Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Mwl. Nyerere alikuwa na busara sana kulipotokea hamkani ya Malechela kutomshauri vema Rais Mwinyi, Nyerere alionya akasema unaweza kumtingisha Waziri mkuu nchi isitikisike lakini huwezi kumtingisha Rais nchi ikaacha kutikisika.
Maana yake ni nini? Mwl. alitambua nguvu ya Rais na mamlaka yake kwa ustawi wa taifa letu. Hivyo basi ni vema tuache tetesi za mitandaoni na tubaki kumuombea mema ili aweze kutimiza majukumu yake kwa ustawi wa taifa letu.
Superbug.
Maana yake ni nini? Mwl. alitambua nguvu ya Rais na mamlaka yake kwa ustawi wa taifa letu. Hivyo basi ni vema tuache tetesi za mitandaoni na tubaki kumuombea mema ili aweze kutimiza majukumu yake kwa ustawi wa taifa letu.
Superbug.