Mizania
JF-Expert Member
- May 17, 2023
- 3,812
- 3,277
πββοΈπ€οΈπ―βοΈπππππ€πKwani ni lazima tuishi kama wanavyoishi watu wa Ulaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πββοΈπ€οΈπ―βοΈπππππ€πKwani ni lazima tuishi kama wanavyoishi watu wa Ulaya
π²π²π²Nitapeleka kesi mahakamani dini ya kiislamu ifutwe sikuwahi kuona faida zake kwa mwanadamu zaidi ya hasara chungu mbovu ikiwemo kuuza bandari kwa waarabu just kwa kijikomba kwa waarabu kwa viongozi weusi tii wanaovaa matambara ya kiarabu wakidhani na wao eti ni warabu.
Mkuu Ulaya na sisi ni tofauti kabisa tukifata tabia za Wazungu jamii yetu itapotea, Kwa wazungu wenzetu kijana mwenye miaka 14 anajifunza kunywa pombe na kuvuta sigara tena ndani ya familia na siyo kwa kujificha kama hapa nyumbani.Nimeshtuka sana mkuu, nilidhani unatetea viboko vya madurasa.
Mleta mada anasumbuliwa na ujinga tu. Viboko siyo njia pekee ya kumlea mtoto.
Viboko ni adhabu ya kipumbavu isiyo na faida yeyote kwa mtoto
Sirjeff Denis, al maarufu ONTARIO ana msemo wake anapenda kuuliza,
''Ni mnyama gani, ukitoa Muafrika, huwa anamuadhibu mtoto wake kwa viboko?''
Mimi sijui, labda Mwarabu na Muhindi, lakini Ulaya hakunaga viboko kwa watoto.
Najua kila kituWewe umekuta mababu zako wameipokea hyo imani ila hujui waliyopitia hadi.kuipokea
Kwani sisi jamii zetu ni bora sana kuzidi jamii za wazungu?Mkuu Ulaya na sisi ni tofauti kabisa tukifata tabia za Wazungu jamii yetu itapotea, Kwa wazungu wenzetu kijana mwenye miaka 14 anajifunza kunywa pombe na kuvuta sigara tena ndani ya familia na siyo kwa kujificha kama hapa nyumbani.
Waislamu hawataki, wanapenda kulazimisha watu wafuate uislamu.Masuala ya dini na fimbo kweli, unamlazimisha kuelewa au kuamini? Mwache akue akipata akili atachagua Imani aipendayo