Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Aya twendeeeMchezo huu hauhitaji hasira.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aya twendeeeMchezo huu hauhitaji hasira.
Nakufahamu sana, jambo dogo utaandika kitabu.Khaaaarrrggghhhh ndio manini hayo??? Jambo ambalo halina faida yoyote kwangu lann??? Yaaan niongee sababu ya kutafuta ujiko???? Wann?? Ili iweje ???
Ninaowaweza nawaweza, na tutaenda kichwa kichwa hilo haliwez badilika.
Kwanini uliangalia upande wa kucheat pekee?
Lengo la uzi alileta kama tatizo kwake na anshitaji msaada aachane na hali hiyo.
Kinyume chake uliishia kumkejeli.
Kwanini hukuona kuwa anahitaji msaada?
Je hujui hili tatizo alilolipata chanzo kikuu ni tatizo?
Kwasasa unajifanya mshauri lakini haisaidii japo ulipata fursa ya kumsaidia...tena ni sehemu ya taaluma yako.
Maneno mengi hayawezi kubadili ukweli kuwa wabongo wanejaa unafiki mkubwa
Wewe sikia, weka hapahapa nikumbushe hapahapaa.Nakufahamu sana, jambo dogo utaandika kitabu.
Kuna mambo mengi unaongea nafsi inakusuta....nasoma nacheeka.
Sitaki nikukumbushe mengine hapa kwani kuna watu tutawatonesha, itoshe kusema usidanganye umma, usipotosheka uje pm nikukumbushe...japo nafahamu ya pm utayaleta humu pia
Hornet unaitwa
MmmmmhHaahahaa hana madhara huyo
Sisi tubaki na Hazard CFC hao tuwaache na yao.Kwani shoga angu hao wanaume huko juu umewaelewa?
[emoji1787][emoji1787] na kweli tukampigie 3someSisi tubaki na Hazard CFC hao tuwaache na yao.
Sitaki kuwaumiza wengine. Kwanza huu mjadala hauna afya, unaweza kuendeleza mwenyewe ukitakaWewe sikia, weka hapahapa nikumbushe hapahapaa.
PM yann?? Yaan mambo yangu niyaogope kweli???
Weka hapa
Labda 3some na k vant.[emoji1787][emoji1787] na kweli tukampigie 3some
🤣🤣🤣🤣🙌🙌jf kibokoNasikitika nimeuona leo
Hawezi kukuacha babe wake.Tumuache bwana tunampunguzia Credit KWA pisi anazofukuzia PM
Aahhh acha mkwara ,hamna wa kuumizwa wala nn.Sitaki kuwaumiza wengine. Kwanza huu mjadala hauna afya, unaweza kuendeleza mwenyewe ukitaka
Tumekumbushwa tuDaah tunatishana jaman wikiendi hii