My confession: Justin Bieber kuhusu P-Diddy

My confession: Justin Bieber kuhusu P-Diddy

Mtoto wa tandale Sasa Ni wakati wake na yeye aongee kitu
Inasikitisha sana. Lakini kule kudharau kwake na kutamba kwa utajiri wake wa fedha, magari n.k. kunatia doa maisha anayoyaishi. Kwa hali hii ni bora kuishi ukiwa maskini kuliko kufanyiwa u-Piddy.
 
Utu ni bora kuliko pesa...... kama kuna mtu alikataa mimi ni nani nishindwe na najua ukiomba kwa jina la yesu kira kitu unakipata
Kwanini sasa umewataja mastaa wa bongo kua hawawezi kataa? kwani wao hawajali utu kama wewe? kama wewe na huyo mwingine mngeweza kukataa kwanin mastaa wetu na wao wasikatae?
 
Kwanini sasa umewataja mastaa wa bongo kua hawawezi kataa? kwani wao hawajali utu kama wewe? kama wewe na huyo mwingine mngeweza kukataa kwanin mastaa wetu na wao wasikatae?
Mfano tu kwa gigy........na yule chuma cha chuma........si alipewa dola 200 tu..................unajua research inapingwa kwa research sasa wewe niambie msanii gani ambaye kama jamaa angekuja bongo asingeliwa? Maana hapa tu tunaona wanavyo badilishana vifanya na vifanywa.......mara kwa vunja bei mara kwa chibu mara jux mara harmonize............usitolee mfano kwa mimi maana sio msanii
 
Back
Top Bottom