Mzazi alomfikisha Mahakaman Mwl Madrasa Kwa kosa la kuchapa watoto, akemewe popote pale anapoonekana na ikiwezekana Jamii imchukulie hatua

Mzazi alomfikisha Mahakaman Mwl Madrasa Kwa kosa la kuchapa watoto, akemewe popote pale anapoonekana na ikiwezekana Jamii imchukulie hatua

Siafikiani na aina ya uchapaji ya ustaadh lakini kufikia kiasi cha kumshtaki mwalimu, it's a bit extreme.

Muundo hasa wa madrasa kwa sisi tuliosoma enzi hizo ilikuwa unaendeshwa kwa fimbo na mzazi anatoa encouragement kabisa kwa mwalimu akudunde ili uelewe.
kwamba fimbo ndo njia sahihi ya mtu kuelewa , hv huyu mtoto akikua akabadii dini anakua kakosea maana hamumshawishi mtoto kupenda maandiko bali mnamlazimisha kukariri mafunzo yenu
 
Bolded ni heading tu. Ila aya yenyewe iliyopo kwenye quran zote za kiswahili ni hiyo ya chini ambayo haijawa bolded.

Fungua quran yako ya kiswahili kisha linganisha uone ukweli wangu
Acha ubishi bolded ndio tafsiri ya aya yenyewe kama unabisha chukua hayo maneno ya kiarabu ukatafute tafsiri yake kokote unakokuamini
Hapo hakuna neno linalomaanisha "yenu"
 
tuseme juzu imeandikwa kwa kimakonde , mtu akiamua kuwa mtumwa hata umuamshaje haez kubali
Sijazungumzia lugha iliyotumika nazungumzia kilichoandikwa ndani,ni kwa ajili ya viumbe wote na si waarabu tupu
 
Umeshindwa kumshikisha Mtoto wako Juzuu , umempeleka Madrasa, Elimu haimuingii mwanadam Kwa njia ya kufundishwa tu, Kuna vitu vingi vinavyochochea Elimu kumkaa MTU kichwani, Elimu inataka Nidhamu Kwa aina yake , Kwa mzazi wa namna hii, jambo la msingi Ilikua ni kuchukua mtoto wake na Kumtoa Kwa Mwalimu Mussa na kumpeleka pengine wasipochapa, au amtafutie Mwalimu wa kumfundishia nyumbani.

Mbona mashuleni fimbo zinatembea kama kawaida ?.

Haya mambo Hayati Magufuli aliyakemea kwelikweli , na aliamuru watoto wachapwe fimbo , ikiwezekana wafukuzwe.


Ni Imani yangu, Hakimu wa Kesi hiyo, atatumia Busara .


Kumchapa Mtoto Kwa lengo la Kumuonya na Kumfanya Abadilike ni sahihi na lazima wachapwe.


Mnaacha mitoto yenu inaangalia michezo ya TV isofaa, mitoto inabadilika Akili kuanzia ikiwa na miaka miwili, Mitoto inalelewa na ubebi ubebi mwingiii linazidi kukua likiamin nili falme au limalikia, Kiburi, jeuri , isowajibika, ndezindezi, mivivu na mizembe kama baba yao, midokozi, Lia Lia , Mitoto Hasara, alafu mnaipeleka shule Kwa Walimu, ambao wamekabidhiwa majukumu kuanzia Kufundishwa Hadi kurekebisha Nidhamu.


Wito wangu Kwa Walimu... KESI KAMA HIZI, ZIWAFANYE MPUUZE MITOTO YAO , MSIHANGAIKE NA MITABIA YA MITOTO YA WATU , INGIENI DARASAN, FUNDISHENI ,SAHIHISHA , USIJISUMBUE NA LITOTO LA MTU.


View: https://youtu.be/8H_q63_Ivas?si=2QcXDM5CliFmNJu5

Kwa walio soma positive and negative punishment hawawezi kumlaumu Mwalim wa madrasa watoto wasikuhizi bila viboko hawaelewi wala hawatafuata maadili mazuri
Uzungu unaharibu mindset za wazazi na hao wanaojiona wamepevuka ktk malezi ya watoto
 
ngoja nikuambie

ULAYA
ASIA
AMERICA
AUSTARIA
AFRICA

kila bara lina tamaduni zake
na katika hayo mabara kila nchi ina TAMADUNI zake

ni UJINGA na UKOSEFU wa akili kulinganisha TAMADUNI za ULAYA NA AFRICA au TANZANIA

labda nikuulize
wewe hapo unaweza kwenda beach
ikawa wewe dadaako mamaako babaako na baba mkwewako mkewako/mmewako na watoto wako mkbaki na chupi babaakwe boxer mkawa mnaogelea linawezekana kwako
bila shaka haiwezekani sio kwako ni kwa karibu 98% ya watanzania haiwezekani kutokana na TAMADUNI zetu
lakini kwa ULAYA 100% Inawezekana kutokana na tamaduni zao

hvyo TAMBUA tamaduni za eneo husika na kuziheshimu

mfano CHINA kuna majinbo mtu akipata AJARI na chombo cha moto barabarani huruhusiwi kumsaidia chochote unachotakiwa upige simu mamlaka waje kumsaidia hata km yupo kattika state ya kufa
lakini kwa watanzania hilo haliwezekani 7bu tumeritji tamaduni za kusaidiana kutoka kwa wazazi ndio mana unapoona kumetokea ajari watu wanakuwa faster kusaidia
kwamba mwaka 1800 mlikuwa mnavaa hizo suruali na kamatia chini ?
 
Huyo Mzazi kakosa akili unawaza nini hadi umpeleke mwanao Madrsa !.
Dunia ya leo ni sayansi na technology unawezaje kumpotezea mwanao muda wa kwenda kusoma masuala ya waarabu.
Huyo mtoa mada mwenyewe kasoma madrasa na labda alifugwa huko.
Usikute mtoto kupigwa huyo shekhe alitaka kumtafuna tako mtoto kakataa kashushiwa fimbo.
Mtoa mada alikubali akaliwa tope na ustaadh bangungu.
 

Attachments

  • Screenshot_20250219_225245.jpg
    Screenshot_20250219_225245.jpg
    116.8 KB · Views: 2
Ndio maana hayo matoto hua yanakuja kua na roho mbaya yana fundishwa dini kikatili sana hao ma ustadhi wanapiga fimbo kama wana ugomvi nao
 
ngoja nikuambie

ULAYA
ASIA
AMERICA
AUSTARIA
AFRICA

kila bara lina tamaduni zake
na katika hayo mabara kila nchi ina TAMADUNI zake

ni UJINGA na UKOSEFU wa akili kulinganisha TAMADUNI za ULAYA NA AFRICA au TANZANIA

labda nikuulize
wewe hapo unaweza kwenda beach
ikawa wewe dadaako mamaako babaako na baba mkwewako mkewako/mmewako na watoto wako mkbaki na chupi babaakwe boxer mkawa mnaogelea linawezekana kwako
bila shaka haiwezekani sio kwako ni kwa karibu 98% ya watanzania haiwezekani kutokana na TAMADUNI zetu
lakini kwa ULAYA 100% Inawezekana kutokana na tamaduni zao

hvyo TAMBUA tamaduni za eneo husika na kuziheshimu

mfano CHINA kuna majinbo mtu akipata AJARI na chombo cha moto barabarani huruhusiwi kumsaidia chochote unachotakiwa upige simu mamlaka waje kumsaidia hata km yupo kattika state ya kufa
lakini kwa watanzania hilo haliwezekani 7bu tumeritji tamaduni za kusaidiana kutoka kwa wazazi ndio mana unapoona kumetokea ajari watu wanakuwa faster kusaidia
Kuna tamaduni inferior na superior kuliko nyingine.
 
Hii mada humu sipo mahala pake, Jamii forums inawatu ambao uwezo wao wakufikiri ni mdogo sana, naona wengine wanaleta habari za SirJeff, mwingine anasema hao watoto wanasoma waarabu, wengine wanasema dunia ni yasayansi mtu asiendi madrasa.

Watu wa aina hii kwa dunia ya AI watakuwa miongoni mwa wale ambao AI ita wa replace sababu ni useless.

Mawazo yangu juu ya mada ni haya.
Sio rahisi mzazi kumpeleka mahakamani mwalimu aliemwamini na kumkabidhi mtoto wake amfundishe.

Inabidi kwanza tufahamu historia fupi ya
Mwalimu na mzazi huyo ikiwa pamoja na mahusiano yao, hapa itafahamika kama kunakitu nyuma ya pazia.

Kama hakuna jambo la tofauti linalochochea hili, tuchuje namna mwalimu anavyoishi na watoto madrasa, hapa tutafahamu vizuri tatizo na iligundulika nwalimu anaishi vzr na watoto. Hata hisia za mzazi nazo ziskilizwe.
Mzazi akipewa uhuru wakuskilizwa tutajuwa km walikosana kauli zikamsarisha au hakupenda adhabu ya vibiko.
Km hakupenda adhabu ya viboko, tutarejea vigezo na masharti walivyotoa walimu hao kwa mzazi anaepeleka mtoto avifuate.
Km hkuna documents maalum itakuw ni taasis inaendeshwa kihuni sxa ambapo itsbidi busara za waendesha kesi zitumike.

Kwakumalizia nikwamba sheria ya adhabu ya viboko ipo nchini na mashuleni nikama urithi kutoka kwa Mjeruman na mwingereza tulioachiwa, mpk sxa tunaitumia richa yakupunguzwa makali kwa kulimit fimbo zisizidi nne
 
Huyo Mzazi kakosa akili unawaza nini hadi umpeleke mwanao Madrsa !.
Dunia ya leo ni sayansi na technology unawezaje kumpotezea mwanao muda wa kwenda kusoma masuala ya waarabu.
Ficha upumbavu wako.
Nimeshtuka sana mkuu, nilidhani unatetea viboko vya madurasa.

Mleta mada anasumbuliwa na ujinga tu. Viboko siyo njia pekee ya kumlea mtoto.

Viboko ni adhabu ya kipumbavu isiyo na faida yeyote kwa mtoto

Sirjeff Denis, al maarufu ONTARIO ana msemo wake anapenda kuuliza,
''Ni mnyama gani, ukitoa Muafrika, huwa anamuadhibu mtoto wake kwa viboko?''

Mimi sijui, labda Mwarabu na Muhindi, lakini Ulaya hakunaga viboko kwa watoto.
Hamia Ulaya.
 
Nchi 22 za kiarabu ,masuala ya waarabu wa nchi gani
Oman marufuku kumpiga mwanafunzi school
For your information also we have tecnology and science in our schools ,colleges and higher education universities
Vilaza nyie na kobazi zenu mna teknolojia ipi
 
Back
Top Bottom