Mzazi alomfikisha Mahakaman Mwl Madrasa Kwa kosa la kuchapa watoto, akemewe popote pale anapoonekana na ikiwezekana Jamii imchukulie hatua

Mzazi alomfikisha Mahakaman Mwl Madrasa Kwa kosa la kuchapa watoto, akemewe popote pale anapoonekana na ikiwezekana Jamii imchukulie hatua

Siafikiani na aina ya uchapaji ya ustaadh lakini kufikia kiasi cha kumshtaki mwalimu, it's a bit extreme.

Muundo hasa wa madrasa kwa sisi tuliosoma enzi hizo ilikuwa unaendeshwa kwa fimbo na mzazi anatoa encouragement kabisa kwa mwalimu akudunde ili uelewe.
 
Nitapeleka kesi mahakamani dini ya kiislamu ifutwe sikuwa kuona faida zako kwa mwanadamu za hasara chungu mbovu ikiwemo kuuza bandari kwa waarabu just kwa kikikomba kwa waarabu kwa viongozi weusi tii wanaovaa matambara ya kiarabu wakidhani na wao eti ni warabu.
Mr zelensky your masters cannot wipe out a religion
,go help your friend zelensky is crying because trump did not invite him to peace meeting with russian
Better change your name ,because zelensky will expire verry soon
 
Nchi 22 za kiarabu ,masuala ya waarabu wa nchi gani
Oman marufuku kumpiga mwanafunzi school
For your information also we have tecnology and science in our schools ,colleges and higher education universities
Mmegundua nini au kitu gani mmefanya huko oman kwenye ulimwengu huu wa science na technology ukiachana na chant za death to israel😂
 
Back
Top Bottom