Mwl Mwakasege: Niliwahi kutoka nje ya mwili wangu nikaenda Mbinguni na kukutana na Nabii mkubwa, nikamtambua

Mwl Mwakasege: Niliwahi kutoka nje ya mwili wangu nikaenda Mbinguni na kukutana na Nabii mkubwa, nikamtambua

Salaam, Shalom!!

Akifundisha katika semina jijini Mbeya Jana tarehe 26 January,Mwalimu Christopher Mwakasege amerudia kauli aliyowahi kuitoa kabla.

Amesema, asubuhi, walipokuwa katika bible study ya familia asubuhi ya jumapili hiyo, Mkewe alimuuliza swali kuwa ikitokea ametokewa na YESU atamtambuaje?

Mwalimu Christopher Mwakasege akamjibu Kwa kumkumbusha juu ya siku aliyotoka ndani ya MWILI wake na kwenda Mbinguni, alipofika Mbinguni, alikutana na Nabii Musa yule Nabii wa kale, na alimtambua, akaongeza kusema, Ukiwa katika mwili wa kiroho, huhitaji kutambulishwa sababu Roho inajua yote na kutambua yote yajayo na yaliyokwisha pita.

..... Mwisho wa kunukuu....

Naungana na Mwalimu Christopher Mwakasege juu ya UKWELI wa jambo hili, mbingu IPO na ni halisi, Mimi pia nimewahi kwenda Nchi nzuri sana, mfano wa uzuri wa Nchi Ile hauelezeki, mji huo hakuna jua Wala mwezi, IPO Nuru nzuri sana ambayo macho hayachoki kuitazama,

Nimewahi kuandika pia juu kupewa taarifa juu ya ujio wa Yesu kulinyakua Kanisa Kwa kumwona Yesu akiwa na jeshi la Malaika, amepanda farasi mweupe wakienda Kwa Kasi mawinguni.

Ndipo tujue yafuatayo.

1. Mbingu ni halisi Si hadithi.

2. WATAKATIFU wote wapo Mbinguni, wakifa hawakai kaburini.

3. Mungu yupo na ni MMOJA, na Jina la Mungu huyo mmoja tulilopewa WANADAMU liwezalo kuokoa ni Yesu Kristo/YESHUA HAMASHIACH.

Mungu awabariki.

Kaanza kutupiga taratibu!
 
Hapana. , Musa alikufa na roho yake iko hapo ikingojea ufufuo au ikingojea siku ya ufufuo.

Mbinguni yupo Bwana Yesu kwenye Bustani kubwa akingojea siku ambayo hata yeye haijui, Mungu Baba atakapomtuma kuja duniani kwa mara ya pili na kuondoka na Musa na Sie Watakatifu wengine.

Upande wa pili Yupo Mungu mwenyewe, mji ambao nguzo zake ni dhahabu hakuna giza, hakuna mchana wala usiku.

Tunaomwamini Mungu hivi vitu tunaoneshwa tukiwa na mwili huu huu.

Mpe Salaam zangu Mwalimu Mwakasege.
 
Heri wewe mwenye kuandika haya hakika unyakuo ni wakati wowote endelea kuwa safi maana kufumba na kufumbua unyakuo utatokea na watakaobaki duniani ile miaka 7 ya dhiki kuu itaanza rasmi na wapo watakaokuwa wanarudia kusoma tunayonadika hapa mara kwa mara na wataanza kuuliza Rabbon upo wapi, Salari upo wapi na wengine wengi watatajwa lakini watashangaa mbona IDs hizi zimekuwa kimya ndipo watakumbuka tuliyokuwa tunaandika mara kwa mara kilio na kusaga meno kutakuwa kwingi sana.

Ana heri yeye amuaminiye bwana Yesu sasa na kuishi maisha matakatifu kujianda na unyakuo.
(Ufunuo 7:13-14)

13:Akamjibu mmoja wa wale wazee akiniambia, Je! Watu Hawa waliovikwa mavazi mweupe ni akina nani? Na wametoka wapi?

14: Nikamwambia , Bwana wangu wajua wewe. Akaniambia, hao ndio wanatoka katika dhiki Ile iliyo kuu, nao wamefua mavazi Yao na kuyafanya mweupe katika Damu ya mwana- kondoo.

... Mwisho wa kunukuu....

Neno linasema, wapo wataookolewa baada ya Unyakuo katika dhiki kuu,

Si Rahisi kuokolewa wakati huo kama sasa, ni Rahisi sana kuliko kusubiri mito yote na Ziwa na bahari vikauke pasiwepo maji, jua lisogezwe, mimea yote ikauke, uweze kuvumilia mateso hayo.

Mungu atusaidie.
 
Hapana. , Musa alikufa na roho yake iko hapo ikingojea ufufuo au ikingojea siku ya ufufuo.

Mbinguni yupo Bwana Yesu kwenye Bustani kubwa akingojea siku ambayo hata yeye haijui, Mungu Baba atakapomtuma kuja duniani kwa mara ya pili na kuondoka na Musa na Sie Watakatifu wengine.

Upande wa pili Yupo Mungu mwenyewe, mji ambao nguzo zake ni dhahabu hakuna giza, hakuna mchana wala usiku.

Tunaomwamini Mungu hivi vitu tunaoneshwa tukiwa na mwili huu huu.

Mpe Salaam zangu Mwalimu Mwakasege.
Yesu akiwa na wanafunzi mlimani wakiomba,

Musa na Elia waliwatokea wakiwa katika miili ya kiroho.

Husomi maandiko?
 
Salaam, Shalom!!

Akifundisha katika semina jijini Mbeya Jana tarehe 26 January,Mwalimu Christopher Mwakasege amerudia kauli aliyowahi kuitoa kabla.

Amesema, asubuhi, walipokuwa katika bible study ya familia asubuhi ya jumapili hiyo, Mkewe alimuuliza swali kuwa ikitokea ametokewa na YESU atamtambuaje?

Mwalimu Christopher Mwakasege akamjibu Kwa kumkumbusha juu ya siku aliyotoka ndani ya MWILI wake na kwenda Mbinguni, alipofika Mbinguni, alikutana na Nabii Musa yule Nabii wa kale, na alimtambua, akaongeza kusema, Ukiwa katika mwili wa kiroho, huhitaji kutambulishwa sababu Roho inajua yote na kutambua yote yajayo na yaliyokwisha pita.

..... Mwisho wa kunukuu....

Naungana na Mwalimu Christopher Mwakasege juu ya UKWELI wa jambo hili, mbingu IPO na ni halisi, Mimi pia nimewahi kwenda Nchi nzuri sana, mfano wa uzuri wa Nchi Ile hauelezeki, mji huo hakuna jua Wala mwezi, IPO Nuru nzuri sana ambayo macho hayachoki kuitazama,

Nimewahi kuandika pia juu kupewa taarifa juu ya ujio wa Yesu kulinyakua Kanisa Kwa kumwona Yesu akiwa na jeshi la Malaika, amepanda farasi mweupe wakienda Kwa Kasi mawinguni.

Ndipo tujue yafuatayo.

1. Mbingu ni halisi Si hadithi.

2. WATAKATIFU wote wapo Mbinguni, wakifa hawakai kaburini.

3. Mungu yupo na ni MMOJA, na Jina la Mungu huyo mmoja tulilopewa WANADAMU liwezalo kuokoa ni Yesu Kristo/YESHUA HAMASHIACH.

Mungu awabariki.
Naungana na haya uliyo yaeleza hapa.

Watu watakwambiaje huyo Yesu ulijuaje ndo Yesu.


Maelezo haya yanajitosheleza sana.
 
Naungana na haya uliyo yaeleza hapa.

Watu watakwambiaje huyo Yesu ulijuaje ndo Yesu.


Maelezo haya yanajitosheleza sana.
Yesu akikutokea,

Utamwona Kwa kutumia macho ya Roho Si ya MWILI maana Yesu ni Mungu,

Na utajua huyu ni Yesu bila hata kutambulishwa, na utasujudu bila kuambiwa,

Ni automatically.
 
Kwani walipowatokea uliambiwa walitoka Mbinguni ?
Nawe aliyekwambia walitoka kaburini ni nani?

Hakuna nabii wa Mungu afaya na kusubiri kaburini.

Utakuwa mchanga kiroho ndugu yangu.

Kaburini inakaa Mizimu, wafu waliokufa katika dhambi, mapepo , wachawi, misukule nk nk.

Ikiwa Huwa unaenda kaburini ukiamini wapendwa wako waliokufa zamani wamo humo unajidanganya, na ukipiga magoti kuomba kaburini ndio kabisa unafanya Ibada ya wafu.
 
Unajua mnatuchanganya sana kwani anaekufa then anakaa kaburini ni nani?
Mwili wa aliyekuwa ndio unakaa kaburini.

Lakini mtu ni ROHO, tendo la kifo linapotokea, mwili hujitenga na Roho.

Roho ndio mtu halisi, ikiwa ulikufa katika Kristo Yesu, siku ya kufa, Malaika wa Nuru watakuijia na kukupeleka Mbinguni juu,

Ikiwa hukumwamini Yesu, ukifa katika dhambi, Roho Yako ambayo ndio wewe halisi watakuja Malaika wa Giza na kukushika na kukupeleka kuzimu ya moto, chini.

Umeelewa?
 
Kweli Tanzania tuna bahati

Mfalme Zumaridi amewahi kwenda mbinguni

Nabii Mkuu GeoDavid naye amewahi kwenda mbinguni

Mzee wa Upako naye amewahi kwenda mbinguni

Sasa mchungaji Mwakasege naye ameenda na kurudi

Ajabu huu ni Mwaka wa 2025 tunamsubiri Yesu arudi wakati hao wenzetu wameenda na kurudi Kwa kipindi kifupi tu 🙌

Maajabu hayawezi kuisha 🤗
 
Salaam, Shalom!!

Akifundisha katika semina jijini Mbeya Jana tarehe 26 January,Mwalimu Christopher Mwakasege amerudia kauli aliyowahi kuitoa kabla.

Amesema, asubuhi, walipokuwa katika bible study ya familia asubuhi ya jumapili hiyo, Mkewe alimuuliza swali kuwa ikitokea ametokewa na YESU atamtambuaje?

Mwalimu Christopher Mwakasege akamjibu Kwa kumkumbusha juu ya siku aliyotoka ndani ya MWILI wake na kwenda Mbinguni, alipofika Mbinguni, alikutana na Nabii Musa yule Nabii wa kale, na alimtambua, akaongeza kusema, Ukiwa katika mwili wa kiroho, huhitaji kutambulishwa sababu Roho inajua yote na kutambua yote yajayo na yaliyokwisha pita.

..... Mwisho wa kunukuu....

Naungana na Mwalimu Christopher Mwakasege juu ya UKWELI wa jambo hili, mbingu IPO na ni halisi, Mimi pia nimewahi kwenda Nchi nzuri sana, mfano wa uzuri wa Nchi Ile hauelezeki, mji huo hakuna jua Wala mwezi, IPO Nuru nzuri sana ambayo macho hayachoki kuitazama,

Nimewahi kuandika pia juu kupewa taarifa juu ya ujio wa Yesu kulinyakua Kanisa Kwa kumwona Yesu akiwa na jeshi la Malaika, amepanda farasi mweupe wakienda Kwa Kasi mawinguni.

Ndipo tujue yafuatayo.

1. Mbingu ni halisi Si hadithi.

2. WATAKATIFU wote wapo Mbinguni, wakifa hawakai kaburini.

3. Mungu yupo na ni MMOJA, na Jina la Mungu huyo mmoja tulilopewa WANADAMU liwezalo kuokoa ni Yesu Kristo/YESHUA HAMASHIACH.

Mungu awabariki.
😅😅😅😅😅😅Ule Uchawi wa Rakims umetufikisha huku?

Mimi nasemaga hapa tz hakuna Injili
 
Back
Top Bottom