Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Mambo ya Ilimu dunia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawafanyaje watoto?walimu wa madrasa walafila sana watoto
alafu mwisho wa siku wanakuwa dada wakazi kwa waarabu na wahindi.Mtaani kwetu wengi ni waislamu
Watoto wanatoka shule saa 11 au 12 wanakula wanaenda madrasa kurudi saa 4 usiku. Kesho tena wanaamka saa 11 ili saa 12 wawe shule.
Nani kakwambia madrasa wanafundisha masuala ya waarabuZile herufi ni herufi za kimakonde.Matamshi ni yakisukuma .
Suti zilianzishwa na wazungu ila leo hii mimi mnyakyusa ninazivaa na siwi MZUNGU......Huyo Mzazi kakosa akili unawaza nini hadi umpeleke mwanao Madrsa !.
Dunia ya leo ni sayansi na technology unawezaje kumpotezea mwanao muda wa kwenda kusoma masuala ya waarabu.
Mr zelensky your masters cannot wipe out a religionNitapeleka kesi mahakamani dini ya kiislamu ifutwe sikuwa kuona faida zako kwa mwanadamu za hasara chungu mbovu ikiwemo kuuza bandari kwa waarabu just kwa kikikomba kwa waarabu kwa viongozi weusi tii wanaovaa matambara ya kiarabu wakidhani na wao eti ni warabu.
Siyo lazima, ila tunaweza kuiga mazuri yao.Kwani ni lazima tuishi kama wanavyoishi watu wa Ulaya
Huyo mtoto lazima atakuwa na roho mbaya hana muda wa kupumzika.Mtaani kwetu wengi ni waislamu
Watoto wanatoka shule saa 11 au 12 wanakula wanaenda madrasa kurudi saa 4 usiku. Kesho tena wanaamka saa 11 ili saa 12 wawe shule.
Akili zenyewe hawana, sijui kwanini wavaa kobazi 10 mwenye akili darasani utakuta ni mmoja au hamna kabisa.alafu mwisho wa siku wanakuwa dada wakazi kwa waarabu na wahindi.
Wazazi walikuwa wapuuzi.Siafikiani na aina ya uchapaji ya ustaadh lakini kufikia kiasi cha kumshtaki mwalimu, it's a bit extreme.
Muundo hasa wa madrasa kwa sisi tuliosoma enzi hizo ilikuwa unaendeshwa kwa fimbo na mzazi anatoa encouragement kabisa kwa mwalimu akudunde ili uelewe.
Wanatesa watoto.Mtaani kwetu wengi ni waislamu
Watoto wanatoka shule saa 11 au 12 wanakula wanaenda madrasa kurudi saa 4 usiku. Kesho tena wanaamka saa 11 ili saa 12 wawe shule.
Kila dini ina mwongozo wake na si hisia tu za watu.....Bakora zisiruhusiwe kwenye masuala ya dini.
Mmegundua nini au kitu gani mmefanya huko oman kwenye ulimwengu huu wa science na technology ukiachana na chant za death to israel😂Nchi 22 za kiarabu ,masuala ya waarabu wa nchi gani
Oman marufuku kumpiga mwanafunzi school
For your information also we have tecnology and science in our schools ,colleges and higher education universities
Habari ya kuchamba kwa mchanga huko Jangwani inamsaidia nini Msukuma ambaye anaishi kando kando ya Lake Victoria.Hayo mafundisho ya aina hii yanamsaidia zaidi MWARABU wa Jangwani.Nani kakwambia madrasa wanafundisha masuala ya waarabu
"Salalee salim "ndio nini ?!!Wanatesa watoto.
Kuwafundisha salalee salim ndiyo masaa yote hayo!
Kwenye imani kuchapa bakora kumbe ruksa? Tupe aya moya hapoKila dini ina mwongozo wake na si hisia tu za watu.....
Dini yangu inaniongoza kiimani kuchapa VIBOKO watoto wangu wasiotaka kuswali pale wanapofikisha miaka 10......