My Tribute to Samia Suluhu Hassan! Kenya inaisifu Tanzania!

My Tribute to Samia Suluhu Hassan! Kenya inaisifu Tanzania!

Nimejionea hii taarifa nikasukumwa kuandika huu uzi kuhusu serikali ya Tanzania ya sasa!

Kwa muda mrefu nimekua mkosoaji nguli wa serikali za CCM kuanzia kwa JK hadi kwa Samia!
Kwa hivi karibuni trend ya uchumi wa Tanzania, mapambano dhidi ya Rushwa, harakati za matumizi ya nishati safi, ujenzi wa miundombinu na maboresho makubwa katika utumishi wa umma huyu mama Samia anastahili pongezi za pekee!

Kikubwa kilichonifurahisha na kunisukuma kuandika huu uzi ni juu ya usafi katika mwenendo mzima wa usajili na uwazi wa matumizi ya madeni ya nchi. Mkaguzi mkuu wa Hesabu za kenya anasema wanapaswa kujifunza na kuiga huu mfumo bora kabisa toka Tanzania.

Hii video hapo chini ni kutoka nchi ya Kenya tunayoamini na kuisifu ipo mbali sana kuliko Tanzania katika katiba na mengine mengi wanakiri kuja kujifunza Tanzania juu ya uwazi katika fedha!! Rais Ruto alikiri Tanzania inaizidi Kenya kwa exports!!
Hakika mwanamke anaweza na anaweza tena!

Huu uzi umenifanya niwakumbuke akin mama shupavu sana akina Benazir Buto, Angela Markel, Margaret Thatcher na Her majesty the Queen Elizabeth II wa Uingereza!!

My Tribute to Samia Suluhu Hassan! Hongera Samia hongereni wanawake Mnaweza!
Wapigaji kwa makusudi kabisa wanafurahia mfumo huo ili pawepo na mianya ya kutosha ya uchotaji wa fedha. Hii mifumo ilipoanza kupambaniwa na IMF walikuwa wa kwanza kuipokea ila wakatafuta namna ya kutoiendeleza. Kule kuna mafisadi papa. Baada ya miaka mitano tena watarudi kubenchmark
 
Kwa hivi karibuni trend ya uchumi wa Tanzania, mapambano dhidi ya Rushwa, harakati za matumizi ya nishati safi, ujenzi wa miundombinu na maboresho makubwa katika utumishi wa umma huyu mama Samia anastahili pongezi za pekee!
Sina shaka umetembelewa na Bwana Abduli. Watu wengine akili zenu zote zimo tumboni.
Ni "...mapambano yapi dhidi ya rushwa" yanayokuzima akili kama siyo pochi la Abduli?
Haki yako ya kupiga kura kuwachagua viongozi wako kwa kutumia akili yako mwenyewe huoni umuhimu wake ?

Nilikuwa sahihi nilipo kugundua hivi karibuni kuwa umeingiliwa na gonjwa kichwani mwako.
 
Sina shaka umetembelewa na Bwana Abduli. Watu wengine akili zenu zote zimo tumboni.
Ni "...mapambano yapi dhidi ya rushwa" yanayokuzima akili kama siyo pochi la Abduli?
Haki yako ya kupiga kura kuwachagua viongozi wako kwa kutumia akili yako mwenyewe huoni umuhimu wake ?

Nilikuwa sahihi nilipo kugundua hivi karibuni kuwa umeingiliwa na gonjwa kichwani mwako.
Yapo mawili, Kalipwa au Katekwa, Usisahau ya Ole Mushi kukanusha kulishwa sumu hadi akafa
 
Nadhani hata wakionyesha uwazi (ambao hata huku haupo) ni pamoja na kuweka vitu ambavyo wanasema wameweka wazi (mfano safari kama hizi, na kuna moja wabunge walikwenda nchi za nje kuangalia mapishi ya huko Malaysia ili waje waboreshe mapochopocho bungeni.., utashangaa kama ilikuwa na tija kwanini wasingewatuma wapishi)...

Hivyo na hili huenda ni katika safari zao za ku justify matumizi (Uwazi wangeanzia kuonyesha ni pesa ngapi wametumia katika huu Usanii)
 
Kenya kaja kujifunza namna ya kuweka kumbukumbu za madeni. Wewe unasema huo utaratibu sifa apewe Samia lakini huo utaratibu umekuwepo toka Nyerere, wa kujua nani katukopesha ila wewe unasema sifa apewe Samia, hapo ndio shida ya uchawa inapokuja.

Huu utaratibu wa kuweka rekodi sahihi za madeni tunao miaka yote, na miaka yote watanzania tumekua tukiambiwa deni letu ni kiasi gani. Sasa Samia anaingiaje hapo?

Kama mtu kafanya jambo jema asifiwe ila hii sio hoja kabisa.
Mtu kama huyu mleta mada hii ni dhahiri anasukumwa na maslahi, hana msimamo wa kujitegemea katika fikra zake kuhusu maswala kama haya. Hii ipo wazi kabisa hata katika uwasilishaji wa mada husika.
Huyu kaingizwa kwenye uchawa.
 
Nami nilishangaa kama wewe, kwa sababu huyu mtu zamani nilimwona vingine na alivyo sasa!
Tangu Mbowe ashindwe uchaguzi, ameamua kurudi kwa Samia huku akijiapiza kuwa Lissu ni lazima akiue chama. Very interesting!
 
Nimejionea hii taarifa nikasukumwa kuandika huu uzi kuhusu serikali ya Tanzania ya sasa!

Kwa muda mrefu nimekua mkosoaji nguli wa serikali za CCM kuanzia kwa JK hadi kwa Samia!
Kwa hivi karibuni trend ya uchumi wa Tanzania, mapambano dhidi ya Rushwa, harakati za matumizi ya nishati safi, ujenzi wa miundombinu na maboresho makubwa katika utumishi wa umma huyu mama Samia anastahili pongezi za pekee!

Kikubwa kilichonifurahisha na kunisukuma kuandika huu uzi ni juu ya usafi katika mwenendo mzima wa usajili na uwazi wa matumizi ya madeni ya nchi. Mkaguzi mkuu wa Hesabu za kenya anasema wanapaswa kujifunza na kuiga huu mfumo bora kabisa toka Tanzania.

Hii video hapo chini ni kutoka nchi ya Kenya tunayoamini na kuisifu ipo mbali sana kuliko Tanzania katika katiba na mengine mengi wanakiri kuja kujifunza Tanzania juu ya uwazi katika fedha!! Rais Ruto alikiri Tanzania inaizidi Kenya kwa exports!!
Hakika mwanamke anaweza na anaweza tena!

Huu uzi umenifanya niwakumbuke akin mama shupavu sana akina Benazir Buto, Angela Markel, Margaret Thatcher na Her majesty the Queen Elizabeth II wa Uingereza!!

My Tribute to Samia Suluhu Hassan! Hongera Samia hongereni wanawake Mnaweza!
Wanawake kwa kusifiana mko vizuri. Na bado hujasema hadi useme.
 
Nami nilishangaa kama wewe, kwa sababu huyu mtu zamani nilimwona vingine na alivyo sasa!
Toka Mbowe ameshindwa kashindwa kukaa sawa. Anaulazimisha uchawa ili apate faraja, lakini chawa halisi hawamtaki maana wanajua ana maluelue ya uchaguzi.
 
Toka Mbowe ameshindwa kashindwa kukaa sawa. Anaulazimisha uchawa ili apate faraja, lakini chawa halisi hawamtaki maana wanajua ana maluelue ya uchaguzi.
Ahaah. Kumbe?
 
Wapigaji kwa makusudi kabisa wanafurahia mfumo huo ili pawepo na mianya ya kutosha ya uchotaji wa fedha. Hii mifumo ilipoanza kupambaniwa na IMF walikuwa wa kwanza kuipokea ila wakatafuta namna ya kutoiendeleza. Kule kuna mafisadi papa. Baada ya miaka mitano tena watarudi kubenchmark
Umeisikiliza clip vizuri lakini?
 
Tangu Mbowe ashindwe uchaguzi, ameamua kurudi kwa Samia huku akijiapiza kuwa Lissu ni lazima akiue chama. Very interesting!
Pole sana sana! Sijarudi kokote zaidi ya kuwa na free mind!! Mimi sigeuzi watu miungu Kama ambavyo ninyi mnawaona mnaofikiri ni aatakatifu sana! Uzuri hivi vitu huwa vina muda! Muda husema na kuamua kwa haki!

Msikilize lipumba hapa!!
 

Attachments

  • v09044g40000cv47ijfog65rr1aunm8g.mp4
    13.5 MB
Nimejionea hii taarifa nikasukumwa kuandika huu uzi kuhusu serikali ya Tanzania ya sasa!

Kwa muda mrefu nimekua mkosoaji nguli wa serikali za CCM kuanzia kwa JK hadi kwa Samia!
Kwa hivi karibuni trend ya uchumi wa Tanzania, mapambano dhidi ya Rushwa, harakati za matumizi ya nishati safi, ujenzi wa miundombinu na maboresho makubwa katika utumishi wa umma huyu mama Samia anastahili pongezi za pekee!

Kikubwa kilichonifurahisha na kunisukuma kuandika huu uzi ni juu ya usafi katika mwenendo mzima wa usajili na uwazi wa matumizi ya madeni ya nchi. Mkaguzi mkuu wa Hesabu za kenya anasema wanapaswa kujifunza na kuiga huu mfumo bora kabisa toka Tanzania.

Hii video hapo chini ni kutoka nchi ya Kenya tunayoamini na kuisifu ipo mbali sana kuliko Tanzania katika katiba na mengine mengi wanakiri kuja kujifunza Tanzania juu ya uwazi katika fedha!! Rais Ruto alikiri Tanzania inaizidi Kenya kwa exports!!
Hakika mwanamke anaweza na anaweza tena!

Huu uzi umenifanya niwakumbuke akin mama shupavu sana akina Benazir Buto, Angela Markel, Margaret Thatcher na Her majesty the Queen Elizabeth II wa Uingereza!!

My Tribute to Samia Suluhu Hassan! Hongera Samia hongereni wanawake Mnaweza!

We ni mtu wa hovyo sana kufikiri
 
Sina shaka umetembelewa na Bwana Abduli. Watu wengine akili zenu zote zimo tumboni.
Ni "...mapambano yapi dhidi ya rushwa" yanayokuzima akili kama siyo pochi la Abduli?
Haki yako ya kupiga kura kuwachagua viongozi wako kwa kutumia akili yako mwenyewe huoni umuhimu wake ?

Nilikuwa sahihi nilipo kugundua hivi karibuni kuwa umeingiliwa na gonjwa kichwani mwako.
Umisikiliza video clip vizuri lakini? Huyo anaeisifia Tanzania si Mimi Bali ni CAG kutoka Nchi mnayoihusudu sana KENYA!!

ni kweli katika mapambano dhidi ya Rushwa huyu mama ana maua yake!!

Kama una ajenda nyingine tofauti na hii unaweza kuianzishia uzi!
 

Attachments

  • v09044g40000cv47ijfog65rr1aunm8g.mp4
    13.5 MB
Back
Top Bottom