Ungekuwa umemuoa tungeweza kushauri, muwe munawaonea hawa wanawake huruma, ukikaa bila kuonyesha msimamo na yeye atakuwa anaangalia angalia pembeni!
Kama umezaa na mwanamke, unampenda, na anakupenda, then Kama kuna Makosa ya kawaida ya kiufundi unaweza msamehe mkaoana.
Mwanamke kuliwa kabla hajawa na ndo ni kawaida kabisa, mwanamke gani aliwi? Wote wanaliwa tu, Kama unabisha nitajia mwanamke yeyote unayemwamini, hata mke wa mtu, Nipe mawasiliano yake, mwishowe nitamla tu!
Wanawake wote I can say , wanaliwa tu, dunia kwisha Habari yake, cha maana ni kupambana tu na kulea watoto na kuwa watu wazima, utamkimbia huyo na mtoto utakutana na asiye na mtoto wako, naye atakuja kuliwa tu!
Huyo mwanaume anamsaidia huyo mwanamke kifedha, ndo maana hata huyo Mama mwenye nyumba anamjua na amesema atakuja na kuleta fujo, kama hauna hela na unaenda Fikia kwa mwanamke, Juan kuna mtu ana provide.
Shukuru huyo mwanamke ni mkweli, na ni mzuri, unaweza kupata mwingine ukapangwa mpaka ukashangaa! Wanawake Sio watu ndugu, Cha Maana ni kulea mtoto basi.