Mzazi alomfikisha Mahakaman Mwl Madrasa Kwa kosa la kuchapa watoto, akemewe popote pale anapoonekana na ikiwezekana Jamii imchukulie hatua

Mzazi alomfikisha Mahakaman Mwl Madrasa Kwa kosa la kuchapa watoto, akemewe popote pale anapoonekana na ikiwezekana Jamii imchukulie hatua

BIBLIA INASEMA KAMA HUTUMII FIMBO KUMCHAPA MWANAO BASI JUA KUWA HUMPENDI.

Mithali 13:24

"Yeye asiyetumia fimbo yake hampendi mwanawe,
bali yeye ampendaye
huwa mwangalifu kumwadibisha."
 
BIBLIA INASEMA KUWA UPUMBAVU UMEFUNGWA KATIKA MOYO WA MTOTO HIVYO FIMBO NDIO HUTUMIKA KUUFUNGUA

Mithali 22:15

"Upumbavu umefungwa ndani ya moyo wa mtoto,
bali fimbo ya adhabu itaufukuzia mbali naye."
 
Mithali 20:30

" Mapigo na majeraha huusafisha ubaya,
nayo michapo hutakasa utu wa ndani."
 
nitajie hasara 10 za hilo jambo na kisha nitajie faida 2
1)Ni ujinga kupiga mtoto viboko.
2)Unasabisha hofu kwa mtoto.
3)Unamsababisha maumivu ya mwili
4)Unamnyanyasa kihisia.
5)Unamuathiri kisaikolojia.
6)unasababisha akariri mafundisho bila kuelewa.
7)unamlazimisha kufuata dini bila kupenda.
8)unazalisha kizazi kisichojiamini.
9)unaeneza ushamba.
10)Ni upumbavu.

Hakuna faida kabisa za kuchapa watoto viboko kwa sababu wanaweza kuwa na maadili na kufuata mafundisho ya mzazi, mwalimu au mlezi bila kuwachapa viboko.

Kuna njia nyingi za kumuadhibu mtoto anapokosea.

Nyumbani kwangu mtoto akikosea simpigi, nampa adhabu yenye faida.

Naweza kumwambia akopi dictionary kuanzia herufi A hadi P.

Au nikamwambia afue nguo za familia nzima, hizo ni adhabu zenye faida.

Nyumbani kwangu nimepiga marufuku kuwapiga watoto, na watoto wangu wana maadili na utii kuliko wa majirani wanaopigwa kila siku kama ngoma.
 
BIBLIA INASEMA KUWA UPUMBAVU UMEFUNGWA KATIKA MOYO WA MTOTO HIVYO FIMBO NDIO HUTUMIKA KUUFUNGUA

Mithali 22:15

"Upumbavu umefungwa ndani ya moyo wa mtoto,
bali fimbo ya adhabu itaufukuzia mbali naye."
Bibilia na Quruan ni maandiko yaliyopitwa na wakati.
 
Nimeshtuka sana mkuu, nilidhani unatetea viboko vya madurasa.

Mleta mada anasumbuliwa na ujinga tu. Viboko siyo njia pekee ya kumlea mtoto.

Viboko ni adhabu ya kipumbavu isiyo na faida yeyote kwa mtoto

Sirjeff Denis, al maarufu ONTARIO ana msemo wake anapenda kuuliza,
''Ni mnyama gani, ukitoa Muafrika, huwa anamuadhibu mtoto wake kwa viboko?''

Mimi sijui, labda Mwarabu na Muhindi, lakini Ulaya hakunaga viboko kwa watoto.
Sasa unajua madhara yaliyojitokeza huko ulaya kwa kukataza watoto kutochapwa?mitoto ya ulaya haina nidhamu hata kidogo wanaweza kukuchapa makofi mzazi,wanakutemea mate,wanakutukana na hauna cha kuwafanya sasa hiyo ndio unapenda itokee kwa watoto wako?si kila kitu tuige ulaya kuna vya kuiga na kuna vingine vya kuvidharau.
Ngoja kesho kuna video nizitafute nitakuwekea hapa uone jinsi gani wazazi wananyantasika na watoto wao
 
Umeshindwa kumshikisha Mtoto wako Juzuu , umempeleka Madrasa, Elimu haimuingii mwanadam Kwa njia ya kufundishwa tu, Kuna vitu vingi vinavyochochea Elimu kumkaa MTU kichwani, Elimu inataka Nidhamu Kwa aina yake , Kwa mzazi wa namna hii, jambo la msingi Ilikua ni kuchukua mtoto wake na Kumtoa Kwa Mwalimu Mussa na kumpeleka pengine wasipochapa, au amtafutie Mwalimu wa kumfundishia nyumbani.

Mbona mashuleni fimbo zinatembea kama kawaida ?.

Haya mambo Hayati Magufuli aliyakemea kwelikweli , na aliamuru watoto wachapwe fimbo , ikiwezekana wafukuzwe.


Ni Imani yangu, Hakimu wa Kesi hiyo, atatumia Busara .


Kumchapa Mtoto Kwa lengo la Kumuonya na Kumfanya Abadilike ni sahihi na lazima wachapwe.


Mnaacha mitoto yenu inaangalia michezo ya TV isofaa, mitoto inabadilika Akili kuanzia ikiwa na miaka miwili, Mitoto inalelewa na ubebi ubebi mwingiii linazidi kukua likiamin nili falme au limalikia, Kiburi, jeuri , isowajibika, ndezindezi, mivivu na mizembe kama baba yao, midokozi, Lia Lia , Mitoto Hasara, alafu mnaipeleka shule Kwa Walimu, ambao wamekabidhiwa majukumu kuanzia Kufundishwa Hadi kurekebisha Nidhamu.


Wito wangu Kwa Walimu... KESI KAMA HIZI, ZIWAFANYE MPUUZE MITOTO YAO , MSIHANGAIKE NA MITABIA YA MITOTO YA WATU , INGIENI DARASAN, FUNDISHENI ,SAHIHISHA , USIJISUMBUE NA LITOTO LA MTU.


View: https://youtu.be/8H_q63_Ivas?si=2QcXDM5CliFmNJu5

Naunga mkono hoja ya mleta Uzi!.
Wazazi wasiotaka watoto wao kuadhibiwa wakae nao majumbani wawafundishe wenyewe!.
 
Mmegundua nini au kitu gani mmefanya huko oman kwenye ulimwengu huu wa science na technology ukiachana na chant za death to israel😂
Come and see for your self,we don't have to waffle all day we work
If you like and love israel why don't you go to them and find out how they treat african
 
Sasa unajua madhara yaliyojitokeza huko ulaya kwa kukataza watoto kutochapwa?mitoto ya ulaya haina nidhamu hata kidogo wanaweza kukuchapa makofi mzazi,wanakutemea mate,wanakutukana na hauna cha kuwafanya sasa hiyo ndio unapenda itokee kwa watoto wako?si kila kitu tuige ulaya kuna vya kuiga na kuna vingine vya kuvidharau.
Ngoja kesho kuna video nizitafute nitakuwekea hapa uone jinsi gani wazazi wananyantasika na watoto wao
Siyo sawa mtoto kumtemea mate au kumpiga mzazi, lakini kwa maoni yangu, ni bora mtoto ampige mzazi kuliko mzazi kumpiga mtoto.

Najua utashangaa sana!
 
Umeshindwa kumshikisha Mtoto wako Juzuu , umempeleka Madrasa, Elimu haimuingii mwanadam Kwa njia ya kufundishwa tu, Kuna vitu vingi vinavyochochea Elimu kumkaa MTU kichwani, Elimu inataka Nidhamu Kwa aina yake , Kwa mzazi wa namna hii, jambo la msingi Ilikua ni kuchukua mtoto wake na Kumtoa Kwa Mwalimu Mussa na kumpeleka pengine wasipochapa, au amtafutie Mwalimu wa kumfundishia nyumbani.

Mbona mashuleni fimbo zinatembea kama kawaida ?.

Haya mambo Hayati Magufuli aliyakemea kwelikweli , na aliamuru watoto wachapwe fimbo , ikiwezekana wafukuzwe.


Ni Imani yangu, Hakimu wa Kesi hiyo, atatumia Busara .


Kumchapa Mtoto Kwa lengo la Kumuonya na Kumfanya Abadilike ni sahihi na lazima wachapwe.


Mnaacha mitoto yenu inaangalia michezo ya TV isofaa, mitoto inabadilika Akili kuanzia ikiwa na miaka miwili, Mitoto inalelewa na ubebi ubebi mwingiii linazidi kukua likiamin nili falme au limalikia, Kiburi, jeuri , isowajibika, ndezindezi, mivivu na mizembe kama baba yao, midokozi, Lia Lia , Mitoto Hasara, alafu mnaipeleka shule Kwa Walimu, ambao wamekabidhiwa majukumu kuanzia Kufundishwa Hadi kurekebisha Nidhamu.


Wito wangu Kwa Walimu... KESI KAMA HIZI, ZIWAFANYE MPUUZE MITOTO YAO , MSIHANGAIKE NA MITABIA YA MITOTO YA WATU , INGIENI DARASAN, FUNDISHENI ,SAHIHISHA , USIJISUMBUE NA LITOTO LA MTU.


View: https://youtu.be/8H_q63_Ivas?si=2QcXDM5CliFmNJu5

Aende Uarabuni ilikotoka dini akawachape watoto wa kiarabu hivyo aone cha moto,Hata Mtume(S.A.W) anaseme muwachape watoto kwa fimbo sio za kuumiza,Mtu ana stress zake tu anataka azimalizie kwa watoto wa watu
 
Umeshindwa kumshikisha Mtoto wako Juzuu , umempeleka Madrasa, Elimu haimuingii mwanadam Kwa njia ya kufundishwa tu, Kuna vitu vingi vinavyochochea Elimu kumkaa MTU kichwani, Elimu inataka Nidhamu Kwa aina yake , Kwa mzazi wa namna hii, jambo la msingi Ilikua ni kuchukua mtoto wake na Kumtoa Kwa Mwalimu Mussa na kumpeleka pengine wasipochapa, au amtafutie Mwalimu wa kumfundishia nyumbani.

Mbona mashuleni fimbo zinatembea kama kawaida ?.

Haya mambo Hayati Magufuli aliyakemea kwelikweli , na aliamuru watoto wachapwe fimbo , ikiwezekana wafukuzwe.


Ni Imani yangu, Hakimu wa Kesi hiyo, atatumia Busara .


Kumchapa Mtoto Kwa lengo la Kumuonya na Kumfanya Abadilike ni sahihi na lazima wachapwe.


Mnaacha mitoto yenu inaangalia michezo ya TV isofaa, mitoto inabadilika Akili kuanzia ikiwa na miaka miwili, Mitoto inalelewa na ubebi ubebi mwingiii linazidi kukua likiamin nili falme au limalikia, Kiburi, jeuri , isowajibika, ndezindezi, mivivu na mizembe kama baba yao, midokozi, Lia Lia , Mitoto Hasara, alafu mnaipeleka shule Kwa Walimu, ambao wamekabidhiwa majukumu kuanzia Kufundishwa Hadi kurekebisha Nidhamu.


Wito wangu Kwa Walimu... KESI KAMA HIZI, ZIWAFANYE MPUUZE MITOTO YAO , MSIHANGAIKE NA MITABIA YA MITOTO YA WATU , INGIENI DARASAN, FUNDISHENI ,SAHIHISHA , USIJISUMBUE NA LITOTO LA MTU.


View: https://youtu.be/8H_q63_Ivas?si=2QcXDM5CliFmNJu5

Njia nyingine mnazotumia kuwaingizia watoto juzuu hazifai, kipigo ni mojawapo ya njia zisizofaa.
 
Umeshindwa kumshikisha Mtoto wako Juzuu , umempeleka Madrasa, Elimu haimuingii mwanadam Kwa njia ya kufundishwa tu, Kuna vitu vingi vinavyochochea Elimu kumkaa MTU kichwani, Elimu inataka Nidhamu Kwa aina yake , Kwa mzazi wa namna hii, jambo la msingi Ilikua ni kuchukua mtoto wake na Kumtoa Kwa Mwalimu Mussa na kumpeleka pengine wasipochapa, au amtafutie Mwalimu wa kumfundishia nyumbani.

Mbona mashuleni fimbo zinatembea kama kawaida ?.

Haya mambo Hayati Magufuli aliyakemea kwelikweli , na aliamuru watoto wachapwe fimbo , ikiwezekana wafukuzwe.


Ni Imani yangu, Hakimu wa Kesi hiyo, atatumia Busara .


Kumchapa Mtoto Kwa lengo la Kumuonya na Kumfanya Abadilike ni sahihi na lazima wachapwe.


Mnaacha mitoto yenu inaangalia michezo ya TV isofaa, mitoto inabadilika Akili kuanzia ikiwa na miaka miwili, Mitoto inalelewa na ubebi ubebi mwingiii linazidi kukua likiamin nili falme au limalikia, Kiburi, jeuri , isowajibika, ndezindezi, mivivu na mizembe kama baba yao, midokozi, Lia Lia , Mitoto Hasara, alafu mnaipeleka shule Kwa Walimu, ambao wamekabidhiwa majukumu kuanzia Kufundishwa Hadi kurekebisha Nidhamu.


Wito wangu Kwa Walimu... KESI KAMA HIZI, ZIWAFANYE MPUUZE MITOTO YAO , MSIHANGAIKE NA MITABIA YA MITOTO YA WATU , INGIENI DARASAN, FUNDISHENI ,SAHIHISHA , USIJISUMBUE NA LITOTO LA MTU.


View: https://youtu.be/8H_q63_Ivas?si=2QcXDM5CliFmNJu5

Fucking islamic religion,
How could you treat these child like this!?
Ok after they have claimed those fucking stupid verses, what else!? Do they become engineers, doctors, scientists, technologists! Or they end up being married into polygamous marriage! With at least 5kids,!
The madrasa, is full of shit!
There is no madrasa in China! Children of Ridhiwan kikwete, Grand children of samia, they don't go through these fucking religious setup, they are enlored to Tanganyika international school, feza,!
Stop these shit you fucking Muslim ulmaha
 
Siyo sawa mtoto kumtemea mate au kumpiga mzazi, lakini kwa maoni yangu, ni bora mtoto ampige mzazi kuliko mzazi kumpiga mtoto.

Najua utashangaa sana!
Dah hayajakukuta bado,nyinyi ndio aina ya watu mnaoharibu watoto kwa kigezo cha uhuru na demokrasia mwisho wa siku mtoto akishahama nyumbani kwako anaenda kuwa jambazi au shoga huku mzazi bado unakenua meno tu
 
Back
Top Bottom