Tommorow or today
Member
- Jan 4, 2024
- 46
- 130
- Thread starter
- #41
UsijaliMniwie radhii siwezi andika masimulizii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UsijaliMniwie radhii siwezi andika masimulizii
Kabisa kabisa ushirikina huuAtakuwa mzee Musa alikuroga fullstop.
Tumpe muda, wengi wanakuwaga na presha ya kuogopa wakosoaji na wasiotaka kuona neno "itaendelea". Ila akiendelea kuandika, atakuwa supa.Duuh una visa vikubwa vya kusisimua natamani ungeweza kuvielezea sema vingi umevificha..
Cc...
Analyse natamani angeweza kuandika kama wewe..
Nashukuru kwa kunimention, walau nimepata Cha kusoma jioni hii.Yani huyo mzee Mussa aliondoka na kila kiti chako siku ile kwny ndoto..dunia tambara bovu
Sawa,ila Nina wasiwasi sana na Mzee Musa lakini,namuonea kama Mzee wa busara vileeeEndelea kusoma
He huyo mangi lazima atakuwa na undugu na Mzee Musa😒😒😒😒Ep 7
Turudi nyuma kidogo..Kabla sijaenda Dar nikakutana na huyu wa primary likizo ziligongana za mwezi wa 12..Huyu kwao mambo safi sio kama kina Mimi.basi Nikaenda kwao kufika akasema tukatembee...Nikatembezw ghafla tukafika kwenye nyumba nzuri nzuri tukaingia getini.Akasema tuingie ndani.Mm huyo nikavua viatu!!Lahaula naona watu wananicheka.Ndyo nagundua hapo Lodge...Mm sijawahi enda Lodge toka nizaliwe...Afu hakukuwa na kibao..Nikavaa viatu Kwa aibu ...Tukaenda ndani!Mm nikakomaa jamaa ananibembeleza hapo Tulane mm nikakataaa...Hapo Nye***nasikia ila hata sielewi...Kukuru kakara Tukatoka hola ..Jamaa yule hakunila...ndyo ikaishia hapo..Uhusiano ikafa hapo..
Turudi Kwa baharia Mangi.Nikafika chuoni mchana mchana hivi.Kufika pale akazuga anapenda neno la Mungu.Akaaza kusoma zile bible za msaada vile vidogo vya kiinglish.(Anajua mm napenda mambo hayo)baada ya hapo ghafla mtu huyu hapa...vitanda vya chuo vile vidogo kama vya Hall one Udsm kilitufit Vyema ...Nilibembelezwa nikabembelezeka nikajikuta naachia mwenyewe..
Nikipata maumivu makali...Bt baada ya like Tendo Mangi ananiambia Mimi unajua nakupenda sana lakini siwezi kuwa nawe umenizungusha Miaka 5!!Mm Hee!!Be strong utapata mwingine!!!
Namekutag mzee wa hizi kazi...Nashukuru kwa kunimention, walau nimepata Cha kusoma jioni hii.
Kuna vitu vyako tunajuaTuendelee mdada hatuna cha kufanya wengine sio wapenzi wa tv
Vipi hivyooo....
Sawa