makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
K
Kaka Kuwa serious kidogo 😂Nashauri uongozi wa Simba uboreshe mkataba wake haraka iwezekanavyo hii ni pamoja na kumwongezea muda. The guy is on fire fire kweli kweli....
Tena angekuwa mzima ile simu ya Azam aisee tungeongea mengine - Ushindi wa Azam ni pale dimba la kati walipakamata balaa.
anaweza kupata dili kucheza timu yoyote Ufaransa mwishoni mwa msimu.... afu Simba ikakosa compensations.