Yeah ni pesa ndefu hiyo kibongo Bongo zaidi ya bilioni mia za kibongo alikataa yule Katt Williams , ni mchekeshaji mkubwa pale StatesIla p didy angekuja bongo angekufa na ukimwi miksa yutiyai sugu........maana kuna jamaa mmoja ni mshehereshaji alikataa ofa ya dolla mil 50 ili atoe marinda kwa did.......jamaa bado kidogo apigane .........sasa hiyo pesa iweke kwenye madafu yetu harafu apewee gigy money au staa yeyote wa kike au wa kiume .........mamaeeee utafi@%@ ra mpaka ubongo wake..........maana wanaojitahidi tu kuhongq vitz au ist huwa wanawala mpaka wazazi wa watoto wanao date nao sembuse hicho kibunda.........yaani sijui nicole,sanchi ,biriani ,shish na mapapa yote ya mjini hapa aggy sijui ..............yaani wote
Kiufupi Didy alikuwa pia sex trafficker kama akina Epstein na Ghislaine Maxwell , ni mtandao mkubwa ambao mpaka akina Clinton's wanahusishwa ,so yawezekana wameamua kumtoa Didy kafara kama walivyompa Epstein kafara , maana Epstein naye alikuwa anafanya issues hizo hizo ,anaalika watu wakubwa kama akina bill gates kwenye sexual orgies na watoto wadogo kwenye majumba yake na huku anawarekodi kisiri siri na mwisho wa siku anawafanyia blackmail .
Ni mtandao wa watu wakubwa na wanalinda sana siri zao ,usishangae kusikia Didy kafia mahabusu au gerezani kama kilichomkuta Epstein ,Ile ilikuwa ni mauaji ,walimuua ili kuficha siri zao hao watu alikuwa na siri zao na anawablack mail .