Mzazi mwenzangu anadai ananipenda lakini nimegundua ana mwanaume mwingine

Mzazi mwenzangu anadai ananipenda lakini nimegundua ana mwanaume mwingine

Maneno mawili tu.

PIGA CHINI


Mwanaume halisi na mwenye maamuzi kamwe hawezi kuvumilia usaliti.Mwanamke awe mchawi,mchoyo au tabia zingine mbaya lakini si kugawa uchi.Tena hapo bado hajaolewa! Shukuru sana,Je ungekuwa umemuoa? Piga chini! Hakuna cha pesa mwanamke anayejielewa na mwenye hofu ya Mungu hawezi vua chupi kisa pesa.Tafuta mwanamke mwingine wife material umlee mwanao.
Nakazia "PIGA CHINI"
 
No! Aliambiwa atoke waende kulala guest yeye na mzazi mwenzie nyumbani pasibaki mtu ili jamaa akija akose wa kumfanyia fujo
Na unaweza kukuta huko gesti aliyelipia ni mwanamke... wonders shall never end
 
Afadhali yangu mimi nimejitolea liwalo na liwe. Mi niko Dar, Nuzulati yuko Handeni lakini naamini hanicheat. Na hata akinicheat hanicheat kiviiiile...

Ndio maana sijawahi kumwanzishia thread....

Long distance relationships never work... trust me. Ni kujipa moyo na imani ya kujifariji tu, ila kugongewa kumo sana tu. Yani ukae miezi sita mpenzi yuko mbali afu ujiaminishe havuliwi au havui chupi??


Hebu acheni ujinga basi... Yani mtu unaishi naye na bado unagongewa sembuse mtu yuko kilometa 800 kwa miezi mitatu?

Maimaimai...
 
Nimeona comments zenu nyote hamuji kwenye point.Kosa lako la kwanza ni kuzini nae na pili ni kuzaa mtoto wa haramu ,hata kama ni mwanao ujue si halali yako la tatu ndio hilo uloliona mbele yako ww unafikiria mapenzi tu .mwanamke yyote unaempenda sio kuzini nae au mnajaribu ni kumuoa tu ndio utakuwa na uchungu nae hapo mzee wangu hata uchungu nae huna kama ulipiga na yeye anapigwa anangalia maslahi yake tu mapenzi yashakufa kuna kitu kinaitwa PESAAAAAAA (RESPECT)
 
Ungekuwa umemuoa tungeweza kushauri, muwe munawaonea hawa wanawake huruma, ukikaa bila kuonyesha msimamo na yeye atakuwa anaangalia angalia pembeni!

Kama umezaa na mwanamke, unampenda, na anakupenda, then Kama kuna Makosa ya kawaida ya kiufundi unaweza msamehe mkaoana.

Mwanamke kuliwa kabla hajawa na ndo ni kawaida kabisa, mwanamke gani aliwi? Wote wanaliwa tu, Kama unabisha nitajia mwanamke yeyote unayemwamini, hata mke wa mtu, Nipe mawasiliano yake, mwishowe nitamla tu!

Wanawake wote I can say , wanaliwa tu, dunia kwisha Habari yake, cha maana ni kupambana tu na kulea watoto na kuwa watu wazima, utamkimbia huyo na mtoto utakutana na asiye na mtoto wako, naye atakuja kuliwa tu!

Huyo mwanaume anamsaidia huyo mwanamke kifedha, ndo maana hata huyo Mama mwenye nyumba anamjua na amesema atakuja na kuleta fujo, kama hauna hela na unaenda Fikia kwa mwanamke, Juan kuna mtu ana provide.

Shukuru huyo mwanamke ni mkweli, na ni mzuri, unaweza kupata mwingine ukapangwa mpaka ukashangaa! Wanawake Sio watu ndugu, Cha Maana ni kulea mtoto basi.

Embu mle halima mdee sheikh
 
Ndugu yangu bb2 una roho nzuri sana tena ya ungwana, kwangu Mimi huo usiku ungekuwa mrefu sana, na namba zake za simu ningefuta pale pale mbele na kuondoka bila kuaga. Hili jambo ni zito sana mkuu kukushauri maana kama haijawahi kukutokea utachukulia kawaida sana, lakini binafsi na umri nilionao kipindi hiki na tabia za watu nilizoziona huyo mwanamke hakufai hata kidogo kwa sababu siyo mwaminifu na hana malengo na wewe.
Mwanamke kuwa na wanaume zaidi ya mmoja siyo shida, lakini kwa mwanamke anaejitambua inatakiwa iwe siri kweli kweli kwa mtu wake, siyo kumleta mpaka ndani ya chumba unachofikia.
Mkiu imesha tutokea lakini unatazama Nani na Nini sababu halafu una vumilia TU ikiwa sababu Ni wewe KUMBUKA jamaa kamtelekeza na mtoto mdogo halafu huwenda hata mawasiliano HAYAKUWA njema.
Kingine huyu mleta mada unadhani yet alikaa mwaka mzima Kama malaika? Ukishapata majibu ya maswali hayo una acha Mambo mengine yapite tu na maisha yaendelee
 
Nimeona comments zenu nyote hamuji kwenye point.Kosa lako la kwanza ni kuzini nae na pili ni kuzaa mtoto wa haramu ,hata kama ni mwanao ujue si halali yako la tatu ndio hilo uloliona mbele yako ww unafikiria mapenzi tu .mwanamke yyote unaempenda sio kuzini nae au mnajaribu ni kumuoa tu ndio utakuwa na uchungu nae hapo mzee wangu hata uchungu nae huna kama ulipiga na yeye anapigwa anangalia maslahi yake tu mapenzi yashakufa kuna kitu kinaitwa PESAAAAAAA (RESPECT)
Duh! Umeamua kuwa muwazi zaidii
 
Mkiu imesha tutokea lakini unatazama Nani na Nini sababu halafu una vumilia TU ikiwa sababu Ni wewe KUMBUKA jamaa kamtelekeza na mtoto mdogo halafu huwenda hata mawasiliano HAYAKUWA njema.
Kingine huyu mleta mada unadhani yet alikaa mwaka mzima Kama malaika? Ukishapata majibu ya maswali hayo una acha Mambo mengine yapite tu na maisha yaendelee
huwa na wasiliana nae mara kwa mara na huwa nawahudumia wote kwa ujumla
 
kwwnye mapnz sitoagi ushauri cha muhim angalia hiaia zako lkn usisahau AKILI zako
 
Afadhali yangu mimi nimejitolea liwalo na liwe. Mi niko Dar, Nuzulati yuko Handeni lakini naamini hanicheat. Na hata akinicheat hanicheat kiviiiile...

Ndio maana sijawahi kumwanzishia thread....

Long distance relationships never work... trust me. Ni kujipa moyo na imani ya kujifariji tu, ila kugongewa kumo sana tu. Yani ukae miezi sita mpenzi yuko mbali afu ujiaminishe havuliwi au havui chupi??


Hebu acheni ujinga basi... Yani mtu unaishi naye na bado unagongewa sembuse mtu yuko kilometa 800 kwa miezi mitatu?

Maimaimai...
kwel kabisa
 
Ndugu yangu bb2 una roho nzuri sana tena ya ungwana, kwangu Mimi huo usiku ungekuwa mrefu sana, na namba zake za simu ningefuta pale pale mbele na kuondoka bila kuaga. Hili jambo ni zito sana mkuu kukushauri maana kama haijawahi kukutokea utachukulia kawaida sana, lakini binafsi na umri nilionao kipindi hiki na tabia za watu nilizoziona huyo mwanamke hakufai hata kidogo kwa sababu siyo mwaminifu na hana malengo na wewe.
Mwanamke kuwa na wanaume zaidi ya mmoja siyo shida, lakini kwa mwanamke anaejitambua inatakiwa iwe siri kweli kweli kwa mtu wake, siyo kumleta mpaka ndani ya chumba unachofikia.
kwel kabisa asante kwa ushauri wako mzuri na wakujenga
 
Maneno mawili tu.

PIGA CHINI


Mwanaume halisi na mwenye maamuzi kamwe hawezi kuvumilia usaliti.Mwanamke awe mchawi,mchoyo au tabia zingine mbaya lakini si kugawa uchi.Tena hapo bado hajaolewa! Shukuru sana,Je ungekuwa umemuoa? Piga chini! Hakuna cha pesa mwanamke anayejielewa na mwenye hofu ya Mungu hawezi vua chupi kisa pesa.Tafuta mwanamke mwingine wife material umlee mwanao.
nashukuru sana kwa ushauri mzur
 
Afadhali yangu mimi nimejitolea liwalo na liwe. Mi niko Dar, Nuzulati yuko Handeni lakini naamini hanicheat. Na hata akinicheat hanicheat kiviiiile...

Ndio maana sijawahi kumwanzishia thread....

Long distance relationships never work... trust me. Ni kujipa moyo na imani ya kujifariji tu, ila kugongewa kumo sana tu. Yani ukae miezi sita mpenzi yuko mbali afu ujiaminishe havuliwi au havui chupi??


Hebu acheni ujinga basi... Yani mtu unaishi naye na bado unagongewa sembuse mtu yuko kilometa 800 kwa miezi mitatu?

Maimaimai...
Pole kwa kukoment babe mimi sikucheat kivile hutakaa ujue 🥰
 
Back
Top Bottom