My confession: Hornet is Positive

Status
Not open for further replies.
Khaaaarrrggghhhh ndio manini hayo??? Jambo ambalo halina faida yoyote kwangu lann??? Yaaan niongee sababu ya kutafuta ujiko???? Wann?? Ili iweje ???



Ninaowaweza nawaweza, na tutaenda kichwa kichwa hilo haliwez badilika.
Nakufahamu sana, jambo dogo utaandika kitabu.
Kuna mambo mengi unaongea nafsi inakusuta....nasoma nacheeka.
Sitaki nikukumbushe mengine hapa kwani kuna watu tutawatonesha, itoshe kusema usidanganye umma, usipotosheka uje pm nikukumbushe...japo nafahamu ya pm utayaleta humu pia
 
Narudia kukuambia tena, Maisha yetu na namna ya ubebaji wa matatizo ya watu na mapokeo yetu ni tofauti sana.

Ktk zile nyakati, Yeye kua na mume, na bado anapata hamu ya kufanya, kwangu mimi njia ya kumsaidia haraka ilikua nikama nilivofanya.

Pamoja na michango mengine ya watu, niwazi kua aliondoka na kitu.


Uzi ule ulikaa sijui jukwaa la chitchat sikumbuki vzur, na hivo hata niliyoyaandika niliandika kwa kuzingatia kua ni suala dogo kabisa ambalo kwa MTU MZIMA SIFA PEKEE ALONAYO NI KUONGOZA MWILI WAKE ..hivo sikua nashaka, na niliamin kwa maneno yake, Hatoweza tamani tena kuchepuka.

Suala la Ushauri kulingana na Taaluma yangu Sikulipa nafasi.


Sasa turudi, imetokea tufanye nn???...


LAZIMA KUMPENDA MTU HATA KATIKA WAKATI AMBAO YEYE MWENYEWE ANAJITAHIDI SANA KUJIPENDA .



huu sio wakat wa kumrudisha Hornet ktk Kumbukumbu ambazo mwisho wake ni kumuingiza katika majonzi.
 
Wewe sikia, weka hapahapa nikumbushe hapahapaa.


PM yann?? Yaan mambo yangu niyaogope kweli???

Weka hapa
 
Wewe sikia, weka hapahapa nikumbushe hapahapaa.


PM yann?? Yaan mambo yangu niyaogope kweli???

Weka hapa
Sitaki kuwaumiza wengine. Kwanza huu mjadala hauna afya, unaweza kuendeleza mwenyewe ukitaka
 
Sitaki kuwaumiza wengine. Kwanza huu mjadala hauna afya, unaweza kuendeleza mwenyewe ukitaka
Aahhh acha mkwara ,hamna wa kuumizwa wala nn.


Unajua nipp hivi..nyeupe ni nyeupe ,nyeusi ni nyeusi .

Na huwa nachangia kulingana na kilichopo .

Mtu pekee wakuumizwa niyule ambaye anapenda kusikiliza yale yanayompendelea tu nahao ni aina ya waty wadhaifu sana.


Kwaiyo Mkuu usijitahidi kunichora kama Kijana fulani ivi muumizaji ..


Mengine ni mapungufu ambayo hata wewe unayo na ambayo hayawezi kukuondolea uhalisia wako.


Siku njema.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…