My List: Most Beautiful Tanzanian Female Celebrities

acha umbeya mtoto wakiume utasutwa wewe nani kakuuliza hapa ,tunazungumzia warembo maswala yakuzalisjhwa kafungue thread nyingine ,wanaume wa siku hizi bwana ukikosa kitu basi bifu fyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu


Wanaume wa siku hizi wanaupenda umbea kuliko wanawake...
 
kale katoto bwana kakimada ka yule jamaa wa mjengoni (BOOOONGE) anaelala ovyo, aaah I mean yule jamaa aliyekuwa anaimba kwaya bwana.
au kale under 18 au?


Lulu.....
 
wote 99% artificial Nini urembo wao Pesa ya kwenda shop?
 
Zipompapompa


Mkuu Nimecheka sana!

Juzi nikiwa natoka town kwenye foleni niliona a huge woman kwenye gari Ndogo sana amejaa kwenye kiti cha gari akiendesha.

Nilipotazama nikamuona huyo mama vioo vipo chini kalowa jasho. Gari Ilikua manual Dah anachomekea mbaya!
 

Hahaha. ..aisee! !!
 
Deki imekubali
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1374915729761.jpg
    14.6 KB · Views: 197
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…