Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Mimi nimetaka kuslim since niko kidato cha pili lakini sikuwahi fanya hivyo kwasababu nilijua home hakuna anayeweza kunielewa.Umeanza kuamini hivo before au after kujitegemea?
Nlipoendelea kukua nikaenda chuo hata kuslim nikaachana na habari hiyo nikawa mtu wa kusoma maandiko mengi ya imani mbalimbali iwe hindu, mabudha, usilamu, chochote tu. Since then nimekuwa hivyo. Siamini katika madhehebu ila naamini Mungu yupo and I pray in my own way.
Nlipomaliza chuo sikuwahi rudi ishi na wazazi so mpaka leo hakuna anayejua naamini nini au kama nimebadilika.
Kuna muda huwa naenda kansani labda kwa mika 7 iliyopita nmeenda kama mara 3 au 4 ila kwa matukio ya ibada za kumwaga marehemu n.k.
Personally, nikiamua kuwa mfuasi wa dhehebu kwa sasa, nadhani ninaweza kuslim