My confession: Justin Bieber kuhusu P-Diddy

My confession: Justin Bieber kuhusu P-Diddy

Ndo Maaana pesa ya halali ngumu sana kumbe wengi wanapita shortcut 😂😂
 
FB_IMG_1727202760964.jpg
[ anataka kuwa tajiri namba 1 duniani
 
⚠️ Babu Tale ambaye ni mmoja wa mameneja wa Diamond Platnumz afunguka kilichotokea walipoenda nyumbani kwa Diddy katikati ya tuhuma nyingi na kesi mbalimbali zinazomkabili Diddy nchini Marekani akihusishwa na uhalifu wa king0no anaodaiwa kuufanya kwa watu mbalimbali wanawake kwa wanaume

Babu Tale akizungumza na Rick Media amesema walienda kweli nyumbani kwa Diddy wakiwa na producer maarufu Swizz Beatz ambaye ni mume wa mwanamuziki Alicia Keys ila Swizz Beatz alikuwa akiwalinda Babu Tale na Diamond ingawa hawakukujua kwanini anawalinda ila ndio wamejua sasa baada ya Diddy kukumbwa na msala huo mzito wa uhalifu wa kingOno

“Sisi tulienda kama tulivyotoa taarifa hapo awali na tulitoka salama, jana ndiyo nimejua kwamba Swizz Beatz alikuwa akitulinda kinoma, kwanza tulipofika tulikaa nje. Diddy akatangulia chumbani juu anaangalia movie wafanyakazi wake wawili wakaja kutuchukua kwenda kula, baada ya muda akawatuma twende chumbani kwa Diddy tukaangalie movie lakini Swizz akawa mkali na tukaondoka bila kuaga kwahiyo sisi tukawa tunajua kuwa brother (Swizz Beatz) ametubania, kumbe alikuwa anatulinda,” amesema Babu Tale Babu

Kabla, Diamond alipoulizwa alisema si kila kitu kuhusu walipoenda kwa Dddy ni cha kuongelewa katika vyombo vya habari, kufuatia minong'ono na habari za Diddy kuendelea kuhusishwa na watu mbalimbali hasa maarufu ndio Babu Tale nae amehojiwa na kuongea

.............................................................................

Kwa contents mbalimbali YouTube follow channel ya Edson Mshishile 👇👇

 
Bado usher nae aongee kitu pamoja na mario winans, Diddy mtu mbadi sana aisee
 
Kimeumanaaaaaaaaaaaaa................

French Montana atoa picha za 50 Cent akimpiga busu mzungu muda mfupi baada ya 50 Cent kuachia picha za Diddy na Jay-Z wakibusiana.

French Montana alisema kwa dhati kwamba ikiwa 50 Cent atasema neno kuhusu picha hiyo, atatoa video hiyo kwenye Netflix🥲

Je, 50 itatokaje kwenye hii😎
Ukowapi DIDDY nije nikupe Huu Wangu Sina kazi nao mm🤣🤣🤣🤣
 

Attachments

  • Screenshot_20240926-044902_Gallery.jpg
    Screenshot_20240926-044902_Gallery.jpg
    368.8 KB · Views: 8
WASOUTH AFRK
WAMESHUKURU SANA TRAINEER WAO AKUWAHI FANYAKAZI NA DIDY MAANA KWA KISHUZI ALICHONACHO ASINGEMWACHA
 

Attachments

  • Screenshot_20240926-044906_Gallery.jpg
    Screenshot_20240926-044906_Gallery.jpg
    349.3 KB · Views: 5
didy huyoo didy huyooo
.....kaitaka tenaaaaaqq
 

Attachments

  • FB_IMG_1727202760964.jpg
    FB_IMG_1727202760964.jpg
    25.3 KB · Views: 3
Kanye West hana unafiki. Amesema tu kwamba Diddy alipiga Beyonce na kumlipa dola milioni 100, na Jay Z aliruhusu hilo.

Ushawahi kusikia manzi kaliwa kwa shilingi bilioni 200+?

Haya mambo yana ushetani sana. Inawezekana Jay Z asingeruhusu kuna matatizo angepata. Kama mtu anakula mama ake kisa mali, Diddy anashindwaje kupita na Beyonce huku Jigga akiruhusu?
 

Attachments

  • 1727315667705.jpg
    1727315667705.jpg
    365.8 KB · Views: 6
Wiz kid pia waliwahi kumtembelea kaka yao didi 😁😁
 

Attachments

  • 1727315772187.jpg
    1727315772187.jpg
    190.6 KB · Views: 6
Back
Top Bottom