Mzazi alomfikisha Mahakaman Mwl Madrasa Kwa kosa la kuchapa watoto, akemewe popote pale anapoonekana na ikiwezekana Jamii imchukulie hatua

Mzazi alomfikisha Mahakaman Mwl Madrasa Kwa kosa la kuchapa watoto, akemewe popote pale anapoonekana na ikiwezekana Jamii imchukulie hatua

Ni muendelezo wa utumwa tu.
No we have maids different parts of the world ,we do not treat them as slaves , we see them foreign workers providing services with pay
Asian workers are paid more because are more professional respectable and don't run away
Utumwa is your dream in a modern world ,get up and get real
 
Hivo vitoto vyenu vikiwa nyumbani mnavidunda.

Ila shuleni mnataka waalimu wawe wana payuka tu vielewe?.

System ya Viboko kwa watoto ni matokeo ya malezi mabovu. YES asilimia kubwa ya low to muddle icome familly hawa lei watoto, Wanakuza tu kama mifugo. Mwishowe toto linakua haliambiliki halisikiki
 
Una
Nyinyi wakiristo watoto wenu wachieni waishi kama wanaishi wazungu
Hatukatai watoto kuchapwa lakini siyo kwa staili ile kama mtu unaua nyoka, ule ni ukatili na matokeo yake hao watoto watachukia hiyo ilm yenyewe.
 
I am not pemban ,i have never been near pemba ,i am omani proud
1000245867.jpg
 
Do you know muslim population in your country is about 35 percent
How can you build a successful progressive nation with this hate towards a religion which has bigger population in your own neighborhood
 
Umeshindwa kumshikisha Mtoto wako Juzuu , umempeleka Madrasa, Elimu haimuingii mwanadam Kwa njia ya kufundishwa tu, Kuna vitu vingi vinavyochochea Elimu kumkaa MTU kichwani, Elimu inataka Nidhamu Kwa aina yake , Kwa mzazi wa namna hii, jambo la msingi Ilikua ni kuchukua mtoto wake na Kumtoa Kwa Mwalimu Mussa na kumpeleka pengine wasipochapa, au amtafutie Mwalimu wa kumfundishia nyumbani.

Mbona mashuleni fimbo zinatembea kama kawaida ?.

Haya mambo Hayati Magufuli aliyakemea kwelikweli , na aliamuru watoto wachapwe fimbo , ikiwezekana wafukuzwe.


Ni Imani yangu, Hakimu wa Kesi hiyo, atatumia Busara .


Kumchapa Mtoto Kwa lengo la Kumuonya na Kumfanya Abadilike ni sahihi na lazima wachapwe.


Mnaacha mitoto yenu inaangalia michezo ya TV isofaa, mitoto inabadilika Akili kuanzia ikiwa na miaka miwili, Mitoto inalelewa na ubebi ubebi mwingiii linazidi kukua likiamin nili falme au limalikia, Kiburi, jeuri , isowajibika, ndezindezi, mivivu na mizembe kama baba yao, midokozi, Lia Lia , Mitoto Hasara, alafu mnaipeleka shule Kwa Walimu, ambao wamekabidhiwa majukumu kuanzia Kufundishwa Hadi kurekebisha Nidhamu.


Wito wangu Kwa Walimu... KESI KAMA HIZI, ZIWAFANYE MPUUZE MITOTO YAO , MSIHANGAIKE NA MITABIA YA MITOTO YA WATU , INGIENI DARASAN, FUNDISHENI ,SAHIHISHA , USIJISUMBUE NA LITOTO LA MTU.


View: https://youtu.be/8H_q63_Ivas?si=2QcXDM5CliFmNJu5

Ujinga tu. Watoto wanakaririshwa kama kasuku kwa lugha wala hawaifahamu. Njia kwa kawaida inayotumika kwenye madrasa kupiga sana fimbo na huweza kugeuka kua mateso kwa mtoto.
Kwa hivyo iwe chaguo kwa mzazi. Kama hupendi mateso kwa mwanao usimpeleke madrasa.
 
Ujinga tu. Watoto wanakaririshwa kama kasuku kwa lugha wala hawaifahamu. Njia kwa kawaida inayotumika kwenye madrasa kupiga sana fimbo na huweza kugeuka kua mateso kwa mtoto.
Kwa hivyo iwe chaguo kwa mzazi. Kama hupendi mateso kwa mwanao usimpeleke madrasa.
Watoto kukarishwa mwisho wa siku wanajua. Ndio mtoto mdogo muislam ukimwambia Yesu ni mungu atakukatilia. Wakiristo wanaumia sana wakiwaona waislam wapo madrasa
 
Nitapeleka kesi mahakamani dini ya kiislamu ifutwe sikuwahi kuona faida zake kwa mwanadamu zaidi ya hasara chungu mbovu ikiwemo kuuza bandari kwa waarabu just kwa kijikomba kwa waarabu kwa viongozi weusi tii wanaovaa matambara ya kiarabu wakidhani na wao eti ni warabu.

unateseka ukiwa wapi?
 
Nimeshtuka sana mkuu, nilidhani unatetea viboko vya madurasa.

Mleta mada anasumbuliwa na ujinga tu. Viboko siyo njia pekee ya kumlea mtoto.

Viboko ni adhabu ya kipumbavu isiyo na faida yeyote kwa mtoto

Sirjeff Denis, al maarufu ONTARIO ana msemo wake anapenda kuuliza,
''Ni mnyama gani, ukitoa Muafrika, huwa anamuadhibu mtoto wake kwa viboko?''

Mimi sijui, labda Mwarabu na Muhindi, lakini Ulaya hakunaga viboko kwa watoto.
Masuala ya dini na fimbo kweli, unamlazimisha kuelewa au kuamini? Mwache akue akipata akili atachagua Imani aipendayo
 
Huyo Mzazi kakosa akili unawaza nini hadi umpeleke mwanao Madrsa !.
Dunia ya leo ni sayansi na technology unawezaje kumpotezea mwanao muda wa kwenda kusoma masuala ya waarabu.
😲😲😲
 
Back
Top Bottom