Mzazi alomfikisha Mahakaman Mwl Madrasa Kwa kosa la kuchapa watoto, akemewe popote pale anapoonekana na ikiwezekana Jamii imchukulie hatua

Mzazi alomfikisha Mahakaman Mwl Madrasa Kwa kosa la kuchapa watoto, akemewe popote pale anapoonekana na ikiwezekana Jamii imchukulie hatua

Umeshindwa kumshikisha Mtoto wako Juzuu , umempeleka Madrasa, Elimu haimuingii mwanadam Kwa njia ya kufundishwa tu, Kuna vitu vingi vinavyochochea Elimu kumkaa MTU kichwani, Elimu inataka Nidhamu Kwa aina yake , Kwa mzazi wa namna hii, jambo la msingi Ilikua ni kuchukua mtoto wake na Kumtoa Kwa Mwalimu Mussa na kumpeleka pengine wasipochapa, au amtafutie Mwalimu wa kumfundishia nyumbani.

Mbona mashuleni fimbo zinatembea kama kawaida ?.

Haya mambo Hayati Magufuli aliyakemea kwelikweli , na aliamuru watoto wachapwe fimbo , ikiwezekana wafukuzwe.


Ni Imani yangu, Hakimu wa Kesi hiyo, atatumia Busara .


Kumchapa Mtoto Kwa lengo la Kumuonya na Kumfanya Abadilike ni sahihi na lazima wachapwe.


Mnaacha mitoto yenu inaangalia michezo ya TV isofaa, mitoto inabadilika Akili kuanzia ikiwa na miaka miwili, Mitoto inalelewa na ubebi ubebi mwingiii linazidi kukua likiamin nili falme au limalikia, Kiburi, jeuri , isowajibika, ndezindezi, mivivu na mizembe kama baba yao, midokozi, Lia Lia , Mitoto Hasara, alafu mnaipeleka shule Kwa Walimu, ambao wamekabidhiwa majukumu kuanzia Kufundishwa Hadi kurekebisha Nidhamu.


Wito wangu Kwa Walimu... KESI KAMA HIZI, ZIWAFANYE MPUUZE MITOTO YAO , MSIHANGAIKE NA MITABIA YA MITOTO YA WATU , INGIENI DARASAN, FUNDISHENI ,SAHIHISHA , USIJISUMBUE NA LITOTO LA MTU.


View: https://youtu.be/8H_q63_Ivas?si=2QcXDM5CliFmNJu5

Kwani madrasa kunafundishwa nini hasa? Labda tuanzie hapo!
 
Ifike wakati kila mtu aleee watoto wake hadi kuwafundisha maan ktk jamii tunatofautiana kifikra, mtazamo, imani na malezi. Km hutaki mwanao achapwe viboko kwa sababu zako binafsi au sababu ya usasa hasa utandawazi, ni vizuri ulee na kumfundisha elimu dunia mwenyewe km unadhani ni rahisi hasa km mtoto atakua amechukua umbumbumbu wa mzazi mmojawapo.

Km unataka mwanao apate elimu kwa namna yoyote ile, iwe kwa maumivu au starehe basi mpeleke mwanao shule.

Siwatetei walimu, ila mimi ni mzazi ninajua vyema jinsi watoto wa sasa walivyopasua kichwa. Hawana haibu wala adabu. Wakiwa nyumbani baadhi yao hujifanya wema sana lakini wakifika shuleni ni vurugu mechi, ila mzazi goigoi na asiejua maana hata ukimueleza hatajua maana.

Nawapa pole sana walimu wa sasa maana wanafundisha watoto wa kihuni waliotoka kwa wazazi wahuni ndo maana wanalalamikiwa. Watoto wao wakiachwa wafanye wanachotaka hatimae wakifeli wanawatupia tena walimu lawama.

Enzi zetu hata kusema tu nyumbani kuwa nimechapwa na mwalimiu ulikuwa hauwezi maana kitendo tu chakusema ulikuwa unachapwa zingine za kukutosha mwezi au mwaka mzima. Mwanafunzi ulikuwa ukiskia kuwa mwalimiu kapita nyumbani kwenu hata km ilikuwa kwa ajili ya kusalimia labda anafahamiana na mzazi wako, ulikuwa unapata mchafuko wa tupo gafla maan kuna kuwa na hisia kuwa huenda mwalimu kamuelezea baba yako utundu na tabia zako zote unapokuwa shule. Siyo kwamba wazazi wetu walikuwa wajinga, la hasha, walikuwa na akili sana kuliko kizazi hiki cha Bongo Flavour. Walijua nini maana ya mwalimu na umuhimu wake ktk jamii. Na ndiyo maana mwalimu aliheshimika sana popote aliopopita. Lakini leo mwalimiu anachukuliwa na wanafunzi na wazazi km MSHIKAJI. Hatari sn hii.

Kweli bora ufadhili mbuzi utakunywa mchuzi, siyo mwanadamu.

Nimemaliza: BANDOKITITA said
100% Fact
 
Walimu wa madrassa wanachapa saña..
Nakumbuka mimi nilikua nasoma pale forest ya zamani kwa ostadh idd..
Madrassa ipo mtaa wa pili karibu na mahakama kuu ya mbeya..

Yule shekhe aliwahi nichapa kwa kosa la nyumbani tu tena alinichapa mkononi sio kwenye kiganja.

Mama angu anakuja kutokakea dasalam alinikuta na zile alama , aiseee alilaani sana sana tuu.

Kuna mda mpaka nilichanganyikiwa yaani niliwekeza sana madrassa hadi shule nikasahau nikawa nipo radhi nitoloke vipindi vya jioni ili niwahi madrassa..

Ila yashapita hayo..
Wakuu msifanye elimu ya dini kuwa ngumu hvo...
Picha linaanza lugha ile sio yetu

Kuna sura mtu kukalili kichwani ni kimbembe hasa sisi watu wa bara ambao hatujakulia katika mazingira ya pwani.

Assume unakalilishwa kajuu amma alafu ole wakooo ole wakooo usahau hata zumma tein uone
Kusema kweli ukipata elimu ya dini (Islamic),ni jambo jema sana,, tatizo tu ni waalimu wachache sana wa madrasa waliojifunza pia saikolojia,kitu ambacho ni mhimu kwa mwalimu yoyote yule.
Mi nakumbuka hadi leo,jinsi mwl wangu fulani wa madrasa alivokuwa akitoa adhabu yakukuchapa viboko uku umeshika masikio, ilikuwa inaumiza kwa kweli hata kisaikolojia,sijui kama mmeelewa hiyo adhabu,yaani unainama unapitisha mikono kati ya mapaja kwa nyuma ili ushike masikio, inamaana makalio yanakua juu,mboko ikipigwa sasa inaingia kisawasawa,mungu anisamehe hadi leo uwa namuona msikitini huyo mwalimu,kwasasa aumwa pia huwa naishia kumsalimia tu,lkn moyoni namchukia,hii hali hainitoki.
Nilisoma hadi karibia kiwango cha kati,lkn uenda ningekuwa mbali,dizaini ya walimu hawa ilichangia kiasi fulani kutia ugumu katika elimu hizi,ni hiyo historia yangu kwa ufupi.
 
Umeshindwa kumshikisha Mtoto wako Juzuu , umempeleka Madrasa, Elimu haimuingii mwanadam Kwa njia ya kufundishwa tu, Kuna vitu vingi vinavyochochea Elimu kumkaa MTU kichwani, Elimu inataka Nidhamu Kwa aina yake , Kwa mzazi wa namna hii, jambo la msingi Ilikua ni kuchukua mtoto wake na Kumtoa Kwa Mwalimu Mussa na kumpeleka pengine wasipochapa, au amtafutie Mwalimu wa kumfundishia nyumbani.

Mbona mashuleni fimbo zinatembea kama kawaida ?.

Haya mambo Hayati Magufuli aliyakemea kwelikweli , na aliamuru watoto wachapwe fimbo , ikiwezekana wafukuzwe.


Ni Imani yangu, Hakimu wa Kesi hiyo, atatumia Busara .


Kumchapa Mtoto Kwa lengo la Kumuonya na Kumfanya Abadilike ni sahihi na lazima wachapwe.


Mnaacha mitoto yenu inaangalia michezo ya TV isofaa, mitoto inabadilika Akili kuanzia ikiwa na miaka miwili, Mitoto inalelewa na ubebi ubebi mwingiii linazidi kukua likiamin nili falme au limalikia, Kiburi, jeuri , isowajibika, ndezindezi, mivivu na mizembe kama baba yao, midokozi, Lia Lia , Mitoto Hasara, alafu mnaipeleka shule Kwa Walimu, ambao wamekabidhiwa majukumu kuanzia Kufundishwa Hadi kurekebisha Nidhamu.


Wito wangu Kwa Walimu... KESI KAMA HIZI, ZIWAFANYE MPUUZE MITOTO YAO , MSIHANGAIKE NA MITABIA YA MITOTO YA WATU , INGIENI DARASAN, FUNDISHENI ,SAHIHISHA , USIJISUMBUE NA LITOTO LA MTU.


View: https://youtu.be/8H_q63_Ivas?si=2QcXDM5CliFmNJu5

Umelewa alkasusu bila shaka!
 
Kusema kweli ukipata elimu ya dini (Islamic),ni jambo jema sana,, tatizo tu ni waalimu wachache sana wa madrasa waliojifunza pia saikolojia,kitu ambacho ni mhimu kwa mwalimu yoyote yule.
Mi nakumbuka hadi leo,jinsi mwl wangu fulani wa madrasa alivokuwa akitoa adhabu yakukuchapa viboko uku umeshika masikio, ilikuwa inaumiza kwa kweli hata kisaikolojia,sijui kama mmeelewa hiyo adhabu,yaani unainama unapitisha mikono kati ya mapaja kwa nyuma ili ushike masikio, inamaana makalio yanakua juu,mboko ikipigwa sasa inaingia kisawasawa,mungu anisamehe hadi leo uwa namuona msikitini huyo mwalimu,kwasasa aumwa pia huwa naishia kumsalimia tu,lkn moyoni namchukia,hii hali hainitoki.
Nilisoma hadi karibia kiwango cha kati,lkn uenda ningekuwa mbali,dizaini ya walimu hawa ilichangia kiasi fulani kutia ugumu katika elimu hizi,ni hiyo historia yangu kwa ufupi.
hizo fimbo ndio zilikufanya mpaka ukafika kiwango cha kati. Mtume MUHAMMAD (s.a.w) mwenyewe alibanwa mbavu na malaika Jibril (Gabriel) a.s pale alipoletewa ufunuo kwa mara ya kwanza na kuambiwa SOMA! akajibu siwezi kusoma...akaminywa mbavu hizi mpaka zikakaribia kukutana...akaambiwa tena SOMA! akaminywa kama mara tatu ndio akaambiwa tena SOMA kwa jina la Mola wako aliyekuumba...Akaweza kusoma.

Ila wewe leo hii unataka elimu ilukae tu kimayai mayai utadhani unakopi na kupaste vitu vyenye flash disk
 
Hivi nyie mnaoona alichofanyiwa Mwl ni sawa, mna akili TIMAMU kweli??.

Mnataka Taifa liwe na kizazi Cha aina gan? Kizazi ambacho kitaona kuonywa ni makosa ?.

Dini humstaharibisha MTU, Mmejaa Ukristo wa ajabu ajabu ,Ukiristo usokua maadili .


BIBLIA inaonya kutomnyima mtoto fimbo
 
Umeshindwa kumshikisha Mtoto wako Juzuu , umempeleka Madrasa, Elimu haimuingii mwanadam Kwa njia ya kufundishwa tu, Kuna vitu vingi vinavyochochea Elimu kumkaa MTU kichwani, Elimu inataka Nidhamu Kwa aina yake , Kwa mzazi wa namna hii, jambo la msingi Ilikua ni kuchukua mtoto wake na Kumtoa Kwa Mwalimu Mussa na kumpeleka pengine wasipochapa, au amtafutie Mwalimu wa kumfundishia nyumbani.

Mbona mashuleni fimbo zinatembea kama kawaida ?.

Haya mambo Hayati Magufuli aliyakemea kwelikweli , na aliamuru watoto wachapwe fimbo , ikiwezekana wafukuzwe.


Ni Imani yangu, Hakimu wa Kesi hiyo, atatumia Busara .


Kumchapa Mtoto Kwa lengo la Kumuonya na Kumfanya Abadilike ni sahihi na lazima wachapwe.


Mnaacha mitoto yenu inaangalia michezo ya TV isofaa, mitoto inabadilika Akili kuanzia ikiwa na miaka miwili, Mitoto inalelewa na ubebi ubebi mwingiii linazidi kukua likiamin nili falme au limalikia, Kiburi, jeuri , isowajibika, ndezindezi, mivivu na mizembe kama baba yao, midokozi, Lia Lia , Mitoto Hasara, alafu mnaipeleka shule Kwa Walimu, ambao wamekabidhiwa majukumu kuanzia Kufundishwa Hadi kurekebisha Nidhamu.


Wito wangu Kwa Walimu... KESI KAMA HIZI, ZIWAFANYE MPUUZE MITOTO YAO , MSIHANGAIKE NA MITABIA YA MITOTO YA WATU , INGIENI DARASAN, FUNDISHENI ,SAHIHISHA , USIJISUMBUE NA LITOTO LA MTU.


View: https://youtu.be/8H_q63_Ivas?si=2QcXDM5CliFmNJu5

Unaifahamu sheria ya viboko?
 
Mtaani kwetu wengi ni waislamu
Watoto wanatoka shule saa 11 au 12 wanakula wanaenda madrasa kurudi saa 4 usiku. Kesho tena wanaamka saa 11 ili saa 12 wawe shule.
Uko kwenu wamezidisha madrasa nyingi mwisho saa mbili baada ya swala watoto wanarudi nyumbani
 
hizo fimbo ndio zilikufanya mpaka ukafika kiwango cha kati. Mtume MUHAMMAD (s.a.w) mwenyewe alibanwa mbavu na malaika Jibril (Gabriel) a.s pale alipoletewa ufunuo kwa mara ya kwanza na kuambiwa SOMA! akajibu siwezi kusoma...akaminywa mbavu hizi mpaka zikakaribia kukutana...akaambiwa tena SOMA! akaminywa kama mara tatu ndio akaambiwa tena SOMA kwa jina la Mola wako aliyekuumba...Akaweza kusoma.

Ila wewe leo hii unataka elimu ilukae tu kimayai mayai utadhani unakopi na kupaste vitu vyenye flash disk

hizo fimbo ndio zilikufanya mpaka ukafika kiwango cha kati. Mtume MUHAMMAD (s.a.w) mwenyewe alibanwa mbavu na malaika Jibril (Gabriel) a.s pale alipoletewa ufunuo kwa mara ya kwanza na kuambiwa SOMA! akajibu siwezi kusoma...akaminywa mbavu hizi mpaka zikakaribia kukutana...akaambiwa tena SOMA! akaminywa kama mara tatu ndio akaambiwa tena SOMA kwa jina la Mola wako aliyekuumba...Akaweza kusoma.

Ila wewe leo hii unataka elimu ilukae tu kimayai mayai utadhani unakopi na kupaste vitu vyenye flash disk
Simaanishi hivyo mkuu,sawa adhabu itolewe,lkn iwe kulingana na uzito wa kosa,,itakuwaje uchapwe viboko kwa kushikishwa masikio,kwa kosa lakuchelewa kuingia darasani!!!sio kwamba umetoroka darasani au umemtukana mwalimu au umepigana!!
 
Hivi nyie mnaoona alichofanyiwa Mwl ni sawa, mna akili TIMAMU kweli??.

Mnataka Taifa liwe na kizazi Cha aina gan? Kizazi ambacho kitaona kuonywa ni makosa ?.

Dini humstaharibisha MTU, Mmejaa Ukristo wa ajabu ajabu ,Ukiristo usokua maadili .


BIBLIA inaonya kutomnyima mtoto fimbo
Hata Biblia katika kitabu cha methali inahimiza kuwachapa watoto ili kuwaokoa na tabia mbovu

Methali 23:13-14

"Usiache kumrudi mtoto;
ukimchapa kiboko hatakufa.

Ukimtandika kiboko,
utayaokoa maisha yake na kuzimu"
 
Simaanishi hivyo mkuu,sawa adhabu itolewe,lkn iwe kulingana na uzito wa kosa,,itakuwaje uchapwe viboko kwa kushikishwa masikio,kwa kosa lakuchelewa kuingia darasani!!!sio kwamba umetoroka darasani au umemtukana mwalimu au umepigana!!
Hata klabu za mpira mchezaji akichelewa mazoezini hupewa adhabu na kutozwa faini. Chelewa kazini halafu uone bosi wako kama atakuchekea.

Mwalimu anapokuchapa unaona kama anakuonea ila haya masomo ni kwa ajili ya kukuandaa na maisha yako ya baadae. Masuala ya uchelewaji ni hulka zetu watanzania kwasababu ya tabia hii kutokukemewa kwa watoto matokeo yake wanakua nayo tabia hii hata katika maisha yao ya kila siku
 
Fimbo na maonyo hutia hekima; Bali mwana aliyeachiliwa humwaihisha mamaye” (Methali 29:15).
 
Back
Top Bottom