yesu na malaika au watamwona Mungu, na malaika au watamwona Yesu na malaika pekee ?
Nitaomba unijibu hilo swali kwa ufasaha kabisa.
Na nimeuliza hivo kwa sababu, kama Yesu ni mwana wa Mungu kama alovyo jitambulisha yeye kipindi anaishi duniani, basi nna hakika na Mbinguni tutamkuta yeye Yesu,Mungu pamoja na malaika.
Ila kama nitachukua mtazamo wako wa kwamba Yesu ni Mungu mwenyewe aliye uvaa mwili na kuja duniani, basi huko mbinguni kuna kimojawapo hatutakikuta kati ya Mungu na Yesu, maana kilijibadilisha kuwa kitu kingine na muda huo kitakuwa kimerudi kwenye form yake ya uhalisia siyo mwili tena.
Ila kama mbinguni tutawakuta Mungu na Yesu katika utofauti (Baba na mwana) basi kauli yako ya Yesu ni Mungu haitakuwa sahihi.
Mbinguni huendi kibinadamu.Ni kweli mbingu ipo lakini hakuna binadam hapa duniani aliwahi fika kule na kurudi kama hawa matapeli wanavyotuhadaa
Hebu fafanua kidogo hapo kuhusu majengo marefu ya mbinguni na kuzimu?Zuma riidi ni Pepo katika form ya mwanadamu,
Fuatilia hata Kuzaliwa kwake, kulikuwa tofauti mamaye ameeleza vyema,
Kuhusu majengo marefu hata kuzimu kavu, yapo.
Lakini pia Mbingu ni halisi IPO.
Forget about blaa blaa zote nilizo ziandika then nijibu sentensi za mwisho kwamba "Mbinguni tuta mkuta Mungu,Yesu na Malaika ? Au tutamkuta Mungu na malaika ?I and the FATHER tu umoja.
Umewahi soma andiko Hilo?
Yesu pia amejitambulisha kama " Mimi NIKO" utambulisho alijitambulisha Mungu Kwa Musa.
Ningependa nikujibu Kwa undani zaidi, naomba nipate muda.
Hizo ni Alfu lela ulela ndiomana mtu yeyote akijisikia kusema katokewa na mtu anasema..!! Tutamuamini vipi hapo ndo zinapoanza blah blah kilikwenda kikarudi..!!Petro hakuwahi kumwona Musa Wala Elia before,
Lakini walipomtokea Yesu, aliwatambua vizuri.
Ndipo ujue, Roho hujua yote, Ukiwa na macho ya Roho, ukamwona Yesu, utajua bila kutambulishwa kuwa huyu ni Yesu.
Kuhusu majengo yaliyopo Mbinguni soma kitabu Cha ufunuo,Hebu fafanua kidogo hapo kuhusu majengo marefu ya mbinguni na kuzimu?
Na kuzimu pia wanatumia farasi kama mbinguni? Manake hawa wa mbinguni wanatueleza mambo ya farasi weupe wanaong'aa🤔🤔. So probably hii technology ya skyscrapers engineers and architects wameitoa either mbinguni au kuzimu.
Kakudanganya mpumbavu gani wewe jamaa 😁😁😁 bila shaka wewe ni mmojawapo wa wapuuzi wa madhehebu ya dini ....nitajie upo dhehebu gani nikuonyeshe upumbavu wa dhehebu lako ....Swali no 2.
Zamani kabla ya kufufuka Kwa Yesu, WATAKATIFU walikuwa wakifa wanasubiri Mahali paliitwa Paradiso, Mahali pema peponi,
Baada ya Yesu kufufuka, WATAKATIFU huenda mbingu ya kwanza live, na hawahukumiwi tena, maana hayupo wa kuwahukumu.
Hutakiwi kuniamini Mimi,Hizo ni Alfu lela ulela ndiomana mtu yeyote akijisikia kusema katokewa na mtu anasema..!! Tutamuamini vipi hapo ndo zinapoanza blah blah kilikwenda kikarudi..!!
Watafute watu wa dini na madhehebu uwaulize swali hilo,Kakudanganya mpumbavu gani wewe jamaa 😁😁😁 bila shaka wewe ni mmojawapo wa papuuzi wa madhehebu ya dini ....nitajie upo dhehebu gani nikuonyeshe upumbavu wa dhehebu lako ....
Hayo maswali ambayo haujayajibu ni kwamba hayana majibu yake.Nitajibu kuhusu lugha,
Lugha za duniani ni za huku, Mbinguni kuna lugha yake.
Roho Haina limit katika utambuzi, inajua yote.
Ukienda Mbinguni, hutafundishwa lugha chuoni, utaelewa na kuongea automatically.
Bible ni kitabu kilichoandikwa na watu na chenye mapungufu..!!Hutakiwi kuniamini Mimi,
Soma Bible ujue nilichoandika limeandikwa ndani ya BIBLIA au la.
Sasa amini neno la Mungu, ukiliamini ndipo utajua niliyoona pia ni kweli