MY HUMBLE OBSERVATION: Pamoja na kupewa uhuru waliotaka bado hakuna mpinzani anayeongelea maendeleo

MY HUMBLE OBSERVATION: Pamoja na kupewa uhuru waliotaka bado hakuna mpinzani anayeongelea maendeleo

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Serikali ya awamu ya Sita chini ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan iliwasikiliza wapinzani,asasi za kiraia na mataifa ya Magharibi kwa kurekebisha baadhi ya misimamo na sera zake ili kutoa fursa iliyosemwa kuwa haikuwepo kwa kipindi cha miaka 5 iliyopita. Uhuru wa kusema na kufanya siasa ukarudishwa kwa mujibu wa walalamikaji hususani wapinzani.

Jambo nililoliona hadi sasa bado hakuna mpinzani aliyetumia fursa hiyo kuja na agenda zenye tija kwa maendeleo ya Taifa.

Huu ni mtego tuliovikwa yaani kujadili siasa za "kidemokrasia" jambo ambalo ni dhana fikirika na yenye kuangalia maslahi ya kundi flani la wanyonyaji tu.

Ni vyema basi wapinzani wakarudi kujadili maendeleo ya kweli ya Taifa.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
 
Baada ya kumsikiliza Prof Lipumba nasema hayati Magufuli alikuwa sahihi kuwapuuza wapinzani.

Wapinzani ni watu wanaojali matumbo yao tu na familia zao.

Hebu fikiria Prof Muka anaongea urongo Ikulu akiwa ameongozana na viongozi wa dini akina Fupe wa KKKT na alhad Mussa wa Bakwata
 
Baada ya kumsikiliza Prof Lipumba nasema hayati Magufuli alikuwa sahihi kuwapuuza wapinzani.

Wapinzani ni watu wanaojali matumbo yao tu na familia zao.

Hebu fikiria Prof Muka anaongea urongo Ikulu akiwa ameongozana na viongozi wa dini akina Fupe wa KKKT na alhad Mussa wa Bakwata
Kwa kuwa yeye ni mkijani au?
 
MY HUMBLE OBSERVATION:Hizi ndiyo ajenda zenye tija kwa upande wa CCM🐒🐒🐒
 
Hata baada ya kuipata waliuana, rejea historia yako vyema
 
Back
Top Bottom