Mzamiru Yassin Kiungo Punda ndio mido mzawa bora kwa sasa

Mzamiru Yassin Kiungo Punda ndio mido mzawa bora kwa sasa

Mchezaji yoyote aliyefundishwa mpira kwanza anatakiwa aelewe eneo lake na majukumu yake. Mfumo wowote uwanjani utakao chezwa hauondoi Jukumu lako la Msingi Ili timu iwe na balance.
Kinachofuatia ni ku switch kulingana na ushambuliaji na uzuiaji na utaelekezwa wapi unatakiwa u switch na katika mazingira gani.
Sasa ndugu Mbumbumbu umesema mzamiru ni kiungo mzuri wa ulinzi anayeshambulia naomba takwimu zake ana Assist ngapi katika michezo yake yote Yani bila kujali ni mashindano gani.

Nieleze Mzamiru ni Bora katika Nini, yaani pasi za mwisho au kitugani!!
Leo umejichanganya mkuu this is not your normal playground...
Ambapo utaongea Pumba watu wanakuacha tu.

Majukumu hayafungwi kwenye position, positional play inaelekea kufa jiupdate.
Nadhani tujikite kwenye hoja kuitana Mbumbumbu au Utopolo hakutasaidia.
 
Bangala Yanga wamemsajili kutokea FAR Rabat ya Morocco akiwakama Difensive Midfield ila kutokana na uwezo wake mguuni na kichwani Yanga wakamtumia kama Central Difender.
Na kwa spidi ya Ligi yetu anamudu kucheza namba zote.
Bangala amecheza Vita kama Diffender, Vita anahinda 5, na Vita anakufa 2 zote alicheza CB.
Ni sawa na kusema Nyoni ni kiungo kisa anacheza kiungo mara kadhaa.
 
Ndugu Mbumbumbu Bangala alitolewa kwakua Yanga hawakuitaji kiungo wa kuzuia Tena waliamua kushambulia Moja Kwa Moja na Simba walikua wakicheza kwenye low block Sasa kiungo wa ulinzi wanini?
Msiwe mna angalia mpira kama mazuzu, Magoli yote ya Simba hayakutokea kwakua Yanga alizidiwa eneo la kiungo.

Simba wanajua wakicheza na Yanga hawawezi kupitia kati kwakua kiungo Chao ni Dhaifu wanajaribu kupitia pembeni.
Kwasasa Simba hawana kiungo Cha kupishana na Yanga, wanapitishia mipira Kwa kapombe au shabalala.
Goli la kibu lilitokea Pembeni?
 
Mzamiru hafiki ata nusu ya Bangala, Bangala hakimbii hovyo muda mwingi ana Linda difence yake, ana nyang'anya mipira ana Kaba nafasi, mguuni mpira una Kaa.
Ana piga pasi mpenyezo . Hana Kadi za kipuuzi , ana Akili ya mpira.
Huyu Bangala aliye wekwa mfukoni na Nyoni au unaongelea Bangala mwingine?
 
Kwa Simba Mzamiru ni mzuri ila Kwa pale Yanga atacheza namba ya nani, Bangala, aucho au Mudathiri?Maana ao wote wanamzifi katika aspect za soka la kisasa.
Ni kama Ntibazonkiza anavyo fanya vizuri pale Simba ila Kwa Yanga Alisha umaliza mwendo.
Huyo Mudathiri anamweka nje Mzamiru pale Taifa Stars??
 
Leo umejichanganya mkuu this is not your normal playground...
Ambapo utaongea Pumba watu wanakuacha tu.

Majukumu hayafungwi kwenye position, positional play inaelekea kufa jiupdate.
Nadhani tujikite kwenye hoja kuitana Mbumbumbu au Utopolo hakutasaidia.
Kwanza hakuna mchezo wowote wa mpira wa aina yoyote usiokua na position, Kwenye mpira wa miguu kiungo mkabaji Hana free roll na akiwa na tabia izo lazima atailetea timu shida. Muda wote difence inabidi iswitch bila Sababu ya Msingi.

Mpira ni Sanaa ya maumbo na maumbile msifikiri watu wanakimbia hovyo hovyo.
Na ndio maana mchezaji asiyefuata maelekezo ya kucheza bila kufuata maumbile anaweza kutolewa ndani ya dk 20 tangu aingie.
 
Kwanza hakuna mchezo wowote wa mpira wa aina yoyote usiokua na position, Kwenye mpira wa miguu kiungo mkabaji Hana free roll na akiwa na tabia izo lazima atailetea timu shida. Muda wote difence inabidi iswitch bila Sababu ya Msingi.

Mpira ni Sanaa ya maumbo na maumbile msifikiri watu wanakimbia hovyo hovyo.
Na ndio maana mchezaji asiyefuata maelekezo ya kucheza bila kufuata maumbile anaweza kutolewa ndani ya dk 20 tangu aingie.
Lakini haijawahi kuwa hivyo kwa muzamiru.....
Hajawahi tolewa.
Hoja yako si Valid.
 
Sio tu wazawa,hata kwa maproo hakuna mido kama mzamiru.
 
Unaongelea mambo ya mwaka juzi. Inaonekana mpira umekupita kushoto
Ubora wa mzamiru ni upi, na je kwa nafasi yake mchezaji anahitajika kuwa na nini na nini, na je kwenye kila kipengele unampa ngapi katika 10.
YOte kwa yote unampa ngapi?
 
Mzamiru Yasin ndio kiungo mkabaji bora zaidi kwa sasa kwenye ligi yetu hii sio kwa wazawa tu kiufupi kwa sasa hakuna kama mzamiru
Ni kweli amastahili.
Pia Mudathiri kuna huyu Mudathiri yeye bado mdogo muda utambeba sana
 
Ubora wa mzamiru ni upi, na je kwa nafasi yake mchezaji anahitajika kuwa na nini na nini, na je kwenye kila kipengele unampa ngapi katika 10.
YOte kwa yote unampa ngapi?
Mzamiru anakaba muda wote, anapandisha timu,anapiga pasi na kutoa assist.nampa 8/10
 
Kiungo bora kwasasa ni Mudathir Yahya Abbass full stop. Huyu alikosekana kipindi cha kwanza Derby ya kkoo alipoingia huyo Mzamiru hatukumuona!

Kule Naija Mudathir Yahya aliwasimamisha Rivers United. Hawakuonana, jamaa anakaba hadi upepo, anafunga magoli ya ulaya, anasukuma mashambulizi mbele, hakuna kiungo bora kama Mudathir kwasasa.

Huyu Mudathir katoka Azam kuja Yanga na kuingia first eleven moja kwa moja.

Mzamiru anakaba na kupenda kurudisha mipira Nyuma mbele Huwa haoni, Mudathir anakaba na kugawa mapande ya magoli na ukizubaa akakuwasha goli la karne!

Huyu ndie injini ya Yanga na Tanzania kwasasa hizo tuzo za mchongo tunazijua ndo maana Simba Haina kombe ila kelele zake zinavuma hadi Mars , Simba Ina promo grade one!

Daima mbele nyuma mwiko! Yanga nusu fainali Shirikisho, Simba tantalila mwisho ijumaa wanarudi matopeni Buza kwa Mpalanger!
 
Back
Top Bottom