My confession: Justin Bieber kuhusu P-Diddy

My confession: Justin Bieber kuhusu P-Diddy

Ila p didy angekuja bongo angekufa na ukimwi miksa yutiyai sugu........maana kuna jamaa mmoja ni mshehereshaji alikataa ofa ya dolla mil 50 ili atoe marinda kwa did.......jamaa bado kidogo apigane .........sasa hiyo pesa iweke kwenye madafu yetu harafu apewee gigy money au staa yeyote wa kike au wa kiume .........mamaeeee utafi@%@ ra mpaka ubongo wake..........maana wanaojitahidi tu kuhongq vitz au ist huwa wanawala mpaka wazazi wa watoto wanao date nao sembuse hicho kibunda.........yaani sijui nicole,sanchi ,biriani ,shish na mapapa yote ya mjini hapa aggy sijui ..............yaani wote
Yeah ni pesa ndefu hiyo kibongo Bongo zaidi ya bilioni mia za kibongo alikataa yule Katt Williams , ni mchekeshaji mkubwa pale States
Kiufupi Didy alikuwa pia sex trafficker kama akina Epstein na Ghislaine Maxwell , ni mtandao mkubwa ambao mpaka akina Clinton's wanahusishwa ,so yawezekana wameamua kumtoa Didy kafara kama walivyompa Epstein kafara , maana Epstein naye alikuwa anafanya issues hizo hizo ,anaalika watu wakubwa kama akina bill gates kwenye sexual orgies na watoto wadogo kwenye majumba yake na huku anawarekodi kisiri siri na mwisho wa siku anawafanyia blackmail .

Ni mtandao wa watu wakubwa na wanalinda sana siri zao ,usishangae kusikia Didy kafia mahabusu au gerezani kama kilichomkuta Epstein ,Ile ilikuwa ni mauaji ,walimuua ili kuficha siri zao hao watu alikuwa na siri zao na anawablack mail .
 
Balaaaa
 

Attachments

  • Screenshot_20240924-232213_Gallery.jpg
    Screenshot_20240924-232213_Gallery.jpg
    372.8 KB · Views: 11
Ila p didy angekuja bongo angekufa na ukimwi miksa yutiyai sugu........maana kuna jamaa mmoja ni mshehereshaji alikataa ofa ya dolla mil 50 ili atoe marinda kwa did.......jamaa bado kidogo apigane .........sasa hiyo pesa iweke kwenye madafu yetu harafu apewee gigy money au staa yeyote wa kike au wa kiume .........mamaeeee utafi@%@ ra mpaka ubongo wake..........maana wanaojitahidi tu kuhongq vitz au ist huwa wanawala mpaka wazazi wa watoto wanao date nao sembuse hicho kibunda.........yaani sijui nicole,sanchi ,biriani ,shish na mapapa yote ya mjini hapa aggy sijui ..............yaani wote
Kwenye podcast ya Joe Rogan IPO Spotify,boomplay ,apple podcasts nk ,Katy Williams alifunguka sana
Kaisikilizeni
 
Burna Boy anahusishwa na sherehe za P Diddy ambazo zinaelezwa kuwa kila aliyekuwa ndani ya sherehe hizo alikuwa uchi. P Diddy kwa sasa yuko gerezani akisubiri kusomewa mashtaka ya kujihusisha na utekaji wa wanawake na kuwalazimisha kushiriki ngono kwa malipo.

Kwenye tweet ya P Diddy na Burna Boy ambayo ilikuwa imeanza kuzua mjadala imefutwa na P Diddy ambayo alimpongeza Burna baada ya sherehe hizo akimuambia "We did it King Burna Boy" naye Burna akajibu "we did it".

Kwenye sherehe hizo Burna Boy alionekana akiingia akiwa amevalia mavazi ya kike. Picha hii inaendelea kusambaa Nigeria ikiwaacha watumiaji wa mitandao nchini humo na hisia za mchanganyiko.

P Diddy alitangaza kufichua siri za Mastar wengi endapo atafunguliwa mashtaka ya kufungwa maisha.
 
Rapa Kanye West Anasema kwamba Yanayofichuka Kwasasa kuhusu Rapa Diddy alishawahi kuyasema miaka miwili iliyopita ila Akaitwa Kichaa. Anasema aliyokua anafanya P. Diddy yanatokana Masharti Ya Jamii Ya Siri (Illuminati) Inayomuongoza.

“Mfumo Wao Ni Rahisi Tu, Kwanza Wanakupa Nguvu Ili Waweze Kuku-Control Na Pale Watakaposhindwa Kuku-Control Wanakupoteza Na kukunyang’anya Kila Kitu”

West Ametaja Pia Baadhi Ya Mastaa Wanaongozwa Na Illuminatai Akiwemo Meekmill, Diddy, Jayz, Beyonce, Dr. Dre N.k

“(Illuminat) Wana Hasira Juu Yangu Kwasababu Wameshindwa Kuni-Control. Wanawaweza Kum-Control Jay-Z Na Beyonce, Diddy Na Kila Mtu Lakini Sio Mimi. Wanataka Mimi Niwe Kanye West Lakini Mimi Ni #YE. Mtu Pekee Anayeweza Kuni-Control Na Kunivunjia Heshima Kama Akitaka Ni Mungu Tu”

“Mama Yangu Leo Hii Hayupo Kwasababu Walimtoa Kafara, Michael Jordan Alimtoa Kafara Baba Yake, Dr. Dre Alimtoa Kafara Mtoto Wake Wa Kiume”

“Kama Ukiwa Hollywood, Unatoa Kafara Nyingi Ili Tu Wakupe Nguvu, Umaarufu Na Pesa Halafu Wanaku-Control Unakuwa Chini Yao. Mungu Ananipenda Na Ndiyo Maana Nilimrudia Na Kuwa Mkristo”.

“Nilipokataa Kuwa Chini Yao Hawakuwa Na Chochote Cha Kutumia Dhidi Yangu Na Badala Yake walichukua Kila Kitu Nilichonacho Ikiwemo Dili La Adidas. Baada Ya Kuchukua Kila Kitu, Jarida La Forbes Lenye Chuki Dhidi Yangu Lilikuwa La Kwanza Kuchapisha Taarifa Kuwa (Utajiri Wa Kanye Ni Dola Mil 400), Na Niliishia Kucheka Tu Kwasababu Mimi Bado Ni Bilionea. Yesu Ni Mfalme Na Mungu Ananipenda, Hivyo Nasema Ukweli Huu Ikiwa Mungu Yupo Upande Wangu Basi Hakuna Kitu Kitanitokea” - Kanye

Kwasasa Diddy Anaandamwa Na Kesi Za Kingono Mahakamani Ambapo Amefikia Hatua Ya Kuuza Mali Na Nyumba Zake Ili Kumaliza Misala Hiyo Inayomkabili.
 
P Diddy ameomba alipe Tsh Bilioni 137 na kutoruhusu tena mwanamke yeyote kuingia nyumbani kwake ila hakimu amegoma kumpa dhamana. P Diddy amewekwa kwenye moja kati ya jela hatari Brooklyn na atakua anaoga mara 3 kwa wiki, kuamka saa 12 asubuhi kisha kudeki chumba chake kila siku
 
Mafuta...vilainishi vimekutwa ndani ya jengo la mwamba. Yaani ni zaidi ya elfu moja.

Huyu jamaa aliwafanyia ndivyo sivyo masela mwanangu. Halafu kategedha video ndani, akikutafuna, amatishia kuivujisha, unakuwa mpole.

Mkienda kaa mastaa angalien sana mkiona vilainishi kimbien siovzuri kwa afya zenu oooh
 
Ulimwengu wa mafanikio una siri nzito mno , kuna podcast moja niliisikiliza siku iliyopita kule Spotify , jamaa anaelezea kwa kuna satanic cults zinateka watoto halafu zinawafungia kwenye cages halafu zinaandaa kitu kama mpambano hivi,wale watoto wanapewa visu wapigane mpaka kufa na kuna live sexual orgies na watoto wadogo , jamaa linasema hizo events zinafanyika chini ya majiji makubwa sehemu za siri sana , kama Chicago ,Newyork nk huko Marekani na watu wakubwa toka kila pembe ya duniani wanahudhuria kisiri siri hizo events ,mpaka kuna tetesi yule Prince WA Saudia Mohamed bin Salman aliwahi hudhuria event moja hivi .
Kuna mambo mazito mno huu ulimwengu wetu
 
Back
Top Bottom