Broadcast
Member
- Jun 19, 2022
- 76
- 285
Orodha ya wasanii na watu maarufu waliopita kwa Diddy imezidi kuwa ndefu sana, lakini katika wote hao bwana Mdogo Justine Bieber hadithi yake inasikitisha zaidi, na inaumiza pia.
Justin Bieber anadaiwa kuzungumzia wakati wake na Diddy, akisema, “Kabla ya kutembelea au kwenda kwenye sherehe yake, unasaini karatasi inayosema hutajadili chochote unachokiona. Maisha yangu yalibadilika kabisa baada ya ziara hiyo.”
Akiwa na umri wa miaka 15, Justin alikuwa chini ya ushawishi wa Diddy, na video ya mtandaoni inamuonyesha Diddy akisisitiza kwamba kinachotokea kwenye mikusanyiko yao lazima kiwe siri. Justin hakuwa na hatia wakati huo( hajui lolote, bado mtoto), jambo ambalo linatufanya tuwe na wasiwasi kuhusu changamoto alizokabiliana nazo baadaye.
Justine Bieber mwenyewe aliandika haya kuhusu uzoefu wake wa miaka 16 na Diddy 😴
"Mimi hutokwa na machozi kila siku nikifikiria kuwa siwezi kurudisha hatia yangu" - Justin Bieber
Soma Pia: Waendesha Mashtaka wadai nyumba ya Diddy ilikutwa na Vilainishi, Silaha, Dawa za Kulevya, Mafuta ya Watoto Chupa zaidi ya 1000
"Karibu ninyi nyote mnajua hadithi yangu ya jinsi umaarufu ulivyonipata kutoka kwa umri mdogo hadi utu uzima, na wengi wenu mnavutiwa na kutamani kuwa na maisha ya kifahari ambayo yalikuwa juu yangu, yah namanisha haingenigharimu chochote kununua Rolls Royce 3 kwa usafiri na washkaji zangu, huku tukipiga barafu na wanawake wazuri wenye shape za kuvutia .
Niliishi maisha, lakini kilichoniumiza zaidi ni maisha ya kamera, wengine mnalaumu umaarufu kwamba niliamka asubuhi moja tu na kuanza kutumia M0lly(aina ya madawa) na vidonge ili niweze kujisikia vizuri, lakini hamjui chochote kuhusu Bieber. Ilikuwa ni njia ya kutoroka kwa maumivu ya kisaikolojia ambayo nisingeweza kuyapata kila ninapokumbuka saa 48 nilizokaa na Diddy, inagonga kichwa changu na kama boomerang nahisi kila mwanaume anayekuja katika maisha yangu anataka kurudia masaa 48 ya Diddy.
Nilimpata Yesu, niliacha kila kitu lakini naomba maumivu haya yaondolewe. kwa maana malaika aliyepotea ndani yangu kwa utukufu na matarajio ya ulimwengu, naomba kuzimu isinipe sehemu ya VIP.
Naomba sote tupate amani".
Justin Bieber anadaiwa kuzungumzia wakati wake na Diddy, akisema, “Kabla ya kutembelea au kwenda kwenye sherehe yake, unasaini karatasi inayosema hutajadili chochote unachokiona. Maisha yangu yalibadilika kabisa baada ya ziara hiyo.”
Akiwa na umri wa miaka 15, Justin alikuwa chini ya ushawishi wa Diddy, na video ya mtandaoni inamuonyesha Diddy akisisitiza kwamba kinachotokea kwenye mikusanyiko yao lazima kiwe siri. Justin hakuwa na hatia wakati huo( hajui lolote, bado mtoto), jambo ambalo linatufanya tuwe na wasiwasi kuhusu changamoto alizokabiliana nazo baadaye.
Justine Bieber mwenyewe aliandika haya kuhusu uzoefu wake wa miaka 16 na Diddy 😴
"Mimi hutokwa na machozi kila siku nikifikiria kuwa siwezi kurudisha hatia yangu" - Justin Bieber
Soma Pia: Waendesha Mashtaka wadai nyumba ya Diddy ilikutwa na Vilainishi, Silaha, Dawa za Kulevya, Mafuta ya Watoto Chupa zaidi ya 1000
"Karibu ninyi nyote mnajua hadithi yangu ya jinsi umaarufu ulivyonipata kutoka kwa umri mdogo hadi utu uzima, na wengi wenu mnavutiwa na kutamani kuwa na maisha ya kifahari ambayo yalikuwa juu yangu, yah namanisha haingenigharimu chochote kununua Rolls Royce 3 kwa usafiri na washkaji zangu, huku tukipiga barafu na wanawake wazuri wenye shape za kuvutia .
Niliishi maisha, lakini kilichoniumiza zaidi ni maisha ya kamera, wengine mnalaumu umaarufu kwamba niliamka asubuhi moja tu na kuanza kutumia M0lly(aina ya madawa) na vidonge ili niweze kujisikia vizuri, lakini hamjui chochote kuhusu Bieber. Ilikuwa ni njia ya kutoroka kwa maumivu ya kisaikolojia ambayo nisingeweza kuyapata kila ninapokumbuka saa 48 nilizokaa na Diddy, inagonga kichwa changu na kama boomerang nahisi kila mwanaume anayekuja katika maisha yangu anataka kurudia masaa 48 ya Diddy.
Nilimpata Yesu, niliacha kila kitu lakini naomba maumivu haya yaondolewe. kwa maana malaika aliyepotea ndani yangu kwa utukufu na matarajio ya ulimwengu, naomba kuzimu isinipe sehemu ya VIP.
Naomba sote tupate amani".