Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
Yuko wapi kwa sasa kwani?Labda unaupungufu wa media nyumbani kwako kweli hujawahi kumsikia mh rais Magufuli akisema anaomba tumuombee hasa kwakuwa sera zake zinachukiwa na wasiolitakia mema taifa? Rejea phrase yake juu ya Vita ya kiuchumi. Pengine aliforecast shubiri hii ndio maana alisema Mara nyingi mniombee.
Mbona hakuna taarifa za kazi zake TBC, channel 10 na Millard Ayo?