Mzani wa ubaya ndani ya CHADEMA umeelemea upande wa Lissu!

Mzani wa ubaya ndani ya CHADEMA umeelemea upande wa Lissu!

Kinachoitwa pesa za Abdul na Lissu ni pesa zake za matibabu anazoidai Serikali, Abdul alikuwa anatumika kujaribu kusaidia kufanikisha zitoke.

Lissu alishapoteza imani na Mbowe muda mrefu akawa anajaribu kutengeneza mtandao wake dhidi ya Mbowe lakini haukufanikiwa sana, alijaribu kusingizia amehongwa magari na serikali.

Lissu akiwa makamu mwenyekiti alianza kubagua viongozi wa chama chake na kukigawa chama, alimpigia kampeni Msigwa dhidi ya Sugu na akajaribu bila mafanikio kutaka kumpigia kampeni Wenje dhidi ya wagombea wengine.

Lissu hajawahi kutoa kauli yoyote hasi dhidi ya Msigwa au kumtetea Mbowe kwa lolote pamoja na kashfa zote ambazo Msigwa amekuwa akimtolea Mbowe, hii sio kawaida.

Lissu alikuwa amepewa kwenye majukumu yake ya makamu mwenyekiti lakini pia amekuwa akijifanyia mambo ya ki chama kama mtu binafsi, yeye anavyoona inafaa tu bila kuzingatia mawazo ya wengine, maazimio, umoja na misimamo ya chama.
Ndugu yangu, hivi unaujua mfumo wa serikali unavyofanya kazi? Abdul na pesa za matibabu ya Lissu wapi na wapi? Naona mnazidi kupotea njia na kuchafua chama.

Ova
 
Wewe ndiye hujui, kisheria Rais sio mgawa haki nchi hii wala hatakiwi kushawishi maamuzi fulani ya utoaji haki yafanyike kwa sababu eti yeye ni Rais. Mahakama ndio chombo cha mwisho cha utoaji haki, kama Lissu alinyimwa pesa zake na bunge au na serikali angeenda Mahakamani na uamuzi wa mahakama ndio ulipaswa kuwa final.

ELIMU ya kikasuku ndio hii umeitoa.

Kama hujui kuwa kulingana na Katiba yetu Rais ni Nani basi unasafari ndefu.
Rais ni Mtoa HAKI
Rais yupo juu ya sheria.
Rais kwa Katiba yetu ni MUNGU.

ELIMU yako ya kukariri bado haijatambua hili?
 
Kinachoitwa pesa za Abdul na Lissu ni pesa zake za matibabu anazoidai Serikali, Abdul alikuwa anatumika kujaribu kusaidia kufanikisha zitoke.
Sio kweli.... huyo Abdul ni nani mpaka aweze kufanikisha hilo?.

Hizo ni pesa za rushwa tu
 
ELIMU ya kikasuku ndio hii umeitoa.

Kama hujui kuwa kulingana na Katiba yetu Rais ni Nani basi unasafari ndefu.
Rais ni Mtoa HAKI
Rais yupo juu ya sheria.
Rais kwa Katiba yetu ni MUNGU.

ELIMU yako ya kukariri bado haijatambua hili?
Baki na ujinga wako.
 
ELIMU ya kikasuku ndio hii umeitoa.

Kama hujui kuwa kulingana na Katiba yetu Rais ni Nani basi unasafari ndefu.
Rais ni Mtoa HAKI
Rais yupo juu ya sheria.
Rais kwa Katiba yetu ni MUNGU.

ELIMU yako ya kukariri bado haijatambua hili?
Basi Abdul yuko karibu zaidi na mungu ndio maana wenje aliona aitumie hiyo fursa.
 
Basi Abdul yuko karibu zaidi na mungu ndio maana wenje aliona aitumie hiyo fursa.

Ndio inaitwa Rushwa Sasa.
Kwenye mfumo wa Katiba inayomtambua Rais kama mungu nafasi ya Abdul haipo.

Baada ya huu uchaguzi nafikiri humu vile watu walivyokuwa wanakufikiria watabadili mtazamo.
 
Abdul yeye serikalini ni Nani Mpaka atumiwe na kina Wenje kumpatia Lisu HAKI ya pesa zake za matibabu?

Je huo ndio utaratibu wa Sheria unavyotaka kuwa mtu Akiwa na madai Fulani amtafute mtoto au ndugu wa kiongozi Fulani ili apate haki yake?

Yoda nawe unaingia kundi la watu wasiofuata Sheria.
Huyu jamaa anajaribu kuhalalisha zile rushwa za Abdul zionekane ni pesa halali za kumlipa Lissu gharama za matibabu.

Kwa hapo ametukosa...
 
Ndio inaitwa Rushwa Sasa.
Kwenye mfumo wa Katiba inayomtambua Rais kama mungu nafasi ya Abdul haipo.

Baada ya huu uchaguzi nafikiri humu vile watu walivyokuwa wanakufikiria watabadili mtazamo.
Kumfuata Rais kibinafsi na kumuomba aende kinyume na maamuzi ya bunge kwa kutoa pesa ambazo bunge limeshaamua hudai chochote ni rushwa pia.
 
Kumfuata Rais kibinafsi na kumuomba aende kinyume na maamuzi ya bunge kwa kutoa pesa ambazo bunge limeshaamua hudai chochote ni rushwa pia.
Una uhakika kuwa Lissu alimfuata Rais Ubelgiji?
 
Abdul yeye serikalini ni Nani Mpaka atumiwe na kina Wenje kumpatia Lisu HAKI ya pesa zake za matibabu?

Je huo ndio utaratibu wa Sheria unavyotaka kuwa mtu Akiwa na madai Fulani amtafute mtoto au ndugu wa kiongozi Fulani ili apate haki yake?

Yoda nawe unaingia kundi la watu wasiofuata Sheria.
Kwamba serekali inafuata sheria sana hadi ushangae wasio serekali kuweza kupata kitu kinyume na sheria?
 
Kinachoitwa pesa za Abdul na Lissu ni pesa zake za matibabu anazoidai Serikali, Abdul alikuwa anatumika kujaribu kusaidia kufanikisha zitoke.

Lissu alishapoteza imani na Mbowe muda mrefu akawa anajaribu kutengeneza mtandao wake dhidi ya Mbowe lakini haukufanikiwa sana, alijaribu kusingizia amehongwa magari na serikali.

Lissu akiwa makamu mwenyekiti alianza kubagua viongozi wa chama chake na kukigawa chama, alimpigia kampeni Msigwa dhidi ya Sugu na akajaribu bila mafanikio kutaka kumpigia kampeni Wenje dhidi ya wagombea wengine.

Lissu hajawahi kutoa kauli yoyote hasi dhidi ya Msigwa au kumtetea Mbowe kwa lolote pamoja na kashfa zote ambazo Msigwa amekuwa akimtolea Mbowe, hii sio kawaida.

Lissu alikuwa amepewa kwenye majukumu yake ya makamu mwenyekiti lakini pia amekuwa akijifanyia mambo ya ki chama kama mtu binafsi, yeye anavyoona inafaa tu bila kuzingatia mawazo ya wengine, maazimio, umoja na misimamo ya chama.
Chawa unahangaika kama kuku anayetaka kutaga siyo manyuzi haya unayoshusha kila sekunde. Na bado.
 
Back
Top Bottom