My Tribute to Samia Suluhu Hassan! Kenya inaisifu Tanzania!

My Tribute to Samia Suluhu Hassan! Kenya inaisifu Tanzania!

Machawa wamegeukia vivuli vya majirani..like jua ije mvua mwisho wa Samia ni October
 
Kenya kaja kujifunza namna ya kuweka kumbukumbu za madeni. Wewe unasema huo utaratibu sifa apewe Samia lakini huo utaratibu umekuwepo toka Nyerere, wa kujua nani katukopesha ila wewe unasema sifa apewe Samia, hapo ndio shida ya uchawa inapokuja.

Huu utaratibu wa kuweka rekodi sahihi za madeni tunao miaka yote, na miaka yote watanzania tumekua tukiambiwa deni letu ni kiasi gani. Sasa Samia anaingiaje hapo?

Kama mtu kafanya jambo jema asifiwe ila hii sio hoja kabisa.
Mkuu system imesifiwa na Kenya kwa kuwa Tanzania system iko Intergrated.
Akatoa mfano idara zote za serikali zinalipwa siku mmoja tofauti na kwao.
Nani kachangia hio system haipo kwenye hoja ya msemaji wa Kenya.
Yeye kazungumzia uzuri wa system yetu kulinganishwa na ya kwao.
 

Attachments

  • IMG_2355.jpeg
    IMG_2355.jpeg
    107.5 KB · Views: 1
Umisikiliza video clip vizuri lakini? Huyo anaeisifia Tanzania si Mimi Bali ni CAG kutoka Nchi mnayoihusudu sana KENYA!!

ni kweli katika mapambano dhidi ya Rushwa huyu mama ana maua yake!!

Kama una ajenda nyingine tofauti na hii unaweza kuianzishia uzi!
Mtu aliyegeuzwa kuwa mwanaselele kama wewe huwa hamna aibu kabisa, kama asivyo kuwa na soni katika kusema uongo na kuwalaghai watu huyo mama yako anaye endesha akili zako sasa hivi.
Kwa maana hiyo, sitaendelea kupoteza muda wangu hapa kujibishana na mtu ambaye kazimwa akili.
 
Mimi niko na free mind!! Sipelekwi na mihemuko ya balehe kama ninyi! Mimi ni mtu mzima sana sishabikii watu wahuni!
EEeeenHEEeeeee!
Bila shaka yoyote; unaendelea kuonyesha "uutu uzima" wako na" busara" zako ukifuata mfano wa Mbowe, au siyo?
Inasikitisha sana kwa mtu kama Mbowe kujivunjia heshima zote alizo kwisha jijengea ndani ya nchi hii, kwa kuhadaiwa kirahisi kiasi kile, tena na mtu ambaye hana uwezo kabisa wa kuhadaa mtu mwenye akili timamu.
 
Mtu aliyegeuzwa kuwa mwanaselele kama wewe huwa hamna aibu kabisa, kama asivyo kuwa na soni katika kusema uongo na kuwalaghai watu huyo mama yako anaye endesha akili zako sasa hivi.
Kwa maana hiyo, sitaendelea kupoteza muda wangu hapa kujibishana na mtu ambaye kazimwa akili.
Umechanganyikiwa!! Maana watu wenye akili timamu hujibu hoja au kufanya analysis ya kilichopo mezani haya uliyoandika yana uhusiano gani na topic?
 
EEeeenHEEeeeee!
Bila shaka yoyote; unaendelea kuonyesha "uutu uzima" wako na" busara" zako ukifuata mfano wa Mbowe, au siyo?
Inasikitisha sana kwa mtu kama Mbowe kujivunjia heshima zote alizo kwisha jijengea ndani ya nchi hii, kwa kuhadaiwa kirahisi kiasi kile, tena na mtu ambaye hana uwezo kabisa wa kuhadaa mtu mwenye akili timamu.
You could be sick!! I wish you best of luck with your illness!
 
Kuna binaadam ambao fedha ni kila kitu kwao; kununuliwa utu wao hilo ni jambo lisilowastua kabisa. Huyu ni mfano mzuri kabisa wa watu wa aina hiyo.
Peleka mbele tumbo lako huko…… hicho kichaa peleka milembe shwaini nyie.
 
You could be sick!! I wish you best of luck with your illness!
Very satisfied and grateful that the message has been delivered successfully and understood. Have no wish to pursue this any further at this point.
 
Kama unaijua Kenya vizuri utaihurumia tu.

Binafsi, sipendi kikundi kidogo ndani ya CCM na wanasiasa wengine ndani ya vyama vya upinzani ndio wanaturudisha nyuma.

Ukiachana na thamani ya shilingi, GDP na GDP per Capita ambazo Kenya iko juu kidogo, Tanzania inaizidi Kenya karibu kila kitu.

Tembea Kenya ujionee umasikini wa kutisha.

Hapa Tanzania, tunaita Tandale, Mwananyamala, Buguruni, Kwa Aziz Ally ni Uswahilini, nenda Kenya uone Uswahilini.

Tanzania nyumba za mabati huwa tunacheka eti wanakaa Polisi, nenda Kenya uone nyumba za mabati Kenya ni nyumba za kupanga.

Miundombinu mizuri mingi ni ya wageni au ya kulipia. Tanzania Daraja la Tanzanite mnapita bure.

Daraja la Nyerere la kulipia ila anachukua pesa mi serikali. Kenya imejengwa barabara ya kulipia pesa wanachukua wachina mpaka 2027.

Tembea Kenya vijijini huko Mombasa, Kilifi, Lamu, kuna umasikini wa kutisha vibaya sana.
Kiongozi, nazungumzia maendeleo kati ya Tanzania na Kenya katika ujumla wake. Inawezekana unafahamu ama la kuwa maendeleo ya Kenya yameizidi Tanzania. Kama hufahamu fuatilia general development ranks of countries kwa nchi za Afrika. Utayapata majibu huko. Tusibishane na maarifa na taarifa sahihi.
 
Kiongozi, nazungumzia maendeleo kati ya Tanzania na Kenya katika ujumla wake. Inawezekana unafahamu ama la kuwa maendeleo ya Kenya yameizidi Tanzania. Kama hufahamu fuatilia general development ranks of countries kwa nchi za Afrika. Utayapata majibu huko. Tusibishane na maarifa na taarifa sahihi.
Kati yangu na wewe anayefanya generalisatikn nani?

Hayo maendeleo unayozungumzia ni yapi?

Human development Index?
  • GDP?
  • GDP Per Capita?
  • Gini Coefficient?
  • Income Range?
  • Number millionnaires?
  • Debt per GDP Ratio?
  • Economy Inequality?
  • Food Security?
  • Safety?
 
Kati yangu na wewe anayefanya generalisatikn nani?

Hayo maendeleo unayozungumzia ni yapi?

Human development Index?
  • GDP?
  • GDP Per Capita?
  • Gini Coefficient?
  • Income Range?
  • Number millionnaires?
  • Debt per GDP Ratio?
  • Economy Inequality?
  • Food Security?
  • Safety?
Nazungumzia GDP/nation income. Pato la taifa Kenya ipo juu zaidi kuliko Tanzania.
 
Back
Top Bottom