Mzazi kumlazimisha mtoto wake kwenda kanisani ni sawa?

Wewe inakuuma nini mtu mzima kufuata imani anayoitaka??
Kesho utaanza kusikia anafanya meditation,oo Mungu Ni energy,ukifa utazaliwa panya ndio hao watu waliomezeshwa falsafa za kishetani
 
Siamini, ila najaribu kufikiria kwa kitu anacholazimisha nikiamini...mbona kitu chenyewe hakipendi mtu alazimishwe kukiamini?
Huyo ni mzazi mkuu, yani ukitaka akuelewe mtazozana sana.

Hata huyo housegirl hana kosa kabisa ni vile yeye anaamini ni sahihi.
 
Watoto wa dizaini yako ni mzigo sana kwa wazazi,umelilea toto vizuri,likishakuwa tena bado liko kwenye himaya yako linaanza kuleta ujuaji,kifupi wewe ni mzigo na pasua kichwa...
 
Uongo mkubwa, kesi za ajabu ajabu za ulawiti zimepatikana kwa ma ustadh na mapadri.
Na wengi wao wanaomkana Muumba wao miongoni mwao ndio wanaofanya maovu na uzinzi na ufiraji na kulawitiwa
 
Kwa nini hawezi?
Maana sio mmeenda kupata vielimu vya kukariri mpaka mnatokwa na akili
Hilo ni jambo la kimila na kiutamaduni ni taboo.
Sijajua kuhusu Tz maana mimi sio mwanasheria, ila nchi nyingi zinakataza kisheria incest.

Logic behind ni kuwa ukiruhusu incest unapunguza variations kwenye genetic pool, kwahyo kukitokea trait mbaya inakuwa dominant kwenye familia/ukoo.
Mfano ikitokea Asthma au ugonjwa wa akili unakuwa dominant kwasababu mnaoana ninyi kwa ninyi.

Kwahyo kiutamaduni ni immoral, na kisheria hairuhusiwi.
 
Embu naonba unitupie hilo jini, ntakulipa
 
Nini kinachomfanya mama yako afurahi kwa kukuona tu umefika kanisani kwake?? Kuna tofauti gani na mlevi anayekunywa bia na kusikia raha??
 
Ahsanteeeeeeeeeh!!!
 
Asante, wewe ndio uko positive na ushauri wako ni wa maana...Nikuulize kitu, wewe unaamini Katika dini gani?

Kuhusu kuolewa, sina mpango nao kwasasa
 
Nilishawaambia kuhama wakakataa.
 
Wazazi huwa wanakosea mkuu wao si malaika.

Na pia suala la binti kuamini au kutoamini ni lake binafsi kati yake na Mungu, ila kwakuwa anakaa nyumbani hapo ndipo ugumu unakoanzia.
 
Huyo ni mzazi mkuu, yani ukitaka akuelewe mtazozana sana.

Hata huyo housegirl hana kosa kabisa ni vile yeye anaamini ni sahihi.
Mmh sawa, sikuile nilitaka kumpasha na kumchenjia pale sebuleni...ila nikaona mama yupo haitokuwa sawa.
 
Asante, wewe ndio uko positive na ushauri wako ni wa maana...Nikuulize kitu, wewe unaamini Katika dini gani?

Kuhusu kuolewa, sina mpango nao kwasasa
Mimi ni islamic mrembo ila maamuzi ya niswali au nisiswali najaribu kuyaweka kuwa private sio niingiliwe na binadamu yeyote.

Japo kipindi hiko nimewahi kulazimishwa fulani kwa jina la" Da'hwa " ila Mnyazi ni mwema vita nilivishinda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…