Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,768
- 3,622
Hawa nao wanatafuta nini hapa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
19. Babra Hassan......don't ask me why
![]()
Mpwa hizi bidhaa ni mahsusi kwa ajili yako tu wala watu wengine wasione...
Shilole
![]()
acha umbeya mtoto wakiume utasutwa wewe nani kakuuliza hapa ,tunazungumzia warembo maswala yakuzalisjhwa kafungue thread nyingine ,wanaume wa siku hizi bwana ukikosa kitu basi bifu fyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
kale katoto bwana kakimada ka yule jamaa wa mjengoni (BOOOONGE) anaelala ovyo, aaah I mean yule jamaa aliyekuwa anaimba kwaya bwana.
au kale under 18 au?
We umezalishwa na nani?
Hayakuhusu...
Zipompapompa
![]()
Mkuu Nimecheka sana!
Juzi nikiwa natoka town kwenye foleni niliona a huge woman kwenye gari Ndogo sana amejaa kwenye kiti cha gari akiendesha.
Nilipotazama nikamuona huyo mama vioo vipo chini kalowa jasho. Gari Ilikua manual Dah anachomekea mbaya!
Kazalishwa na Mzee Mengi
Deki imekubali