Mzamiru Yassin Kiungo Punda ndio mido mzawa bora kwa sasa

Mzamiru Yassin Kiungo Punda ndio mido mzawa bora kwa sasa

Sasa Muzamiru anakuwaje box to box wakati hawezi kusogea mita 2/3 na mpira, asilimia 50% back pass, anaweza kupiga pass Mkaaa mpaka 6/7 inawezekana vipi akawa box to box.
Mzamiru unamuona maeneo mengi kwakua ni kiungo punda, anazurula uwanjani na unaweza Kuta ana Kadi nyingi za njano kuliko Beki yoyote wa Simba kwakua anachelewa kufika kwenye majukumu analazimika kufanya faul zisizo na tija.
Mchezaji wa kisasa anatakiwa kwanza ajue eneo lake na alimudu Kwa ufasaha mengine yatakuja ziada.
 
Yuko wapi msimu huu?
Saiv ukipewa Bangala na Mzamiru utachukua Bangala?
Then ndio kwanza ana msimu w pili so bado
Mzamiru hafiki ata nusu ya Bangala, Bangala hakimbii hovyo muda mwingi ana Linda difence yake, ana nyang'anya mipira ana Kaba nafasi, mguuni mpira una Kaa.
Ana piga pasi mpenyezo . Hana Kadi za kipuuzi , ana Akili ya mpira.
 
Mzamiru hafiki ata nusu ya Bangala, Bangala hakimbii hovyo muda mwingi ana Linda difence yake, ana nyang'anya mipira ana Kaba nafasi, mguuni mpira una Kaa.
Ana piga pasi mpenyezo . Hana Kadi za kipuuzi , ana Akili ya mpira.
Unatupigia kelele kama lilivyo jina lako redio mbao
 
Unapo Sema Mzamiru ni kiungo Bora inatakiwa ahusike kwenye kuzuia au kushambulia inategemea kama ni namba sita au nane.
Ukiangalia Simba ikiwa inashambuliwa maranyingi shambulizi linaishia golini Kwa Simba yaani shambulizi la adui linafika mwisho.
Ukiangalia Simba ikishambulia katika mashambulizi matatu anaweza asihusike yote au akahusika Moja Sasa ubora wa Muzamiru upo kwenye kuzuia au kushambulia.
Kiungo wa ulinzi anatakiwa awe anailinda difence muda wote yaani kabla ya Inonga na Josh awajakutana na mshambuliaji awe yeye amefika au awe amesogea Kwa difender kutoa usaidizi.
Kwenye Transition awe wakwanza kuhakikisha mpira unawahi kutoka kuelekea mbele.
Mzamiru tatizo alilonalo muda mwingi kutokua katika eneo lake inamaababishia kucheza faul nyingi na Kadi.
Mzamiru yeye ni kiungo punda anakimbia Kila mpira ulipo Sasa soka la kisasa linataka uelewe eneo lako la Msingi na uwe master wa eneo ilo.

Unaposikia Ya Nick Bangala fundi ni kwasababu hakimbii hovyo ila kwenye eneo lake anaiba mipira mingi na anajua kuitawanya Kwa wakati haitaji kukimbia na mpira.
Maneno mengi lakini hakuna Kitu ndugu.
Mzamiru yuko more involved kushambulia kuliko kiungo yoyote yule wa Ulinzi.
Chances created, magoli na Assists vinaelezea zaidi.
Sio kila timu inacheza positional play unatakiwa ulijue hili.
Kwa sasa Simba wanacheza relationism football, Kwahiyo hiyo hoja yako ya posional haina mantiki.
Na kama team pinzani kufika kwa mabeki, kiungo hamna kitu.
Basi hata Casemiro hakuna kitu.
 
Sasa Muzamiru anakuwaje box to box wakati hawezi kusogea mita 2/3 na mpira, asilimia 50% back pass, anaweza kupiga pass Mkaaa mpaka 6/7 inawezekana vipi akawa box to box.
Mzamiru unamuona maeneo mengi kwakua ni kiungo punda, anazurula uwanjani na unaweza Kuta ana Kadi nyingi za njano kuliko Beki yoyote wa Simba kwakua anachelewa kufika kwenye majukumu analazimika kufanya faul zisizo na tija.
Mchezaji wa kisasa anatakiwa kwanza ajue eneo lake na alimudu Kwa ufasaha mengine yatakuja ziada.
Sasa huo unaouita wewe ukisasa ndo uzamani ambao makocha wengi hawawataki wachezaji wanaojimegea kakipande kake uwanjani.... Zamani ukiwa fullback unajimegea mbavu mengine hayakuhusu hata winga pia hana habari ya kuja kusadia kukaba kwasababu sio majukum yake yani anajimegea kipande chake kila mchezaji uwanjani sasa huo ndo uzamani....
 
Sasa Muzamiru anakuwaje box to box wakati hawezi kusogea mita 2/3 na mpira, asilimia 50% back pass, anaweza kupiga pass Mkaaa mpaka 6/7 inawezekana vipi akawa box to box.
Mzamiru unamuona maeneo mengi kwakua ni kiungo punda, anazurula uwanjani na unaweza Kuta ana Kadi nyingi za njano kuliko Beki yoyote wa Simba kwakua anachelewa kufika kwenye majukumu analazimika kufanya faul zisizo na tija.
Mchezaji wa kisasa anatakiwa kwanza ajue eneo lake na alimudu Kwa ufasaha mengine yatakuja ziada.
Umekazana na eneo lake....
Mzamiru hawezi kusogea na mpira mita 3?
Unaangalia mpira mzee?
 
Mzamiru hafiki ata nusu ya Bangala, Bangala hakimbii hovyo muda mwingi ana Linda difence yake, ana nyang'anya mipira ana Kaba nafasi, mguuni mpira una Kaa.
Ana piga pasi mpenyezo . Hana Kadi za kipuuzi , ana Akili ya mpira.
First Bangala sio kiungo, Bangala ni mlinzi wa kati.
Kucheza kwake nafasi ya kiungo hakumuondolei Sifa zake za Beki wa kati.
Unazozitaja wewe ni sifa za beki wa kati.
 
Sasa huo unaouita wewe ukisasa ndo uzamani ambao makocha wengi hawawataki wachezaji wanaojimegea kakipande kake uwanjani.... Zamani ukiwa fullback unajimegea mbavu mengine hayakuhusu hata winga pia hana habari ya kuja kusadia kukaba kwasababu sio majukum yake yani anajimegea kipande chake kila mchezaji uwanjani sasa huo ndo uzamani....
Mchezaji yoyote aliyefundishwa mpira kwanza anatakiwa aelewe eneo lake na majukumu yake. Mfumo wowote uwanjani utakao chezwa hauondoi Jukumu lako la Msingi Ili timu iwe na balance.
Kinachofuatia ni ku switch kulingana na ushambuliaji na uzuiaji na utaelekezwa wapi unatakiwa u switch na katika mazingira gani.
Sasa ndugu Mbumbumbu umesema mzamiru ni kiungo mzuri wa ulinzi anayeshambulia naomba takwimu zake ana Assist ngapi katika michezo yake yote Yani bila kujali ni mashindano gani.

Nieleze Mzamiru ni Bora katika Nini, yaani pasi za mwisho au kitugani!!
 
Mchezaji yoyote aliyefundishwa mpira kwanza anatakiwa aelewe eneo lake na majukumu yake. Mfumo wowote uwanjani utakao chezwa hauondoi Jukumu lako la Msingi Ili timu iwe na balance.
Kinachofuatia ni ku switch kulingana na ushambuliaji na uzuiaji na utaelekezwa wapi unatakiwa u switch na katika mazingira gani.
Sasa ndugu Mbumbumbu umesema mzamiru ni kiungo mzuri wa ulinzi anayeshambulia naomba takwimu zake ana Assist ngapi katika michezo yake yote Yani bila kujali ni mashindano gani.

Nieleze Mzamiru ni Bora katika Nini, yaani pasi za mwisho au kitugani!!
Kwenye kupoteza kwake na huo ubora wa pagala lako la utopolo, ulishinda ngapi kwenye Darb
 
Mzamiru yupo kwenye peak kwa sasa, tazama ile derby alivyowafanya wale viungo wote wa uto pale kati. Mzamiru apewe maua yake, kawa mtulivu sana skuizi, turning zake, ball control, passing vyote ni fire na watu wanaoga kanzu za kutosha. Kukaba ndo 1000%
 
First Bangala sio kiungo, Bangala ni mlinzi wa kati.
Kucheza kwake nafasi ya kiungo hakumuondolei Sifa zake za Beki wa kati.
Unazozitaja wewe ni sifa za beki wa kati.
Bangala Yanga wamemsajili kutokea FAR Rabat ya Morocco akiwakama Difensive Midfield ila kutokana na uwezo wake mguuni na kichwani Yanga wakamtumia kama Central Difender.
Na kwa spidi ya Ligi yetu anamudu kucheza namba zote.
 
Mzamiru yupo kwenye peak kwa sasa, tazama ile derby alivyowafanya wale viungo wote wa uto pale kati. Mzamiru apewe maua yake, kawa mtulivu sana skuizi, turning zake, ball control, passing vyote ni fire na watu wanaoga kanzu za kutosha. Kukaba ndo 1000%
Kwa Simba Mzamiru ni mzuri ila Kwa pale Yanga atacheza namba ya nani, Bangala, aucho au Mudathiri?Maana ao wote wanamzifi katika aspect za soka la kisasa.
Ni kama Ntibazonkiza anavyo fanya vizuri pale Simba ila Kwa Yanga Alisha umaliza mwendo.
 
Kiboko cha Aucho..Mayele..habari za huyu Mwamba waulizwe hawa
 
redio kama Mzamiru alifanya Bangala akatema bungo anawezaje akakosa nafasi pale Yanga?, au nenda ukamuulize Aucho anaijua vizuri shughul ya Mzamiru
 
redio kama Mzamiru alifanya Bangala akatema bungo anawezaje akakosa nafasi pale Yanga?, au nenda ukamuulize Aucho anaijua vizuri shughul ya Mzamiru
Ndugu Mbumbumbu Bangala alitolewa kwakua Yanga hawakuitaji kiungo wa kuzuia Tena waliamua kushambulia Moja Kwa Moja na Simba walikua wakicheza kwenye low block Sasa kiungo wa ulinzi wanini?
Msiwe mna angalia mpira kama mazuzu, Magoli yote ya Simba hayakutokea kwakua Yanga alizidiwa eneo la kiungo.

Simba wanajua wakicheza na Yanga hawawezi kupitia kati kwakua kiungo Chao ni Dhaifu wanajaribu kupitia pembeni.
Kwasasa Simba hawana kiungo Cha kupishana na Yanga, wanapitishia mipira Kwa kapombe au shabalala.
 
Back
Top Bottom