Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
- Thread starter
- #81
Hivi kwanini wanasiasa wengi ukiacha habari za chaguzi huwa mnafunika macho kuona mengine?Off course watu wanapolalamikia mambo haimaanishi kila kinachofanyika nchini ni kibaya. Watu wanalalamikia mabaya.
Cha maana hapa na wao waende Kenya kujifunza mazuri ya huko watuletee hapa kama vile Tume huru.