My Ex Wife anateseka sana, nifanyeje?

My Ex Wife anateseka sana, nifanyeje?

Dear OP. You are a really great man.
Kuachana na mtu, au mtu kukuacha hapafanyi muwe maadui. Hauna tatizo lolote, kwa binadamu wa kawaida kabisa hawezi kufurahia matatizo ya ex wake kwa sababu tu mliachana.

Unfortunately, "sidhani" kama kuna kitu unachoweza kufanya zaidi ya kuendelea kumuombea mpaka atakapogundua kwamba she deserves better.
I am sorry, that sounds tough.
Katika ubora wako my dear, wewe ni mshauri mzuri Paula Paul
 
...Anayopitia, Hayakusu. Huyu ni Ex wako tu, baasi!
 
Mwanamke akishakukana na kwenda kwa mwanaume mwingine it means hakuwahi kukupenda.

So kwa hii situation yako, it means huyu mwanamke wako mbali tu na kutokuwa na akili, anaonesha ni wale wanawake wa mjini wenye tamaa ya maisha ya utelezi. Alikukimbia wewe sababu hakuwa tayari kupambana kutafuta maisha na wewe.

Amekwenda amekutana na hatima ya maamuzi yake. Wewe tumia hii fursa kuenjoy picha la kisasa wakati yeye akivuna alichokipanda na matamaa yake.

Mshahara wa mwanamke mpumbavu ni kama hivyo. So wewe wala usihangaike nae. Jikaze najua huwa ni ngumu sana kumtoa moyoni mtu uliyempenda bila kujua analikuwa na nia mbaya na wewe kwa baadae.

So wewe hapo chukua popcorn utazame mtu anavyochezea kichapo cha mwanamke mpumbavu.
 
Kumbe huwa tunatishwa tu na shangazi kwamba dhambi isiyosameheka kwa mumeo ni kulala na mwanamme mwingine!kumbe tunaweza hata na kuolewa kabisa Bado waume zetu mkaendelea kutupenda?mleta Uzi una roho nzuri Sana.
 
Kumbe huwa tunatishwa tu na shangazi kwamba dhambi isiyosameheka kwa mumeo ni kulala na mwanamme mwingine!kumbe tunaweza hata na kuolewa kabisa Bado waume zetu mkaendelea kutupenda?mleta Uzi una roho nzuri Sana.
Na avatar tumebadilisha yn safiii.
 
Sijatafuta,Nimeletewa.He was admitted in hospital na daktari aliyemtibu happened to know about us ad informed me.
Kaka, unafikiri ni jukumu lako wewe kuanza kutafuta suluhisho la matatizo ya huyo mke wa mtu?
Akichoka na hivyo vipigo atatafuta solution,au wewe unahisi anahitaji msaada wako ila anashindwa kukuambia?
A gekuwa anahitaji msaada wako angeweza hata kumtumia mdogo wake kukufikishia ujumbe.
Binafsi naona ungeendelea na mishe zako labda kama bado unampenda lkn bado hiyo haikufanyi wewe kulibeba hilo jukumu,yeye ni mtu mzima.
 
Ingependeza kama ungesema "Mtalaka wako" na ungepata ushauri mzuri. Lakini ulipotumia Ex wengine tumefikiri unamaanisha External hard disk drive.

Acha kujipa mizigo isiyokuhusu
 
Kwa miaka kadhaa iliyopita nilikuwa na mahusiana na mwanamke ambaye tulitokea kupata mtoto mmoja.Kutokana na saabu mbalimbali ikiwamo hali ngumu ya kiuchumi na changamoto nyingine za kimahusiano.Uhusiano wetu ulivunjika na Mwanamke akampeleka mtoto kwa BIBI yake na kisha akaolewa na yule bwana ambaye alikuwa sababu ya uhusiano wetu kuvunjika pamoja na madhaifu yetu.

Hata hivyo watu waliokuwa wanafahamu kuhusu uhusiano wetu walijaribu kuturudisha pamoja lakini mwanamke huyu alikataa kata kata kwa sababu mbalimbali.

Sababu ya kuandika uzi na kutaka ushauri wenu.NIFANYE NINI?
Kwa mujibu wa taarifa nilizopata huyu EX wife anapitia kipindi kigumu sana kwani uhusiano aliopo sasa ni very abusive(KIPIGO,MANYANYASO etc) Mateso anayopata ni ma,kubwa ila pamoja na hayo bado hatoki katika uhusiano(Binafsi nafikiri ni kwa sababu ya Majuto na kufikiri kwamba anastahili adhabu anayopata kwa sababu ya aliyofanya nyuma)

Pamoja na hayo yote nimejisikia kuumia sana baada ya kupata taarifa hizo ingawa sina ushahidi.Kuna uwezekano wa kumuona na kuzungumza naye ingawa binafsi nachelea kufanya hivyo hasa kutokana na mamao aliyonifanyia na pia kuepuka kuvuruga uhusiano wangu wa sasa.Baada ya kuachana naye alininyima access ya mtoto na hivyo taarifa za Mtoto nazipata kupitia kwa mdogo wake ambaye huwa ana namba yangu.

Tangu nipate habari hii nimeumia sana,nimetumia muda mwingi kusali ni kumuoma Mungu amsaidi lakini bado nakuwa na msongo wa mawazo kwa sababu yake.Hali imeathiri sana mambo yangu mengine.Nashindwa kuelewa ni kwa nini inakuwa hivi.JE NIFANYEJE ILI NIMTOE KATIKA UHUSIANO HUU IWAPO NI ABUSIVE.Je kwa nini nimekuwa na maumivu makali kwa sababu ya mateso yake?Je ni kwamba ninampenda au ni mimi tu nina matatizo yangu.

Tupeane ushauri juu ya nini naweza kufanya ili kuepuka msongo na mambo mengine ambyo naweza fanya katika hali kama hii.
Saikolojia inasema kadri unavyopata shida kumuacha mtu,ndivyo hivyo hivyo na yeye,anapata shida kukutoa moyoni....ila cha muhimu zaid,kuwa bize kuangalia anataka nn mkeo/mchumba wako wa sasa kuliko kufuatilia ndoa ambayo kila mmoja alisha "MOVE ON"....

______tafuta hela zaid,na zaid...na mpende anayekuheshimu(mkeo wa sasa anastahili hiii)... basi______
 
Acha wanawake waitwe wanawake! Kuna star niliwahi msikia anasema ana mtaka mwanaume ambaye akikosea anasimama kama mwanaume, sio yule ambaye ana shindwa mrekebisha anapokosea.
Ko' unaweza ona jamaa mkatili kumbe wife wake ana enjoy na kumuona ni gentleman, usidhani kuwa kimya all the time ndio kivutio kwa wadada wote.
As long as it does not affect your child, leave her alone. Mind your business, unless otherwise this will bring you in serious problem. Remember she is now someone's wife.
 
Hapo wewe udili na namna ya kumsaidia mtoto wako hayo mengine ni yao sasa wewe unamjutia kwa lipi.Kuna watu mnavisa sasa jipendekeze utajuta twice seems huwezi kujifunza na mbaya zaidi unaonekana unampenda huyo.Binafsi mwanamke au mtu yeyote anikatae kwa sababu zozote huwa nashukuru na sijawahi na sitowahi kunibembeleza au kumlazimisha mahusiano, never demu tu sirudigi Mara mbili sembuse aliyekimbia mwenyewe
 
Kwa miaka kadhaa iliyopita nilikuwa na mahusiana na mwanamke ambaye tulitokea kupata mtoto mmoja.Kutokana na saabu mbalimbali ikiwamo hali ngumu ya kiuchumi na changamoto nyingine za kimahusiano.Uhusiano wetu ulivunjika na Mwanamke akampeleka mtoto kwa BIBI yake na kisha akaolewa na yule bwana ambaye alikuwa sababu ya uhusiano wetu kuvunjika pamoja na madhaifu yetu.

Hata hivyo watu waliokuwa wanafahamu kuhusu uhusiano wetu walijaribu kuturudisha pamoja lakini mwanamke huyu alikataa kata kata kwa sababu mbalimbali.

Sababu ya kuandika uzi na kutaka ushauri wenu.NIFANYE NINI?
Kwa mujibu wa taarifa nilizopata huyu EX wife anapitia kipindi kigumu sana kwani uhusiano aliopo sasa ni very abusive(KIPIGO,MANYANYASO etc) Mateso anayopata ni ma,kubwa ila pamoja na hayo bado hatoki katika uhusiano(Binafsi nafikiri ni kwa sababu ya Majuto na kufikiri kwamba anastahili adhabu anayopata kwa sababu ya aliyofanya nyuma)

Pamoja na hayo yote nimejisikia kuumia sana baada ya kupata taarifa hizo ingawa sina ushahidi.Kuna uwezekano wa kumuona na kuzungumza naye ingawa binafsi nachelea kufanya hivyo hasa kutokana na mamao aliyonifanyia na pia kuepuka kuvuruga uhusiano wangu wa sasa.Baada ya kuachana naye alininyima access ya mtoto na hivyo taarifa za Mtoto nazipata kupitia kwa mdogo wake ambaye huwa ana namba yangu.

Tangu nipate habari hii nimeumia sana,nimetumia muda mwingi kusali ni kumuoma Mungu amsaidi lakini bado nakuwa na msongo wa mawazo kwa sababu yake.Hali imeathiri sana mambo yangu mengine.Nashindwa kuelewa ni kwa nini inakuwa hivi.JE NIFANYEJE ILI NIMTOE KATIKA UHUSIANO HUU IWAPO NI ABUSIVE.Je kwa nini nimekuwa na maumivu makali kwa sababu ya mateso yake?Je ni kwamba ninampenda au ni mimi tu nina matatizo yangu.

Tupeane ushauri juu ya nini naweza kufanya ili kuepuka msongo na mambo mengine ambyo naweza fanya katika hali kama hii.
Acha kuingilia ndoa za watu yeye hajakueleza Kama ananyanyaswa, karidhika wewe una shida gani?
 
Kwa kuzingatia ushauri wa wadau hapa na kwa kuzingatia furaha na amani yangu nimechukua uamuzi wa kwamba SITAMTAFUTA TENA MWENZA WANGU HUYU ili kufahamu zaidi kinachoendelea katika maisha yake na wala sitaweka nafasi ya yeye kuweza kunifikia mimi kwa namna yoyte ile.Nitaendelea na uhusiano wangu na mtoto wangu kama ilivyokuwa awali.
Mtoto anaishi kwa nani?, watoto huathirika sana kwenye hizi nyumba zenye ukatili uliokithiri.
 
Back
Top Bottom