CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Wakunyumba kuna siku nilikuona unatafuna mdudu unashushia na SavannaBado sili ni haramu
Huyo sio mimi, savana hata ilivyo sijuiWakunyumba kuna siku nilikuona unatafuna mdudu unashushia na Savanna
Temea mate chini halafu lala usingizi mwemaHuyo sio mimi, savana hata ilivyo sijui
Ulale salama pia.Temea mate chini halafu lala usingizi mwema
Ni muendelezo wa utumwa tu.alafu mwisho wa siku wanakuwa dada wakazi kwa waarabu na wahindi.
I am not pemban ,i have never been near pemba ,i am omani proudWapemba mnavituko sana
No we have maids different parts of the world ,we do not treat them as slaves , we see them foreign workers providing services with payNi muendelezo wa utumwa tu.
UnaJuzuu mpaka mchapane fimbo
Nyinyi wakiristo watoto wenu wachieni waishi kama wanaishi wazunguNa wewe ulisoma.madras kama Malaria 2?
Hakika ila wao hawajashtuka hata wanavyokuwa treated ni tofauti na ngozi nyeupe.Ni muendelezo wa utumwa tu.
Hatukatai watoto kuchapwa lakini siyo kwa staili ile kama mtu unaua nyoka, ule ni ukatili na matokeo yake hao watoto watachukia hiyo ilm yenyewe.Una
Nyinyi wakiristo watoto wenu wachieni waishi kama wanaishi wazungu
I am not pemban ,i have never been near pemba ,i am omani proud
Sisi wengine tumechapwa sana tu, na hivi tahfidh QuranHatukatai watoto kuchapwa lakini siyo kwa staili ile kama mtu unaua nyoka, ule ni ukatili na matokeo yake hao watoto watachukia hiyo ilm yenyewe.
Ujinga tu. Watoto wanakaririshwa kama kasuku kwa lugha wala hawaifahamu. Njia kwa kawaida inayotumika kwenye madrasa kupiga sana fimbo na huweza kugeuka kua mateso kwa mtoto.Umeshindwa kumshikisha Mtoto wako Juzuu , umempeleka Madrasa, Elimu haimuingii mwanadam Kwa njia ya kufundishwa tu, Kuna vitu vingi vinavyochochea Elimu kumkaa MTU kichwani, Elimu inataka Nidhamu Kwa aina yake , Kwa mzazi wa namna hii, jambo la msingi Ilikua ni kuchukua mtoto wake na Kumtoa Kwa Mwalimu Mussa na kumpeleka pengine wasipochapa, au amtafutie Mwalimu wa kumfundishia nyumbani.
Mbona mashuleni fimbo zinatembea kama kawaida ?.
Haya mambo Hayati Magufuli aliyakemea kwelikweli , na aliamuru watoto wachapwe fimbo , ikiwezekana wafukuzwe.
Ni Imani yangu, Hakimu wa Kesi hiyo, atatumia Busara .
Kumchapa Mtoto Kwa lengo la Kumuonya na Kumfanya Abadilike ni sahihi na lazima wachapwe.
Mnaacha mitoto yenu inaangalia michezo ya TV isofaa, mitoto inabadilika Akili kuanzia ikiwa na miaka miwili, Mitoto inalelewa na ubebi ubebi mwingiii linazidi kukua likiamin nili falme au limalikia, Kiburi, jeuri , isowajibika, ndezindezi, mivivu na mizembe kama baba yao, midokozi, Lia Lia , Mitoto Hasara, alafu mnaipeleka shule Kwa Walimu, ambao wamekabidhiwa majukumu kuanzia Kufundishwa Hadi kurekebisha Nidhamu.
Wito wangu Kwa Walimu... KESI KAMA HIZI, ZIWAFANYE MPUUZE MITOTO YAO , MSIHANGAIKE NA MITABIA YA MITOTO YA WATU , INGIENI DARASAN, FUNDISHENI ,SAHIHISHA , USIJISUMBUE NA LITOTO LA MTU.
View: https://youtu.be/8H_q63_Ivas?si=2QcXDM5CliFmNJu5
Watoto kukarishwa mwisho wa siku wanajua. Ndio mtoto mdogo muislam ukimwambia Yesu ni mungu atakukatilia. Wakiristo wanaumia sana wakiwaona waislam wapo madrasaUjinga tu. Watoto wanakaririshwa kama kasuku kwa lugha wala hawaifahamu. Njia kwa kawaida inayotumika kwenye madrasa kupiga sana fimbo na huweza kugeuka kua mateso kwa mtoto.
Kwa hivyo iwe chaguo kwa mzazi. Kama hupendi mateso kwa mwanao usimpeleke madrasa.
Nitapeleka kesi mahakamani dini ya kiislamu ifutwe sikuwahi kuona faida zake kwa mwanadamu zaidi ya hasara chungu mbovu ikiwemo kuuza bandari kwa waarabu just kwa kijikomba kwa waarabu kwa viongozi weusi tii wanaovaa matambara ya kiarabu wakidhani na wao eti ni warabu.
Wewe umekuta mababu zako wameipokea hyo imani ila hujui waliyopitia hadi.kuipokeaLete ushahidi wa hilo otherwise madai yako yatakuwa hadithi za sukununu.
Masuala ya dini na fimbo kweli, unamlazimisha kuelewa au kuamini? Mwache akue akipata akili atachagua Imani aipendayoNimeshtuka sana mkuu, nilidhani unatetea viboko vya madurasa.
Mleta mada anasumbuliwa na ujinga tu. Viboko siyo njia pekee ya kumlea mtoto.
Viboko ni adhabu ya kipumbavu isiyo na faida yeyote kwa mtoto
Sirjeff Denis, al maarufu ONTARIO ana msemo wake anapenda kuuliza,
''Ni mnyama gani, ukitoa Muafrika, huwa anamuadhibu mtoto wake kwa viboko?''
Mimi sijui, labda Mwarabu na Muhindi, lakini Ulaya hakunaga viboko kwa watoto.
😲😲😲Huyo Mzazi kakosa akili unawaza nini hadi umpeleke mwanao Madrsa !.
Dunia ya leo ni sayansi na technology unawezaje kumpotezea mwanao muda wa kwenda kusoma masuala ya waarabu.