MY HUMBLE OBSERVATION: Pamoja na kupewa uhuru waliotaka bado hakuna mpinzani anayeongelea maendeleo

Hao wanaoitwa wapinzani ni waganga njaa fulani.
 
Uchina imeendelea vipi?
Hivi USA kuna Usawa na haki?
Acha michezo wewe, unafikiri Biden anaweza kukuweka ndani au kukupoteza kwa sababu ni Raisi? huku hakuna ubashite au usabaya, of course not perfect lakini compare bongo na US kwenye haki na usawa is like day and night, wako mbali sana
 
Acha michezo wewe, unafikiri Biden anaweza kukuweka ndani au kukupoteza kwa sababu ni Raisi? huku hakuna ubashite au usabaya, of course not perfect lakini compare bongo na US kwenye haki na usawa is like day and night, wako mbali sana
Umeathiriwa na media za CNN,BBC ambao uongo wao na unafiki wao umedhihirika katika vita ya UKRAINE na URUSI
 
Unateseka sana. Na bado...
 
Umeathiriwa na media za CNN,BBC ambao uongo wao na unafiki wao umedhihirika katika vita ya UKRAINE na URUSI
Not at all na sihitaji CNN or BBC kunilisha propaganda, naishi hapa i can see and experience ninachoongea, na hatuongelei vita hapa
 
Not at all na sihitaji CNN or BBC kunilisha propaganda, naishi hapa i can see and experience ninachoongea, na hatuongelei vita hapa
Hatuongelei vita ila hatuongei uingo pia
 
Kipi kimewazua nyie kuongelea viwanda, au kwakuwa wapinzani wako kimya na nyie mmeamua kukalia kimya Tanzania ya viwanda?
Kuna viwanda 200 vitajengwa kibaha...hiu ni news ya hivi karibuni hujaisikia au unajitoa ufahamu?
 
Hoja za maendeleo na kujali mahitaji ya wananchi wa kawaida aliondoka nazo dr slaa, hawa waliobaki sasa hivi ni wababaishaji tu, waganga njaa na matapeli wa kisiasa.
Kwanza kati yao ni nani mwenye uwezo wa kujenga hoja na kuitetea? Porojo na hoja huwa havikai pamoja.
 
Acha unafiki kipindi cha Magufuli mbona hukuona umuhimu wa wapinzani kupewa platform kuzungumzia masuala ya maendeleo? Watayaongelea wakitaka siyo lazima ukitaka wewe maadam nafasi ipo. Tuliza ball
 
Kwanini wewe na familia ako msiongelee maendeleo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…