Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Komredi....Dah we mrembo mjanja sana. Unanifukuza kijanja sio? Mi siogopi wala nini, mtongozo uko palepale.
HIV sio ugonjwa
HIV sio kifo
HIV ni virusi vinavyosababisha upungufu wa kinga mwilini. Usiingiwe na hofu ukikutwa HIV+
Ishi kwa matumaini... kula vizuri, pumzika vya kutosha, mazoezi ya wastani, fuata ushauriwa wataalam wa afya.. Hakika utaushuhudia uzee wako ukiwa na afya yako njema kabisa
Tuko pamoja mrembo wangu,hakuna unyanyapaa wala nini.
Jokes on you. Usijaribu kucheza na maumivu ya watu.Mara paap! +ve ni malaria[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au ujauzito
[emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji2827][emoji2827][emoji2827]Are you serious!?Habari zenu wote?
Siku kadhaa nyuma nimejikuta kwenye wakati mgumu mno,
Hivi karibuni niliwiwa kwenda kupima kama sehemu ya kuifahamu afya yangu,
majibu yangu hayakuwa ya kufurahisha, nilichanganyikiwa na nikajichukia mno,
nikajutia nyakati zote za kukutana bila kinga na kujikuta nimechukua sex mnoo.
Ila baada ya kumweleza rafiki yangu alinipa moyo na nipo naendelea kuishi kwa matumaini.
my take ;
usimpime Mtu kwa macho.
Tutumie vipimo tutumie kinga.
#lets stay positive.
Kwa nini zicrash?Ya kweli haya??
Pata picha siku Ngabu naye anakuja tangaza kuwa ni HIV+ 😄.
Servers za JF zita crash kabisa!!
Ushauri: Nina hamu kufanya mapenzi kupitilizaHabari zenu wote?
Siku kadhaa nyuma nimejikuta kwenye wakati mgumu mno,
Hivi karibuni niliwiwa kwenda kupima kama sehemu ya kuifahamu afya yangu,
majibu yangu hayakuwa ya kufurahisha, nilichanganyikiwa na nikajichukia mno,
nikajutia nyakati zote za kukutana bila kinga na kujikuta nimechukua sex mnoo.
Ila baada ya kumweleza rafiki yangu alinipa moyo na nipo naendelea kuishi kwa matumaini.
my take ;
usimpime Mtu kwa macho.
Tutumie vipimo tutumie kinga.
#lets stay positive.
Usiogope tena .... kuna Dr. mmoja kule instagram.... kwanzaHabari zenu wote?
Siku kadhaa nyuma nimejikuta kwenye wakati mgumu mno,
Hivi karibuni niliwiwa kwenda kupima kama sehemu ya kuifahamu afya yangu,
majibu yangu hayakuwa ya kufurahisha, nilichanganyikiwa na nikajichukia mno,
nikajutia nyakati zote za kukutana bila kinga na kujikuta nimechukua sex mnoo.
Ila baada ya kumweleza rafiki yangu alinipa moyo na nipo naendelea kuishi kwa matumaini.
my take ;
usimpime Mtu kwa macho.
Tutumie vipimo tutumie kinga.
#lets stay positive.
Dah....mbinu mpya hiii...dah [emoji2960]Habari zenu wote?
Siku kadhaa nyuma nimejikuta kwenye wakati mgumu mno,
Hivi karibuni niliwiwa kwenda kupima kama sehemu ya kuifahamu afya yangu,
majibu yangu hayakuwa ya kufurahisha, nilichanganyikiwa na nikajichukia mno,
nikajutia nyakati zote za kukutana bila kinga na kujikuta nimechukua sex mnoo.
Ila baada ya kumweleza rafiki yangu alinipa moyo na nipo naendelea kuishi kwa matumaini.
my take ;
usimpime Mtu kwa macho.
Tutumie vipimo tutumie kinga.
#lets stay positive.
Dah...Prof. [emoji481][emoji481][emoji481] tu hizo...usiogope [emoji2960][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji2827][emoji2827][emoji2827]Are you serious!?
Huyo mwanaCCM ,mademu wa humu walimvuliaga chupi sana kipindi fulani iviKwa nini zicrash?
Una damu ya kutu au?
Pata basi uje utangaze tuone kama zitacrash.
Oooooh kumbe kamalaya!Huyo mwanaCCM ,mademu wa humu walimvuliaga chupi sana kipindi fulani ivi
Sasa Tangia hapo, akawa Jeuri ...
Hapo anaamanisha ivi, kagonga wengi, nao wameenda wamegongana wengine wakagonga wengine walogongwa pia.
Sasa anahisi katakua ni kamsururu.[emoji23]
Pigia mstari Mkuu , ndio maana anajipongeza kwa juhudi zake .Oooooh kumbe kamalaya!
Ngaaabuuu!! Ila madem bwana ovyo kabisa huwa wanashoboka na vitu vya ajabu sana, ukute hanaga hata hayo maajab wanayodhani anayo.Pigia mstari Mkuu , ndio maana anajipongeza kwa juhudi zake .
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pigia mstari Mkuu , ndio maana anajipongeza kwa juhudi zake .
Wakati mwingine tusiwalaumu sana.Ngaaabuuu!! Ila madem bwana ovyo kabisa huwa wanashoboka na vitu vya ajabu sana, ukute hanaga hata hayo maajab wanayodhani anayo.
Huu ugonjwa si wa kawaida chifu..nmegoma kuamin..tupeane moyo lakin huu ugonjwa si wa kawaidaSiku hizi huu ugonjwa umekuwa kawaida sana, ishi maisha ya kawaida kama kufa kupo tu uwe positive or negative.
Hata usingekuwa na hilo tatizo bado ungekufa tu so hakijaharibika kitu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe umepima au una kishujaa kama wangu. Mi kupima labda greda la Manispaa lije linizoe linipeleke kea mpimaji. Na mpimaji awe amekamata AK47 mtutu kauelekeza kwenye medula oblangata... Afu chupa kubwa ya K Vant iwe inaniangalia kwa huzuni...
🤣🤣Oooooh kumbe kamalaya!