Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Afrika kuwa na pesa ni kama kumiliki pepo š¤£kamaa kawala wa marekani
Ha waafrikaa wamerwafi sanaa wanavyopendaaa pesaaa aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afrika kuwa na pesa ni kama kumiliki pepo š¤£kamaa kawala wa marekani
Ha waafrikaa wamerwafi sanaa wanavyopendaaa pesaaa aisee
Huyo hana cleanshit kitamboInasikitisha sana.. yule jamaa wa Tandale anakwambia mambo waliyofanya na Pdidy ni ngumu kuelezeka. So sad
Kwamba jamaa walishakata utepe?Huyo hana cleanshit kitambo
Anaitokea wapiiHuyo hana cleanshit kitambo
mwanangu Infro mimi huwa nakuafiki vingi lakini tunatofautiana pointi ya uchawi.Ngoja kwanza, Hizo kafara zinatolewa vipi?
Huyo mtu anaye tolewa kafara anauwawa vipi?
Au wanamteka kisha kumuua?
Na bday wameshiriki itakuwaKwamba jamaa walishakata utepe?
Hatari sanaNa bday wameshiriki itakuwa
YE haogopi bifu kwa aliowataja? Mbona kama hatari sana kwake.Rapa Kanye West Anasema kwamba Yanayofichuka Kwasasa kuhusu Rapa Diddy alishawahi kuyasema miaka miwili iliyopita ila Akaitwa Kichaa. Anasema aliyokua anafanya P. Diddy yanatokana Masharti Ya Jamii Ya Siri (Illuminati) Inayomuongoza.
āMfumo Wao Ni Rahisi Tu, Kwanza Wanakupa Nguvu Ili Waweze Kuku-Control Na Pale Watakaposhindwa Kuku-Control Wanakupoteza Na kukunyangāanya Kila Kituā
West Ametaja Pia Baadhi Ya Mastaa Wanaongozwa Na Illuminatai Akiwemo Meekmill, Diddy, Jayz, Beyonce, Dr. Dre N.k
ā(Illuminat) Wana Hasira Juu Yangu Kwasababu Wameshindwa Kuni-Control. Wanawaweza Kum-Control Jay-Z Na Beyonce, Diddy Na Kila Mtu Lakini Sio Mimi. Wanataka Mimi Niwe Kanye West Lakini Mimi Ni #YE. Mtu Pekee Anayeweza Kuni-Control Na Kunivunjia Heshima Kama Akitaka Ni Mungu Tuā
āMama Yangu Leo Hii Hayupo Kwasababu Walimtoa Kafara, Michael Jordan Alimtoa Kafara Baba Yake, Dr. Dre Alimtoa Kafara Mtoto Wake Wa Kiumeā
āKama Ukiwa Hollywood, Unatoa Kafara Nyingi Ili Tu Wakupe Nguvu, Umaarufu Na Pesa Halafu Wanaku-Control Unakuwa Chini Yao. Mungu Ananipenda Na Ndiyo Maana Nilimrudia Na Kuwa Mkristoā.
āNilipokataa Kuwa Chini Yao Hawakuwa Na Chochote Cha Kutumia Dhidi Yangu Na Badala Yake walichukua Kila Kitu Nilichonacho Ikiwemo Dili La Adidas. Baada Ya Kuchukua Kila Kitu, Jarida La Forbes Lenye Chuki Dhidi Yangu Lilikuwa La Kwanza Kuchapisha Taarifa Kuwa (Utajiri Wa Kanye Ni Dola Mil 400), Na Niliishia Kucheka Tu Kwasababu Mimi Bado Ni Bilionea. Yesu Ni Mfalme Na Mungu Ananipenda, Hivyo Nasema Ukweli Huu Ikiwa Mungu Yupo Upande Wangu Basi Hakuna Kitu Kitanitokeaā - Kanye
Kwasasa Diddy Anaandamwa Na Kesi Za Kingono Mahakamani Ambapo Amefikia Hatua Ya Kuuza Mali Na Nyumba Zake Ili Kumaliza Misala Hiyo Inayomkabili.
Kweli ustaa una mengi sana.Anaitokea wapii
Inawezekana kama kashakutana na Ally nsomali kwisha habari yake.Kwamba jamaa walishakata utepe?
Yule kazaliwa kule kule na yeye anajua jinsi ya kutafuta dolaKama njaa jamaa asingekata $50 milioni, ni tamaa tu hamna kingine