Mzazi kumlazimisha mtoto wake kwenda kanisani ni sawa?

But as for those who disbelieve, for them is fire of hell; it taketh not complete effect upon them so that they can die, nor is its torment lightened for them. Thus We punish every ingrate.

35:36
Ongezea fungu lingine kutoka kitabu kingine kilichoandikwa na mtu mwingine ambaye hakujui na wala hatakujua wewe mmatumbi.
 
Kama wewe ni me nenda kaangalie wanawake, kama ni ke kaangalie wanaume. Pia kaangalie mitindo ya mavazi na kadhalika.
Kwa kufanya hivi utakuwa umemlidhisha mzazi na ku-enjoy.
 
Eti "nikajua vingi". WakanaMungu bhana. Hujajua kitu kuhusu Uislam bado.

Halafu ndio utakuta mtu kama wewe anasema nimesoma dini zote hakuna kitu sijui. Jamani.

Nyinyi watu ni wajinga halafu mna kibri mno.
Okay sijajua uislam mkuu...it seems uislam ni very complicated subject..binadamu wa kawaida hawezi kuelewa kirahisi.

And if that's so, then kwann mungu aliucomplicate ili wachache waelewe?

Btw, huna jipya la kuniambia kuhusi uislam.
 
Kwanini usihamie tu kwako ujitegemee, umri wako tayari
 
Got you.
 
Wewe ndio una tatizo,tena sio dogo ni kubwa,kama unahisi dini imeletwa na wazungu kwa maana nyingine unasema hakuna Mungu,...kifupi unajiweka kwenye hatari kubwa ktk maisha yako,umri wako ni mdogo sana, mama yako yuko sahihi na ameona mengi ndio maana anakurudisha kwenye njia sahihi,ukikana wosia wake unajiweka kwenye hatari sababu ni kukataa shauri za wazazi na kufuata njia zao wenyewe,tubu hiyo dhambi,mwambie Mungu aondoe hiyo roho ya uasi inayokudanganya kua hakuna Mungu.

Mungu yupo,kama huamini kua Mungu yupo nenda hospital na mochwali ukaone watu walikufa ndio utajua yuko Mungu, usipogeuka hiyo njia unayotaka kuifuata UTAANGAMIA na iko siku utamkumbuka mama yako na maneno aliyokua akikwambia.
 
Kumbe uoga wa kifo ndio unafanya uamini mungu yupo.

Na dini zilianzishwa ili kuwafariji watu wasiogope kifo
 
Kuna mama huwa namuona anaenda kusali kila jumapili na lazima aende na watoto wake kanisani hata katikati ya wiki ila ni mbaguzi sana kwa watoto wasio wa kwake anaoishi nao.
 
Ongezea fungu lingine kutoka kitabu kingine kilichoandikwa na mtu mwingine ambaye hakujui na wala hatakujua wewe mmatumbi.
And who doth greater wrong than he who is reminded of the revelations of his Lord, then turneth from them. Lo! We shall requite the guilty.

32:22
 
And who doth greater wrong than he who is reminded of the revelations of his Lord, then turneth from them. Lo! We shall requite the guilty.

32:22
Ongezea tena fungu lingine kutoka kitabu kingine kilichoandikwa na mtu mwingine ambaye hakuwahi kukujua, hakujui na wala hatakujua wewe mmatumbi.
 
Okay sijajua uislam mkuu...it seems uislam ni very complicated subject..binadamu wa kawaida hawezi kuelewa kirahisi.

And if that's so, then kwann mungu aliucomplicate ili wachache waelewe?

Btw, huna jipya la kuniambia kuhusi uislam.
Uislam sio complicated.

Ila wewe hujui kuhusu Uislam. Wewe kutoujua Uislam hakuufanyi Uislam kuwa complicated. Ni wewe ndio haujui. Kama wengine tunavyokuwa hatujui kitu fulani lakini tunakijua tukitafuta Ilmu yake kwa taratibu zake.

Sina jipya la kukuambia kuhusu Uislam? Aisee wewe kweli hujui na hujui kama hujui.
 
Baba yangu ukishabarikiwa utajua na imani Yako na alikuwa mtumsishi wa kanisa .
 
Okay, enlighten me....Nini sijui kwenye uislam?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…