Katika ubora wako my dear, wewe ni mshauri mzuri Paula PaulDear OP. You are a really great man.
Kuachana na mtu, au mtu kukuacha hapafanyi muwe maadui. Hauna tatizo lolote, kwa binadamu wa kawaida kabisa hawezi kufurahia matatizo ya ex wake kwa sababu tu mliachana.
Unfortunately, "sidhani" kama kuna kitu unachoweza kufanya zaidi ya kuendelea kumuombea mpaka atakapogundua kwamba she deserves better.
I am sorry, that sounds tough.
Sioni haja ya kufanya hivyo....anajitishwa nzigo mkubwa sanaEti anataka wakutane sehemu aongee naye na kumpa psychological support
Na avatar tumebadilisha yn safiii.Kumbe huwa tunatishwa tu na shangazi kwamba dhambi isiyosameheka kwa mumeo ni kulala na mwanamme mwingine!kumbe tunaweza hata na kuolewa kabisa Bado waume zetu mkaendelea kutupenda?mleta Uzi una roho nzuri Sana.
Ule uzi wetu mbona siupati tena MzeeWw kipigo cha x wako kinakuhusu nn? Na imekuaje unaanza kutafuta habar zake? Wanaume wanapungua kwa kasi sana
Kaka, unafikiri ni jukumu lako wewe kuanza kutafuta suluhisho la matatizo ya huyo mke wa mtu?Sijatafuta,Nimeletewa.He was admitted in hospital na daktari aliyemtibu happened to know about us ad informed me.
Saikolojia inasema kadri unavyopata shida kumuacha mtu,ndivyo hivyo hivyo na yeye,anapata shida kukutoa moyoni....ila cha muhimu zaid,kuwa bize kuangalia anataka nn mkeo/mchumba wako wa sasa kuliko kufuatilia ndoa ambayo kila mmoja alisha "MOVE ON"....Kwa miaka kadhaa iliyopita nilikuwa na mahusiana na mwanamke ambaye tulitokea kupata mtoto mmoja.Kutokana na saabu mbalimbali ikiwamo hali ngumu ya kiuchumi na changamoto nyingine za kimahusiano.Uhusiano wetu ulivunjika na Mwanamke akampeleka mtoto kwa BIBI yake na kisha akaolewa na yule bwana ambaye alikuwa sababu ya uhusiano wetu kuvunjika pamoja na madhaifu yetu.
Hata hivyo watu waliokuwa wanafahamu kuhusu uhusiano wetu walijaribu kuturudisha pamoja lakini mwanamke huyu alikataa kata kata kwa sababu mbalimbali.
Sababu ya kuandika uzi na kutaka ushauri wenu.NIFANYE NINI?
Kwa mujibu wa taarifa nilizopata huyu EX wife anapitia kipindi kigumu sana kwani uhusiano aliopo sasa ni very abusive(KIPIGO,MANYANYASO etc) Mateso anayopata ni ma,kubwa ila pamoja na hayo bado hatoki katika uhusiano(Binafsi nafikiri ni kwa sababu ya Majuto na kufikiri kwamba anastahili adhabu anayopata kwa sababu ya aliyofanya nyuma)
Pamoja na hayo yote nimejisikia kuumia sana baada ya kupata taarifa hizo ingawa sina ushahidi.Kuna uwezekano wa kumuona na kuzungumza naye ingawa binafsi nachelea kufanya hivyo hasa kutokana na mamao aliyonifanyia na pia kuepuka kuvuruga uhusiano wangu wa sasa.Baada ya kuachana naye alininyima access ya mtoto na hivyo taarifa za Mtoto nazipata kupitia kwa mdogo wake ambaye huwa ana namba yangu.
Tangu nipate habari hii nimeumia sana,nimetumia muda mwingi kusali ni kumuoma Mungu amsaidi lakini bado nakuwa na msongo wa mawazo kwa sababu yake.Hali imeathiri sana mambo yangu mengine.Nashindwa kuelewa ni kwa nini inakuwa hivi.JE NIFANYEJE ILI NIMTOE KATIKA UHUSIANO HUU IWAPO NI ABUSIVE.Je kwa nini nimekuwa na maumivu makali kwa sababu ya mateso yake?Je ni kwamba ninampenda au ni mimi tu nina matatizo yangu.
Tupeane ushauri juu ya nini naweza kufanya ili kuepuka msongo na mambo mengine ambyo naweza fanya katika hali kama hii.
Acha kuingilia ndoa za watu yeye hajakueleza Kama ananyanyaswa, karidhika wewe una shida gani?Kwa miaka kadhaa iliyopita nilikuwa na mahusiana na mwanamke ambaye tulitokea kupata mtoto mmoja.Kutokana na saabu mbalimbali ikiwamo hali ngumu ya kiuchumi na changamoto nyingine za kimahusiano.Uhusiano wetu ulivunjika na Mwanamke akampeleka mtoto kwa BIBI yake na kisha akaolewa na yule bwana ambaye alikuwa sababu ya uhusiano wetu kuvunjika pamoja na madhaifu yetu.
Hata hivyo watu waliokuwa wanafahamu kuhusu uhusiano wetu walijaribu kuturudisha pamoja lakini mwanamke huyu alikataa kata kata kwa sababu mbalimbali.
Sababu ya kuandika uzi na kutaka ushauri wenu.NIFANYE NINI?
Kwa mujibu wa taarifa nilizopata huyu EX wife anapitia kipindi kigumu sana kwani uhusiano aliopo sasa ni very abusive(KIPIGO,MANYANYASO etc) Mateso anayopata ni ma,kubwa ila pamoja na hayo bado hatoki katika uhusiano(Binafsi nafikiri ni kwa sababu ya Majuto na kufikiri kwamba anastahili adhabu anayopata kwa sababu ya aliyofanya nyuma)
Pamoja na hayo yote nimejisikia kuumia sana baada ya kupata taarifa hizo ingawa sina ushahidi.Kuna uwezekano wa kumuona na kuzungumza naye ingawa binafsi nachelea kufanya hivyo hasa kutokana na mamao aliyonifanyia na pia kuepuka kuvuruga uhusiano wangu wa sasa.Baada ya kuachana naye alininyima access ya mtoto na hivyo taarifa za Mtoto nazipata kupitia kwa mdogo wake ambaye huwa ana namba yangu.
Tangu nipate habari hii nimeumia sana,nimetumia muda mwingi kusali ni kumuoma Mungu amsaidi lakini bado nakuwa na msongo wa mawazo kwa sababu yake.Hali imeathiri sana mambo yangu mengine.Nashindwa kuelewa ni kwa nini inakuwa hivi.JE NIFANYEJE ILI NIMTOE KATIKA UHUSIANO HUU IWAPO NI ABUSIVE.Je kwa nini nimekuwa na maumivu makali kwa sababu ya mateso yake?Je ni kwamba ninampenda au ni mimi tu nina matatizo yangu.
Tupeane ushauri juu ya nini naweza kufanya ili kuepuka msongo na mambo mengine ambyo naweza fanya katika hali kama hii.
Ni ushauri tu..leave that bitch alone...hata kama anapitia mitihani yake,leave her alone..Unashauri au na ww unatoa lawama zako ?
I am flattered, Iceberg9.Katika ubora wako my dear, wewe ni mshauri mzuri Paula Paul
[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] Sure you doI am flattered, Iceberg9.
Mtoto anaishi kwa nani?, watoto huathirika sana kwenye hizi nyumba zenye ukatili uliokithiri.Kwa kuzingatia ushauri wa wadau hapa na kwa kuzingatia furaha na amani yangu nimechukua uamuzi wa kwamba SITAMTAFUTA TENA MWENZA WANGU HUYU ili kufahamu zaidi kinachoendelea katika maisha yake na wala sitaweka nafasi ya yeye kuweza kunifikia mimi kwa namna yoyte ile.Nitaendelea na uhusiano wangu na mtoto wangu kama ilivyokuwa awali.