My Tribute to Samia Suluhu Hassan! Kenya inaisifu Tanzania!

My Tribute to Samia Suluhu Hassan! Kenya inaisifu Tanzania!

Ungesema Kenya, wamekuja kujifunza kwenye mfumo wetu wa usimamizi wa maswala ya fedha. Hakuna ambae angeona shida.

Tatizo ni kutaka kumpa credit mtu mwingine kama vile yeye ndio main architect, wakati si yeye.
Samia ndiye raia namba moja wa nchi hii, sifa anazipokea kwa niaba yenu.
 
Nami nilishangaa kama wewe, kwa sababu huyu mtu zamani nilimwona vingine na alivyo sasa!
Mimi niko na free mind!! Sipelekwi na mihemuko ya balehe kama ninyi! Mimi ni mtu mzima sana sishabikii watu wahuni!
 
Nimejionea hii taarifa nikasukumwa kuandika huu uzi kuhusu serikali ya Tanzania ya sasa!

Kwa muda mrefu nimekua mkosoaji nguli wa serikali za CCM kuanzia kwa JK hadi kwa Samia!
Kwa hivi karibuni trend ya uchumi wa Tanzania, mapambano dhidi ya Rushwa, harakati za matumizi ya nishati safi, ujenzi wa miundombinu na maboresho makubwa katika utumishi wa umma huyu mama Samia anastahili pongezi za pekee!

Kikubwa kilichonifurahisha na kunisukuma kuandika huu uzi ni juu ya usafi katika mwenendo mzima wa usajili na uwazi wa matumizi ya madeni ya nchi. Mkaguzi mkuu wa Hesabu za kenya anasema wanapaswa kujifunza na kuiga huu mfumo bora kabisa toka Tanzania.

Hii video hapo chini ni kutoka nchi ya Kenya tunayoamini na kuisifu ipo mbali sana kuliko Tanzania katika katiba na mengine mengi wanakiri kuja kujifunza Tanzania juu ya uwazi katika fedha!! Rais Ruto alikiri Tanzania inaizidi Kenya kwa exports!!
Hakika mwanamke anaweza na anaweza tena!

Huu uzi umenifanya niwakumbuke akin mama shupavu sana akina Benazir Buto, Angela Markel, Margaret Thatcher na Her majesty the Queen Elizabeth II wa Uingereza!!

My Tribute to Samia Suluhu Hassan! Hongera Samia hongereni wanawake Mnaweza!
Tanzania hatuko vibaya. Wala hatutaki kiwa kama Kenya.

Huyo Samia ndio anafosi tuwe kama Kenya wakati sisi tuna maisha yetu na taratibu zetu.

Kenya wameuza kila kitu mpaka barabara za kulipia wanaendesha wachina, na wanakopesheka kwa mbinde.

Huko Zanzibar yanajengwa mahotel hakuna mzawa ana uwezo wa kuingia, huko kwenye visiwa vilivyokodishwa.


Development must be people centered.
 
Nimejionea hii taarifa nikasukumwa kuandika huu uzi kuhusu serikali ya Tanzania ya sasa!

Kwa muda mrefu nimekua mkosoaji nguli wa serikali za CCM kuanzia kwa JK hadi kwa Samia!
Kwa hivi karibuni trend ya uchumi wa Tanzania, mapambano dhidi ya Rushwa, harakati za matumizi ya nishati safi, ujenzi wa miundombinu na maboresho makubwa katika utumishi wa umma huyu mama Samia anastahili pongezi za pekee!

Kikubwa kilichonifurahisha na kunisukuma kuandika huu uzi ni juu ya usafi katika mwenendo mzima wa usajili na uwazi wa matumizi ya madeni ya nchi. Mkaguzi mkuu wa Hesabu za kenya anasema wanapaswa kujifunza na kuiga huu mfumo bora kabisa toka Tanzania.

Hii video hapo chini ni kutoka nchi ya Kenya tunayoamini na kuisifu ipo mbali sana kuliko Tanzania katika katiba na mengine mengi wanakiri kuja kujifunza Tanzania juu ya uwazi katika fedha!! Rais Ruto alikiri Tanzania inaizidi Kenya kwa exports!!
Hakika mwanamke anaweza na anaweza tena!

Huu uzi umenifanya niwakumbuke akin mama shupavu sana akina Benazir Buto, Angela Markel, Margaret Thatcher na Her majesty the Queen Elizabeth II wa Uingereza!!

My Tribute to Samia Suluhu Hassan! Hongera Samia hongereni wanawake Mnaweza!
Nabii hakubaliki nyumbani.

Umewahi ona Samia akaitisha mkutano au kwenda sehemu asiwe popular? Haijawahi tokea ni kioo wa wanaweza wa Afrika 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DG0ZI0Jtzk0/?igsh=MTBkd3F5bHBremhueg==

Mwisho: Hakuna Rais anafanya vizuri kumzidi Samia,amevunja Hadi rekodi ya uwekezaji iliyowahi wekwa na JK.
 
Tanzania hatuko vibaya. Wala hatutaki kiwa kama Kenya.

Huyo Samia ndio anafosi tuwe kama Kenya wakati sisi tuna maisha yetu na taratibu zetu.

Kenya wameuza kila kitu mpaka barabara za kulipia wanaendesha wachina, na wanakopesheka kwa mbinde.

Huko Zanzibar yanajengwa mahotel hakuna mzawa ana uwezo wa kuingia, huko kwenye visiwa vilivyokodishwa.


Development must be people centered.
Una mawazo mazuri sana! Ukiongeza na haya ya kwenye uzi Tanzania tutakua nchi bora sana! Kufika ni hatua na tupo pazuri! Kuna watu wanajidharau kama nchi lakini hiyo Kenya wanayoiona bora wanatamani kuwa kama Tanzania.
 
Sifa kubwa apewe Samia,

Kauli yake ya mifumo isomane imesaidia saana, kwa sasa implementations iko 80%, watanzania watafurahi saana mifumo ikisomana complete.

Anachozungumzia huyo mama ni mifumo ya pesa na kiutumishi kusomana,

It's a big step and there is more coming as things are still cooking


Kikubwa kingine anachofanya huyu mama ni kuanza kukopa kutoka ndani,najua hii iko kwenye pilot kutumia zile hati fungani za Samia infrastructure bonds na bonds za maji kule tanga. If pilot ikikamilika atazungusha saana hela za watanzania katika kuleta maendeleo Yao bila kusumbuliwa na wazungu.

I think there a lot to come kutoka kwa huyu mama, tumpe muda
 
Nimejionea hii taarifa nikasukumwa kuandika huu uzi kuhusu serikali ya Tanzania ya sasa!

Kwa muda mrefu nimekua mkosoaji nguli wa serikali za CCM kuanzia kwa JK hadi kwa Samia!
Kwa hivi karibuni trend ya uchumi wa Tanzania, mapambano dhidi ya Rushwa, harakati za matumizi ya nishati safi, ujenzi wa miundombinu na maboresho makubwa katika utumishi wa umma huyu mama Samia anastahili pongezi za pekee!

Kikubwa kilichonifurahisha na kunisukuma kuandika huu uzi ni juu ya usafi katika mwenendo mzima wa usajili na uwazi wa matumizi ya madeni ya nchi. Mkaguzi mkuu wa Hesabu za kenya anasema wanapaswa kujifunza na kuiga huu mfumo bora kabisa toka Tanzania.

Hii video hapo chini ni kutoka nchi ya Kenya tunayoamini na kuisifu ipo mbali sana kuliko Tanzania katika katiba na mengine mengi wanakiri kuja kujifunza Tanzania juu ya uwazi katika fedha!! Rais Ruto alikiri Tanzania inaizidi Kenya kwa exports!!
Hakika mwanamke anaweza na anaweza tena!

Huu uzi umenifanya niwakumbuke akin mama shupavu sana akina Benazir Buto, Angela Markel, Margaret Thatcher na Her majesty the Queen Elizabeth II wa Uingereza!!

My Tribute to Samia Suluhu Hassan! Hongera Samia hongereni wanawake Mnaweza!
Unajua AJENDA YA RAIA FEKI NCHINI? laiti ungeijua using furahia chochote anacho kifanya fisadi na tapeli samia bushiri na rostam azizi
 
Unajua AJENDA YA RAIA FEKI NCHINI? laiti ungeijua using furahia chochote anacho kifanya fisadi na tapeli samia bushiri na rostam azizi
Umesoma kichwa cha uzi? Umesoma content? Umetazama video clip?
Haya uliyoleta unaweza kuyaanzishia uzi, Asante.
 
Sifa kubwa apewe Samia,

Kauli yake ya mifumo isomane imesaidia saana, kwa sasa implementations iko 80%, watanzania watafurahi saana mifumo ikisomana complete.

Anachozungumzia huyo mama ni mifumo ya pesa na kiutumishi kusomana,

It's a big step and there is more coming as things are still cooking


Kikubwa kingine anachofanya huyu mama ni kuanza kukopa kutoka ndani,najua hii iko kwenye pilot kutumia zile hati fungani za Samia infrastructure bonds na bonds za maji kule tanga. If pilot ikikamilika atazungusha saana hela za watanzania katika kuleta maendeleo Yao bila kusumbuliwa na wazungu.

I think there a lot to come kutoka kwa huyu mama, tumpe muda
Penye ukweli pasemwe!! Viwavi jeshi wamekazana na chaguzi tu!
 
Too low .chawa andamizi la mama
Mama ako Samia sio? Vipi umesoma vizuri uzi au mmekuja na chuki na jazba?

Bahati mbaya sana malaya na machangudoa hubeba pepo wachafu sana vifuani mwao!
 
Mama ako Samia sio? Vipi umesoma vizuri uzi au mmekuja na chuki na jazba?

Bahati mbaya sana malaya na machangudoa hubeba pepo wachafu sana vifuani mwao!
Soma comments za wanaume wenzako ujipime
 
Unaifananisha Kenya na Tanzania kwa kutumia specific to general approach. Actually Kenya ipo juu kiuchumi kulikon Tanzania, kawaida ni kwamba tajiri hujifunza hata njia za utafutaji za masikini, ili azidi kuwa tajiri.
Mtoa mada unapaswa kuwa specific tuinazidi Kenya kwa lipi? Maana shilingi yetu ni mara ngapi kwao? Maswala ya Katiba na utawala bora ndo hivyo tena. Utekaji ulitaka kuanza kilichotokea kama wewe ni mfuatiliaji umeona. Mambo yaliweka hadharani na ujinga utaishia hapo, bongo sasa duu. Hii nchi tulichowashinda wengine ni UCHAWA na sio kingine chochote
 
Mtoa mada unapaswa kuwa specific tuinazidi Kenya kwa lipi? Maana shilingi yetu ni mara ngapi kwao? Maswala ya Katiba na utawala bora ndo hivyo tena. Utekaji ulitaka kuanza kilichotokea kama wewe ni mfuatiliaji umeona. Mambo yaliweka hadharani na ujinga utaishia hapo, bongo sasa duu. Hii nchi tulichowashinda wengine ni UCHAWA na sio kingine chochote
Uko sahihi kiongozi. Pia tZ tunaizidi Kenya kwenye uchawa. tZ uchawa ni rasmi, na sifa njema. Watu wanatumia gharama kubwa kwenye ushezi na upumbavu.
 
Back
Top Bottom