Inawezekana imefanana tuKaka hii avatar yako huu mdomo nauonaga kwa mkaka mmoja pale DHL airport.
Mimi ni nani...Acha unabii uchwara!🤣🤣
Hivi kwa nini huwa unaona ni lazima utumie ID nyingine kuniponda?
Tumia ile ile ya siku zote.
Usiogope.
Sasa mimi niwe na maajabu gani?Ngaaabuuu!! Ila madem bwana ovyo kabisa huwa wanashoboka na vitu vya ajabu sana, ukute hanaga hata hayo maajab wanayodhani anayo.
Wewe ni takataka 🤣.Mimi ni nani...Acha unabii uchwara!
Wewe ni takataka 🤣.
Trash.
hakuna tena kula kimasiharaVile wazee wa kula tunda kimasihara wanatoa mimacho saa hizi!View attachment 1568035
You’re too slow!😂😂 vizuri
That makes the two of us then!
Two trashes! Ngoja nikuwahi kukuweka kwa bin 🚮🚮🚮
Hata mi nahic anatuzuga.Me siamini km hornet anao.nahic ametuchapia tu
Hongera kwa kujitambua, na kuishi positivelyHabari zenu wote?
Siku kadhaa nyuma nimejikuta kwenye wakati mgumu mno,
Hivi karibuni niliwiwa kwenda kupima kama sehemu ya kuifahamu afya yangu,
majibu yangu hayakuwa ya kufurahisha, nilichanganyikiwa na nikajichukia mno,
nikajutia nyakati zote za kukutana bila kinga na kujikuta nimechukua sex mnoo.
Ila baada ya kumweleza rafiki yangu alinipa moyo na nipo naendelea kuishi kwa matumaini.
my take ;
usimpime Mtu kwa macho.
Tutumie vipimo tutumie kinga.
#lets stay positive.
Angepigwa mkwara wa kukusubiria airport siku utakayorejea. 😄 😄Mi wa kwangu alilazimika kuwaambia niko nje ya nchi. Sinaga masihara kwenye mambo haya
Aisee, pole sana Hornet .Habari zenu wote?
Siku kadhaa nyuma nimejikuta kwenye wakati mgumu mno,
Hivi karibuni niliwiwa kwenda kupima kama sehemu ya kuifahamu afya yangu,
majibu yangu hayakuwa ya kufurahisha, nilichanganyikiwa na nikajichukia mno,
nikajutia nyakati zote za kukutana bila kinga na kujikuta nimechukua sex mnoo.
Ila baada ya kumweleza rafiki yangu alinipa moyo na nipo naendelea kuishi kwa matumaini.
my take ;
usimpime Mtu kwa macho.
Tutumie vipimo tutumie kinga.
#lets stay positive.
Nikiwa mkubwa sitaki mapenzi![emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji2827][emoji2827][emoji2827]Are you serious!?