Ep 7
Turudi nyuma kidogo..Kabla sijaenda Dar nikakutana na huyu wa primary likizo ziligongana za mwezi wa 12..Huyu kwao mambo safi sio kama kina Mimi.basi Nikaenda kwao kufika akasema tukatembee...Nikatembezw ghafla tukafika kwenye nyumba nzuri nzuri tukaingia getini.Akasema tuingie ndani.Mm huyo nikavua viatu!!Lahaula naona watu wananicheka.Ndyo nagundua hapo Lodge...Mm sijawahi enda Lodge toka nizaliwe...Afu hakukuwa na kibao..Nikavaa viatu Kwa aibu ...Tukaenda ndani!Mm nikakomaa jamaa ananibembeleza hapo Tulane mm nikakataaa...Hapo Nye***nasikia ila hata sielewi...Kukuru kakara Tukatoka hola ..Jamaa yule hakunila...ndyo ikaishia hapo..Uhusiano ikafa hapo..
Turudi Kwa baharia Mangi.Nikafika chuoni mchana mchana hivi.Kufika pale akazuga anapenda neno la Mungu.Akaaza kusoma zile bible za msaada vile vidogo vya kiinglish.(Anajua mm napenda mambo hayo)baada ya hapo ghafla mtu huyu hapa...vitanda vya chuo vile vidogo kama vya Hall one Udsm kilitufit Vyema ...Nilibembelezwa nikabembelezeka nikajikuta naachia mwenyewe..
Nikipata maumivu makali...Bt baada ya like Tendo Mangi ananiambia Mimi unajua nakupenda sana lakini siwezi kuwa nawe umenizungusha Miaka 5!!Mm Hee!!Be strong utapata mwingine!!!