Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kwanini asiendelee kuongelea maendeleo au mpk awe CHADEMA pekee?Hoja za maendeleo na kujali mahitaji ya wananchi wa kawaida aliondoka nazo dr slaa, hawa waliobaki sasa hivi ni wababaishaji tu, waganga njaa na matapeli wa kisiasa.
Kwanza kati yao ni nani mwenye uwezo wa kujenga hoja na kuitetea? Porojo na hoja huwa havikai pamoja.
Kwani haki hazipo?Maendeleo ya watu yanatokana na Haki.
Huijui Kenya weweKenya sio wenzio,kule yeyote afananaye na mwanachukua chako mapema wanamgawana kwenye mkondo wa kutoa haki[emoji848].
Kwa tafsiri Yako kama ubambikiaji ni haki,basi Kwako ipo🐒
Acha kukaririKwa tafsiri Yako kama ubambikiaji ni haki,basi Kwako ipo[emoji205]
Wanaopokonywa akili zao mtaa ule wanasalia kukariri kama wewe.🤔
Popote alipo Alhad Musa usitegemee la maana,Baada ya kumsikiliza Prof Lipumba nasema hayati Magufuli alikuwa sahihi kuwapuuza wapinzani.
Wapinzani ni watu wanaojali matumbo yao tu na familia zao.
Hebu fikiria Prof Muka anaongea urongo Ikulu akiwa ameongozana na viongozi wa dini akina Fupe wa KKKT na alhad Mussa wa Bakwata
Kuna viwanda 200 vitajengwa kibaha...hiu ni news ya hivi karibuni hujaisikia au unajitoa ufahamu?
Hoja hapa siyo dr slaa, hoja inawaongelea chadema bwashee.Kwanini asiendelee kuongelea maendeleo au mpk awe CHADEMA pekee?
Kwani hakuna vyama vingine?Hoja hapa siyo dr slaa, hoja inawaongelea chadema bwashee.
Hivi kujibandika jina la chama kikuu cha upingaji maana yake ni nini?Kwani hakuna vyama vingine?
Kwani lipo kisheria? kwanini na TLP wasijiite?Hivi kujibandika jina la chama kikuu cha upingaji maana yake ni nini?
We unataka waongee nini. Au we ndo chenga kabisaSerikali ya awamu ya Sita chini ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan iliwasikiliza wapinzani,asasi za kiraia na mataifa ya Magharibi kwa kurekebisha baadhi ya misimamo na sera zake ili kutoa fursa iliyosemwa kuwa haikuwepo kwa kipindi cha miaka 5 iliyopita. Uhuru wa kusema na kufanya siasa ukarudishwa kwa mujibu wa walalamikaji hususani wapinzani.
Jambo nililoliona hadi sasa bado hakuna mpinzani aliyetumia fursa hiyo kuja na agenda zenye tija kwa maendeleo ya Taifa.
Huu ni mtego tuliovikwa yaani kujadili siasa za "kidemokrasia" jambo ambalo ni dhana fikirika na yenye kuangalia maslahi ya kundi flani la wanyonyaji tu.
Ni vyema basi wapinzani wakarudi kujadili maendeleo ya kweli ya Taifa.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Sera za maendeleo,bajeti vyote vinapangwa na ccm,mawazo ya upinzani hayapewi nafasi,hata ukiwa Mbunge wa upinzani,sera zinazotekelezwa ni za ccm Tena kwa ubabe na jeuri!!,sasa kama wewe umekuwa unaishi sayari ya mars basi utakuwa huelewi yanayoendelea hapa bongoSerikali ya awamu ya Sita chini ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan iliwasikiliza wapinzani,asasi za kiraia na mataifa ya Magharibi kwa kurekebisha baadhi ya misimamo na sera zake ili kutoa fursa iliyosemwa kuwa haikuwepo kwa kipindi cha miaka 5 iliyopita. Uhuru wa kusema na kufanya siasa ukarudishwa kwa mujibu wa walalamikaji hususani wapinzani.
Jambo nililoliona hadi sasa bado hakuna mpinzani aliyetumia fursa hiyo kuja na agenda zenye tija kwa maendeleo ya Taifa.
Huu ni mtego tuliovikwa yaani kujadili siasa za "kidemokrasia" jambo ambalo ni dhana fikirika na yenye kuangalia maslahi ya kundi flani la wanyonyaji tu.
Ni vyema basi wapinzani wakarudi kujadili maendeleo ya kweli ya Taifa.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Maendeleo ni process mjinga wao. Hata kudai katiba mpya ni maendeleo pia. Ccm haipo madarakani kuwatea watanzania maendeleo.Kenya imeendelea kwa katiba mpya?
Nadhani ndio maana jamaa akasema Not Perfect ila in comparison na hapa kwetu; Sio kwamba wamagharibi wana haki no, ila ukilinganisha haki huku na Huko Tz ni tofauti.Umeathiriwa na media za CNN,BBC ambao uongo wao na unafiki wao umedhihirika katika vita ya UKRAINE na URUSI