Mzazi alomfikisha Mahakaman Mwl Madrasa Kwa kosa la kuchapa watoto, akemewe popote pale anapoonekana na ikiwezekana Jamii imchukulie hatua

Watoto wanachanywa kuandika, mara waandike silabi mara maroroso yasiyoeleweka, sasa mtoto hapa hashike lipi? Haya maroro inatakiwa wafundishwe watu wazima wanaojua kusoma na kuandika silabi na hirabi za kueleweka
 
Huyu mpuuzi afungwe tu akaliwe na wanaume wenye ukame huko makazi mapya.....utampigaje mtoto wa mwenzio kisa dini ya kuletewa isiyo na mantiki kwa Mwafrika yeyote?
 
Huyu mzazi ajengewe sanamu, kwa kweli kawaamsha wazazi wengine wasiojitambua akili. Utampelekaje mwanao madrasa kukariri vitu visivyo na faida maishani mwake na kisha anachapwa?
 
Mbona viboko ni vitu vidogo sana kwenye hiyo imani? Anatakiwa akatwe shingo na Jambia kama anazingua kuielewa dini ya mwarabu
Nimecheka mpaka mbavu zaniuma! Hahahahaha 🤣 😂 🤣 😂 🤣 🤣
 
Kwani ni lazima tuishi kama wanavyoishi watu wa Ulaya
Si ndio wanawaweka mujini? Wakikata misaada mnakufa njaa. Na ndio waliowatawala. Ulaya ndio wanawalisha na kuwavisha. Bila misaada yao mnakufa njaa nyie watu. Tena unyamaze wasikusikie.
 
Huyo mtoa mada mwenyewe kasoma madrasa na labda alifugwa huko.
Usikute mtoto kupigwa huyo shekhe alitaka kumtafuna tako mtoto kakataa kashushiwa fimbo.
Mtoa mada alikubali akaliwa tope na ustaadh bangungu.
Hahahahaha 🤣 😂 🤣 😂 🤣 😂
 
Habari ya kuchamba kwa mchanga huko Jangwani inamsaidia nini Msukuma ambaye anaishi kando kando ya Lake Victoria.Hayo mafundisho ya aina hii yanamsaidia zaidi MWARABU wa Jangwani.
Kula mkate wa tesu na divai inamsadia nini Mwakibwetele huko kwao mbeya.

Nyani haoni kundule.Nyie wote ni misukule ya dini zenu hakuna mwenye nafuu.Mmerithi tamaduni za watu leo mnakazi ya luchekana😀
 
Ustadhi kayakwaa!
Hakuna majibu rahisi kwanini ustadhi kampa kipigo cha kufa mtu mtoto!
Je mtoto ni hakutaka au alishindwa kariri juzuu?
Je mtoto alikataa kutoa MixbyYas?
Au ustadhi kaleta frustration zake Madrasa?!
Mahakamani kitaeleweka...
 
Inchi hii mijitu inashindia miguu ya kuku,vichwa na mautumbo ya kuku plis ugali wa mbegu za GMO wananchi wake wanapenda kushabikia kila ujingaujinga bila kuchuja.

Mambo ya msingi huwezi wakuta kwa wingu huu.Katika mada kama hii wengi wamechangia kwa hisia tena hasi kwasababu ya chuki walioijenga kwa dini nyingine.

Hili taifa la chuki na akili za hovyohvyo halina maisha marefu.
 
Mimi pia Naona kuwachapa watoto ni Sawa,kwa kuangalia tu hao watoto wamechelewa kuja madrasa.

Ila ametumia nguvu nyingi sana kuchapa hao watoto na idadi ni kubwa.

Hayo ni yangu,wanangu pia huwa nawachapa nyumbani.
Wanaowaambia hayo watoto wao wanasoma ulaya mazingira ya kibongo bongo fimbo muhimu.Watanzania msidanganyike.
 
Kwani madrasa kunafundishwa nini hasa? Labda tuanzie hapo!
Kamuulize padri kama wewe ni RC anahekima na busara atakujibu maana wao wanasoma mpaka ubudha ndio maana huoni WAKIPAYUKA PAYUKO HOVYO.Ila kama unaabudu kwenye wahuni wanajiita mitume hapo sina la kukishauri.
 
Kwa malezi haya ya sasa takwimu za sasa zinasema 40% huko makazini hawatimizi wajibu.Tukiendelea na huu ujinga Takwimu zitafika 80% na kila mtu mpaka serikali itaendelea kushangaa.

Hizi siasa kwenye mambo ya msingi kama maadili na utamaduni zitatutokea puani.

Na wanaopigia chapuo watoto wao wanasoma nje ya nchi😀😀😀maskini huku mitoto yenu mnataka ilelewe kimaimayai wakati mazingira yenu hayaruhusu.
 
BIBLIA INASEMA KAMA HUTUMII FIMBO KUMCHAPA MWANAO BASI JUA KUWA HUMPENDI.

Mithali 13:24

"Yeye asiyetumia fimbo yake hampendi mwanawe,
bali yeye ampendaye
huwa mwangalifu kumwadibisha."
Mihemko,chuki na ubinafsi vimejaa kwenye vichwa vya watz.
 
Kwa nini msiwafundishe watoto general knowledge kuhusu dini yenu, kuhusu Allah, kuhusu dhambi na kutenda mema? Mnaishia kuwakaririsha vitu vigumu vyenye lugha isiyoeleweka wakishindwa mnawapiga. Nakumbuka sisi tukiwa wadogo tulikua tunapelekwa Sunday school tunafundisha kuhusu Mungu, dhambi na kutenda mema, hatukufundishwa kukariri torati wala agano jipya/ la kale wala ufunuo wa Yohana, na hatukuwahi kupigwa.
 
Uwe na chembe ya busara kuandika kingereza hakukufanyi uonekane na akili nyingi bali mpumbavu asiyetumia akili sawasawa.

Chuki yako kisaikolojia inakutesa wewe zaidi ya mtesi wako.Jiponye kwa kumpenda adui yako na utaanza kuona mabadiliko katika harakati zako.

Hakuna aliye mkamilifu sisi sote ni wakosaji.Dini zote tumeletea ila akili kila mtu alipewa yake.Itumie akili yako vyema na itakuongoza katika njia iliyonyooka.


Kuwa daktari,Injinia au pilot sio mafanikio.Mafanikio ni kuishi maisha ya furaha n amani.

Itafute amani na utaishi kwa furaha maishani mwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…