Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Ushauri kuntu kabisa. Maana waweza kukuta hata huyo mtoto sio wake....Bàada ya kusoma maelezo yako nikushauri tafuta pesa kwanza halafu utafute mwanamke mwingine
Wanaume tumebakia wachache sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushauri kuntu kabisa. Maana waweza kukuta hata huyo mtoto sio wake....Bàada ya kusoma maelezo yako nikushauri tafuta pesa kwanza halafu utafute mwanamke mwingine
Hilo nalo neno.. shida yote ya kuletewa madharau ni kwamba jamaa hana ndalama.Bàada ya kusoma maelezo yako nikushauri tafuta pesa kwanza halafu utafute mwanamke mwingine
Tena ina nguvu hafi kuwafanya warembo wawili wakupe utam utam kwa wakati mmoja.Pesa ina nguvu sana..never underestimate it.
Demu anakupenda ila kuna mndewa anamweka mjini..so lazima agawanye tu huduma..
sawaMmmh pole yako, muhimu tafuta pesa then toa pesa ya matumizi kwa mtoto, ukishindwa hapo hutokuwa mwanaume tena
aya poaPesa ina nguvu sana..never underestimate it.
Demu anakupenda ila kuna mndewa anamweka mjini..so lazima agawanye tu huduma..
Tatizo ukimwiHuyo mwalimu wa nursery anakupenda ila analipiwa kodi na kusaidiwa matumizi mengine na mwanaume aliyelazimisha kuja kuleta fujo. Anayependwa ni wewe na hili si kosa la kumuacha. Kwa vile yeye ana ajira na wewe huna basi ukikaa Tabora ukajitolea kule hupotezi mkataba, ila sio uhamie kwake
Piga dauka mzee! Kwani mwanamke ni yeye tu? Huko Musoma hakuna wanawake unaokutana nao wa kumzidi yeye.? Fanya jitihada za kulea mtoto wenu tu kwa ushirikiano wa matumizi.Habarini ndugu zangu polen na majukumu ya kila siku, nimekuja mbele yenu kama kijana mwenye shida ya kiushauri na mawazo ili nipanue akili na niwe na uwezo mkubwa wa kuchukus maamuzi sahihi kutokana na mawazo yenu na mawazo yangu kwa pamoja.
Mimi ni kijana na nipo kakika mahusiano ya na mwanamke kwa muda mrefu ambaye tumefanikiwa kuwa na mtoto mmoja ila katika mahusiano yetu hayo tumetenganishwa na umbali kias wa kila mmoja yupo katika mkoa tofaut na mwenzake mimi nipo musoma yeye yupo tabora kutokana na majukumu ya kutafuta riziki za kila siku kwa faida yetu sote.
Mzazi mwenzangu huyo ni mwalimu wa nursery school na anafundisha katika shule fulan iliyopo Tabora nimekuwa nikimuamini kwa muda na hasa baada ya kuzaa mwaka juiz niliamini kuwa sasa malengo na mawazo yetu yapo sawia katika kuendeleza familia na kwa malezi bora ya mtoto lakini cha kushangaza hivi karibun nilienda kumtembelea Tabora na nilimtaarifu kuwa nakuja na ninafikia kwake ila nitakaa siku mbili mpaka tatu alafu narudi kazini kwangu ambapo najitolea bado sijaajiriwa.
Ukweli nilipofika Tabora nilifikia kwake na nikalala siku ya kwanza lakiin ilipofika siku ya pili nimetoka zangu mizunguko jioni nikawa nimeketi naye mpaka mida ya sa mbili kasoro lilitokea tukio la kustaakabisha kiasi, kumbe mwenzangu anamwamaume mwingine ambaye anakujaga kulala mpaka pale na siku hiyo muda wa uck alimwambia anakuja kulala pale, mwenzangu akashindwa kuniambia ikabid akamwambie mama mwenye nyumba wake aje aniambie kuwa huyu mwezako ana mtu wake amemwambia anakuja japo kuwa anasema awali alimwambia kuwa mimi nina mtoto na nina mwanaume wangu lakini yulu mwanaume alikubali hivyo hivyo.
Cha ajabu siku hiyo alipoambiwa mimi nimekuja alisema anakuja hivyo hivyo na ataleta fujo ikanibidi mwenyebnyumba aniombe niondoke na mzazi mwenzangu tukalale pengine asije akaja akatukuta ikaleta fujo na aibu. Pia nami nikafanya kama nlivyoambiwa na nilipofika gesti na mzazi mwenzangu nikaongea nae mambo mengi na nikamuuliza kati ya mimi na yeye unampenda nani akasema wewe hapo.
Swali linakuja kama unanipenda mim unawezaje kumleta mwanaume mwenzangu unapolala kama hauna malengo nae akasema nisamehe tu huku akilia.
Ndugu zangu nimekuja mbele yenu ila muweze kunisaidia ushauri kutokana na uzoefu wenu katika mambo ya mahusiano.
Uzi umehamishwa ulikuwa jukwaa la Hoja na habari mchanganyikoUlitaka aiweke jukwaa la Siasa?
Sure...Pesa ina nguvu sana..never underestimate it.
Demu anakupenda ila kuna mndewa anamweka mjini..so lazima agawanye tu huduma..
Hivi bado mko wapuuzi kama nyie?Habarini ndugu zangu polen na majukumu ya kila siku, nimekuja mbele yenu kama kijana mwenye shida ya kiushauri na mawazo ili nipanue akili na niwe na uwezo mkubwa wa kuchukus maamuzi sahihi kutokana na mawazo yenu na mawazo yangu kwa pamoja.
Mimi ni kijana na nipo kakika mahusiano ya na mwanamke kwa muda mrefu ambaye tumefanikiwa kuwa na mtoto mmoja ila katika mahusiano yetu hayo tumetenganishwa na umbali kias wa kila mmoja yupo katika mkoa tofaut na mwenzake mimi nipo musoma yeye yupo tabora kutokana na majukumu ya kutafuta riziki za kila siku kwa faida yetu sote.
Mzazi mwenzangu huyo ni mwalimu wa nursery school na anafundisha katika shule fulan iliyopo Tabora nimekuwa nikimuamini kwa muda na hasa baada ya kuzaa mwaka juiz niliamini kuwa sasa malengo na mawazo yetu yapo sawia katika kuendeleza familia na kwa malezi bora ya mtoto lakini cha kushangaza hivi karibun nilienda kumtembelea Tabora na nilimtaarifu kuwa nakuja na ninafikia kwake ila nitakaa siku mbili mpaka tatu alafu narudi kazini kwangu ambapo najitolea bado sijaajiriwa.
Ukweli nilipofika Tabora nilifikia kwake na nikalala siku ya kwanza lakiin ilipofika siku ya pili nimetoka zangu mizunguko jioni nikawa nimeketi naye mpaka mida ya sa mbili kasoro lilitokea tukio la kustaakabisha kiasi, kumbe mwenzangu anamwamaume mwingine ambaye anakujaga kulala mpaka pale na siku hiyo muda wa uck alimwambia anakuja kulala pale, mwenzangu akashindwa kuniambia ikabid akamwambie mama mwenye nyumba wake aje aniambie kuwa huyu mwezako ana mtu wake amemwambia anakuja japo kuwa anasema awali alimwambia kuwa mimi nina mtoto na nina mwanaume wangu lakini yulu mwanaume alikubali hivyo hivyo.
Cha ajabu siku hiyo alipoambiwa mimi nimekuja alisema anakuja hivyo hivyo na ataleta fujo ikanibidi mwenyebnyumba aniombe niondoke na mzazi mwenzangu tukalale pengine asije akaja akatukuta ikaleta fujo na aibu. Pia nami nikafanya kama nlivyoambiwa na nilipofika gesti na mzazi mwenzangu nikaongea nae mambo mengi na nikamuuliza kati ya mimi na yeye unampenda nani akasema wewe hapo.
Swali linakuja kama unanipenda mim unawezaje kumleta mwanaume mwenzangu unapolala kama hauna malengo nae akasema nisamehe tu huku akilia.
Ndugu zangu nimekuja mbele yenu ila muweze kunisaidia ushauri kutokana na uzoefu wenu katika mambo ya mahusiano.
Kinachosumbua hapo ni umbali tu ni ngumu sana binadamu aliyekamilika kuishi mpweke mwaka mzima lazima atafute kampani.Anakupenda. Huyo mwingine ni kamapani ya MAONGEZI tu ili kupunguza stress.
MRUDIE MKALEE MTOTO WENU bwana
Una hasira za HAMZANdugu yangu bb2 una roho nzuri sana tena ya ungwana, kwangu Mimi huo usiku ungekuwa mrefu sana, na namba zake za simu ningefuta pale pale mbele na kuondoka bila kuaga. Hili jambo ni zito sana mkuu kukushauri maana kama haijawahi kukutokea utachukulia kawaida sana, lakini binafsi na umri nilionao kipindi hiki na tabia za watu nilizoziona huyo mwanamke hakufai hata kidogo kwa sababu siyo mwaminifu na hana malengo na wewe.
Kuona na mwanaume zaidi ya mmoja siyo shida lakini kwa mwanamke anaejitambua inatakiwa iwe siri kweli kweli kwa mtu wake anaemuamini siyo kumleta mpaka ndani ya chumba unachofikia.
No! Aliambiwa atoke waende kulala guest yeye na mzazi mwenzie nyumbani pasibaki mtu ili jamaa akija akose wa kumfanyia fujoMasikini pole, yani nawe ukaambiwa umpishe kidume mwenzio aje alale nawewe ukapisha?!!!.....
Huyu mwanamke akikuacha atajuta milele
Itakuwa hana maana hana hata miaHuko Musoma we hauna dem?