Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
Yuko wapi kwa sasa kwani?Labda unaupungufu wa media nyumbani kwako kweli hujawahi kumsikia mh rais Magufuli akisema anaomba tumuombee hasa kwakuwa sera zake zinachukiwa na wasiolitakia mema taifa? Rejea phrase yake juu ya Vita ya kiuchumi. Pengine aliforecast shubiri hii ndio maana alisema Mara nyingi mniombee.
Kwa kipi unamtakiaNamtakia maisha marefu yenye afya njema na baraka tele!
Kwani nani anayemnyofoa Rais?Alinyofolewa Lowasa na nchi ilienda vema ila Rais wa nchi sio Jambo la kulishabikia kwa pupa habari za vigogo tuzipuuze kwa wakati huu ndugu zangu tuungane tuwe kitu kimoja just imagine Leo spika ndugai kapanda miti kongwa vipi kesho uzushi huu ikionekana sio kweli mtaficha wapi nyuso zenu?
Wakina nani wasiolitakia mema taifa hili?. Kauli kama hizo zimetumika kuonea watu awamu hii, zimetumika kupitisha vitu ambavyo vinaumiza watu.Labda unaupungufu wa media nyumbani kwako kweli hujawahi kumsikia mh rais Magufuli akisema anaomba tumuombee hasa kwakuwa sera zake zinachukiwa na wasiolitakia mema taifa? Rejea phrase yake juu ya Vita ya kiuchumi. Pengine aliforecast shubiri hii ndio maana alisema Mara nyingi mniombee.
Kiongozi wa kitaifa hutunza kauli zake 'a public figure has to keep his words'Mwl Nyerere alikuwa na busara sana kulipotokea hamkani ya Malechela kutomshauri vema Rais Mwinyi, Nyerere alionya akasema unaweza kumtingisha Waziri mkuu nchi isitikisike lakini huwezi kumtingisha Rais nchi ikaacha kutikisika...
Kiongozi wa kitaifa anatakiwa atunze kauli zakeTusilazimishe upendo kwanguvu ama kwamaneno meeengi...ukiwa public figure vyote nivyako na hutakiwi kupanic! Ukiwa MTU wawatu,msaada kwa wenyeshida,ukiwa na kauli nzuri,mpenda maendeleo ya watu,mdemokrasia,msikilizaji mzuri nk. watu waliowengi watakupenda tofauti nahivyo utachukiwa mmmno na utaombewa mabaya
Muda ulishaongea 'time has already told'Muda utaongea
Sio hivyo mkuu, ukiona hivyo ana thamani kubwa mno kwani huoni hata nchi za nje zinataka kupata kufahamuSwali la kujiuliza kwa nini mtu mmoja awe na nguvu kubwa namna hii? Yaani mtu mmoja akitingishika watu milioni 52 wanatingishika? Ni mfumo dhaifu sana.
Ni Katiba yetu ya KimwamiSwali la kujiuliza kwa nini mtu mmoja awe na nguvu kubwa namna hii? Yaani mtu mmoja akitingishika watu milioni 52 wanatingishika? Ni mfumo dhaifu sana.
Usichanganyike we jua yupo kwani umeona maiti au kaburi lake.?Mna tuchanganya mjue nyie, mara tusikie mzima wa afya na anapiga kazi zake, mara tusikie yupo Nairobi, mara tusikie yupo Bahari Ya Hindi akieelekea India, mara tusikie amesharudisha "USAJILI WAKE" kwa Sir, mara mtuambie tumuombee dua wakati yeye mwenyewe "HAJATUAMBIA TUMUOMBEE".
Acha tusubiri, akituambia tumuombee basi tutamuombea. Akikausha basi fresh, no sho, fair play, na si tutakausha tu.
NdioMajaliwa alisema ni mzima na anachapa kazi.
Namuomba Mungu anijaalie mimi Maisha marefu yenye afya njema na baraka tele! Amina.Namtakia maisha marefu yenye afya njema na baraka tele!
Ni Rais pekee ndo mwenye haki ya kuombewa nchi hii?Labda unaupungufu wa media nyumbani kwako kweli hujawahi kumsikia mh rais Magufuli akisema anaomba tumuombee hasa kwakuwa sera zake zinachukiwa na wasiolitakia mema taifa? Rejea phrase yake juu ya Vita ya kiuchumi. Pengine aliforecast shubiri hii ndio maana alisema Mara nyingi mniombee.
Chato leadership system!Swali la kujiuliza kwa nini mtu mmoja awe na nguvu kubwa namna hii? Yaani mtu mmoja akitingishika watu milioni 52 wanatingishika? Ni mfumo dhaifu sana.