Kakae kwako kama wewe ni mtu mzimaSawa sasa kwanini haniachi?
Mtu mzima aliyezidi 18 ni wa kulazimisha dini kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kakae kwako kama wewe ni mtu mzimaSawa sasa kwanini haniachi?
Mtu mzima aliyezidi 18 ni wa kulazimisha dini kweli?
Mtu mzima unafanya nini kwake,mtu mzima ujitegemeaKey word hapo ni kulazimisha...Kwanini umlazimishe mtu mzima? Tena ishu ya kiimani?
😲😯😲😧Kwa mwamposa
Kuelekezwa sijakataa. Kama anataka anihubiri na kunielekeza ni sawa. ila sio kunilazimisha.Dah sijui ingekuwaje endapo tungekuwa uhusiano. Nimehuzuni sana.
Toka hapo kwa mama yako wewe pumbavu
Umeelekezwa vizuri unaleta ubishi maandazi kama unaona unayajua sana kakae kwako uishi utakavyo. Mbwa mshenzi
Hiyo definition umetoa wapi? Mtu mzima ni aliyefikisha 18yrs fullstop.Mtu mzima unafanya nini kwake,mtu mzima ujitegemea
Ukubwa sio nambaHiyo definition umetoa wapi? Mtu mzima ni aliyefikisha 18yrs fullstop.
Acha ubishi wewe kenge. Kama hutaki shuruti kakae kwako. Rahisi sana unamtesa mama wa watu bila sababu mbwa weweKuelekezwa sijakataa. Kama anataka anihubiri na kunielekeza ni sawa. ila sio kunilazimisha.
Kwenda kanisani sio jambo la shurti.
Sheria zingine zote natii. ila hii ya kiiamani huoni kama haiko sawa?Toka home kapange, kama bado unakula bure tii Sheria bila shuruti
Kwahyo kwenda kanisani ni jambo la kulazimishana?Acha ubishi wewe kenge. Kama hutaki shuruti kakae kwako. Rahisi sana unamtesa mama wa watu bila sababu mbwa wewe
Unampa sonona mama kisa unajiona umekuwa? Kama umekua ondoka kwa watu
According to youUkubwa sio namba
Key word hapo ni kulazimisha...Kwanini umlazimishe mtu mzima? Tena ishu ya kiiman
Vingine vyote nafata. ila hii ishu ni ya kiimani zaidi hauoni tofauti?hata ukiwa na miaka 50 alafu ukawa unakaa kwenu, wewe bado ni mtoto inatakiwa ufuate yale unayoelekezwa na wazazi wako full stop!. Bado hujakua, akili yako bado haijapanuka hawawezi kukuacha ufanye unachotaka bila ridhaa yao, labda uhame kwao uwaonyeshe kwamba unaweza maisha bila msaada wao hapo wataanza kukuamini katika maamuzi yako. Tulia ulelewe bwana mdogo
[emoji120][emoji120][emoji3059][emoji3059][emoji7][emoji120]
Asante mkuu...Weka ushauri wako sasa, Nifanyeje?Mi natamani sana nipate mdada mwenye akili kama huyu, mwenye uwezo wa kutafakari.
Umenifurahisha sana, una akili na nzuri zaidi ni hiyo avatar ya mirabel, watu wanaongalia animation movies wana akili nyingi
Kama ujazi friji nyumbani kwann ujiite mtu mzimaAccording to you
Mbona washangaa Mufti?😲😯😲😧